Niliposema tena kwa Kujiamini 100% kuwa Kocha Nabi atafukuzwa Yanga SC nilikuwa ninamaanisha

Niliposema tena kwa Kujiamini 100% kuwa Kocha Nabi atafukuzwa Yanga SC nilikuwa ninamaanisha

Sasa hapo hujaelewa nini? Yeye kasema kwa maoni yake ametabiri kufurushwa Nabi kutokana na Pressure ya mashabiki kuhusu mwendo wa timu hasa mechi za Kimataifa.

Mbona ulichoandika wewe na hizo hisia za mashabiki ni kitu kimoja ambacho ameandika mtoa mada..!
Soma sentensi ya kwanza ya aya ya pili ya mleta mada utaelewa kwanini nimeandika nilivyo andika.
 
Nilisema kuwa akikoswakoswa katika Derby ya Kariakoo (Simba na Yanga) basi atanasa katika Matokeo ya Mechi ya awali ya Club Africaine kama akifungwa au akitoka Sare na asiponaswa hapo anaenda Kuchinjiwa mazima kwa Matokeo ambayo anaenda kuyapata Jijini Tunis nchini Tunisia katika Mechi ya Marudiano.

Yaani niseme Jambo lisitokee? Kaeni tayari kwa Breaking News yoyote kumhusu Kocha Mkuu Nabi kuanzia Leo Alhamisi tarehe 3 Novemba hadi tarehe 9 au 10 Novemba kwani tokea Jana Moto Mkali umewaka huko Avic Town na Nabi Kamtukana Mtu huku Wachezaji Morisson na Aucho Wakitukanana.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
NABI yupo sanaaa!!
 
Sijaona chochote cha maana katika andishi lako. Ni speculations tu ambazo yeyote aweza kuwa nazo kutokana na pressure ya mashabiki na kiu ya kusonga mbele ktk mashindano ya kimataifa.

Nakuona kama mtu mwenye kiherehere tu ili jambo likitokea ujipatie credits za bure. Hakuna ambaye hajui au hahisi kuwa lolote laweza kutokea kwa Nabi kutokana na hali ilivyo ndani ya Yanga.

Hivyo usijifanye mjuaji saaaana wa mambo.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Sasa hapo hujaelewa nini? Yeye kasema kwa maoni yake ametabiri kufurushwa Nabi kutokana na Pressure ya mashabiki kuhusu mwendo wa timu hasa mechi za Kimataifa.

Mbona ulichoandika wewe na hizo hisia za mashabiki ni kitu kimoja ambacho ameandika mtoa mada..!
Nimesikitika kuwa umechelewa kujua kuwa GENTAMYCINE nachukiwa na sieleweki na Wapumbavu Wengi walioko hapa akiwemo huyo Uliyemjibu na hao Watu Watatu waliompa 'Likes' hapo.

Cc: malantu, nguvu, tracebongo, koba lee etc
 
Genta kazini...nakubali mkuu,mi nilileta uzi wa nabi kuishiwa mbinu kina Tate Mkuu na redio wakanijia juu...NASISITIZA TENA NABI SIO KOCHA WA MICHUANO MIKUBWA HAYA MASHINDANO NI YA KINA IBENGE
 
Sasa itakuwaje Aziz K , Morrison na Kisinda...maana waliletwa hapo utopolono kwa ajili ya International game...

Naona huruma sana
Kuna mapinduzi cup January, ni kimataifa kwao Uto kwenda Zenji.
 
Nilisema kuwa akikoswakoswa katika Derby ya Kariakoo (Simba na Yanga) basi atanasa katika Matokeo ya Mechi ya awali ya Club Africaine kama akifungwa au akitoka Sare na asiponaswa hapo anaenda Kuchinjiwa mazima kwa Matokeo ambayo anaenda kuyapata Jijini Tunis nchini Tunisia katika Mechi ya Marudiano.

Yaani niseme Jambo lisitokee? Kaeni tayari kwa Breaking News yoyote kumhusu Kocha Mkuu Nabi kuanzia Leo Alhamisi tarehe 3 Novemba hadi tarehe 9 au 10 Novemba kwani tokea Jana Moto Mkali umewaka huko Avic Town na Nabi Kamtukana Mtu huku Wachezaji Morisson na Aucho Wakitukanana.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Kila siku morisson na aucho wanatukanana!?
 
Genta kazini...nakubali mkuu,mi nilileta uzi wa nabi kuishiwa mbinu kina Tate Mkuu na redio wakanijia juu...NASISITIZA TENA NABI SIO KOCHA WA MICHUANO MIKUBWA HAYA MASHINDANO NI YA KINA IBENGE
Naona umenitajia the so called Senior and authentic Morons hapa Jamvini Mkuu. Heko Kwako.
 
Pilipili ale mwingine kuwashwa awashwe mwingine inawezekana kweli hii?
 
Back
Top Bottom