Nilipokuwa Mwalimu nilionyesha kwanza uwezo wangu wa kufundisha kabla sijaleta ushawishi kwa wanafunzi nilibobea sana kufundisha A level Physics

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Yaani haujashika hata chaki haujaanza hata kuandika wanafunzi hawajakuelewa kuwa unafundisha vibaya au vizuri unaanza kujisifu tu mm ninajua kufundisha bila hata kusolve hata swali moja.

Nawashauri waalimu mnapotaka kuleta ushawishi wa namna yenu ya kufundisha fundisheni tu kwa juhudi na maarifa afu waacheni wanafunzi waamue wenyewe na msiwakataze kulalamika kwamba hawaelewi.

Wanaweza wakawa wanakutaka ufundishe kama mwalimu wa Physics wa zamani.

Unaweza ukaamua kufundisha kwa njia zako kwanza haziko kwenye mtaala hazina mvuto na wanafunzi hawazielewi na zitawafanya waffling na shule yako kuwa ya mwisho kitaifa wanafunzi wakimwambia mwalimu afundishe kwa ustadi mkubwa afanye hivyo.
 
Ngoja waje,

Ila hii mambo ilkua inakera ticha kipindi nusu chote ni kujisifu tu atakwambia mimi kidogo niwe dokta mara injinia nikakataa mshahara mara kikaenda kikarudi aisee.
 
Hahahaha naipenda physics...
napenda kufundisha physics....
Nilitaman kufundisha physics....
Nikachagua kufundisha physics...
Now nafundisha physics.....
Naenjoy nikiwa ubaoni nafundisha physics....
Nitakufa nafundisha physics..
Mungu ibariki physics..
Mungu ibariki Tanzania
 


Aisee, nilikuwa namtafuta teacher kama wewe, hebu tusaidie kukokotoa hichi kigongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…