GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilisema kuwa akikoswakoswa katika Derby ya Kariakoo (Simba na Yanga) basi atanasa katika Matokeo ya Mechi ya awali ya Club Africaine kama akifungwa au akitoka Sare na asiponaswa hapo anaenda Kuchinjiwa mazima kwa Matokeo ambayo anaenda kuyapata Jijini Tunis nchini Tunisia katika Mechi ya Marudiano.
Yaani niseme Jambo lisitokee? Kaeni tayari kwa Breaking News yoyote kumhusu Kocha Mkuu Nabi kuanzia Leo Alhamisi tarehe 3 Novemba hadi tarehe 9 au 10 Novemba kwani tokea Jana Moto Mkali umewaka huko Avic Town na Nabi Kamtukana Mtu huku Wachezaji Morisson na Aucho Wakitukanana.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Yaani niseme Jambo lisitokee? Kaeni tayari kwa Breaking News yoyote kumhusu Kocha Mkuu Nabi kuanzia Leo Alhamisi tarehe 3 Novemba hadi tarehe 9 au 10 Novemba kwani tokea Jana Moto Mkali umewaka huko Avic Town na Nabi Kamtukana Mtu huku Wachezaji Morisson na Aucho Wakitukanana.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!