Soma sentensi ya kwanza ya aya ya pili ya mleta mada utaelewa kwanini nimeandika nilivyo andika.Sasa hapo hujaelewa nini? Yeye kasema kwa maoni yake ametabiri kufurushwa Nabi kutokana na Pressure ya mashabiki kuhusu mwendo wa timu hasa mechi za Kimataifa.
Mbona ulichoandika wewe na hizo hisia za mashabiki ni kitu kimoja ambacho ameandika mtoa mada..!
Kule ni kazi kazi makofi watapiga tu hapa bongoSasa kule Tunisia wataenda kumpigia makofi dakika ya ngapi..?
NABI yupo sanaaa!!Nilisema kuwa akikoswakoswa katika Derby ya Kariakoo (Simba na Yanga) basi atanasa katika Matokeo ya Mechi ya awali ya Club Africaine kama akifungwa au akitoka Sare na asiponaswa hapo anaenda Kuchinjiwa mazima kwa Matokeo ambayo anaenda kuyapata Jijini Tunis nchini Tunisia katika Mechi ya Marudiano.
Yaani niseme Jambo lisitokee? Kaeni tayari kwa Breaking News yoyote kumhusu Kocha Mkuu Nabi kuanzia Leo Alhamisi tarehe 3 Novemba hadi tarehe 9 au 10 Novemba kwani tokea Jana Moto Mkali umewaka huko Avic Town na Nabi Kamtukana Mtu huku Wachezaji Morisson na Aucho Wakitukanana.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!Sijaona chochote cha maana katika andishi lako. Ni speculations tu ambazo yeyote aweza kuwa nazo kutokana na pressure ya mashabiki na kiu ya kusonga mbele ktk mashindano ya kimataifa.
Nakuona kama mtu mwenye kiherehere tu ili jambo likitokea ujipatie credits za bure. Hakuna ambaye hajui au hahisi kuwa lolote laweza kutokea kwa Nabi kutokana na hali ilivyo ndani ya Yanga.
Hivyo usijifanye mjuaji saaaana wa mambo.
Nimesikitika kuwa umechelewa kujua kuwa GENTAMYCINE nachukiwa na sieleweki na Wapumbavu Wengi walioko hapa akiwemo huyo Uliyemjibu na hao Watu Watatu waliompa 'Likes' hapo.Sasa hapo hujaelewa nini? Yeye kasema kwa maoni yake ametabiri kufurushwa Nabi kutokana na Pressure ya mashabiki kuhusu mwendo wa timu hasa mechi za Kimataifa.
Mbona ulichoandika wewe na hizo hisia za mashabiki ni kitu kimoja ambacho ameandika mtoa mada..!
Rubbish.Soma sentensi ya kwanza ya aya ya pili ya mleta mada utaelewa kwanini nimeandika nilivyo andika.
Kwakuwa 'anakuweka' au?NABI yupo sanaaa!!
anamueka mwanaoKwakuwa 'anakuweka' au?
Kuna mapinduzi cup January, ni kimataifa kwao Uto kwenda Zenji.Sasa itakuwaje Aziz K , Morrison na Kisinda...maana waliletwa hapo utopolono kwa ajili ya International game...
Naona huruma sana
Kila siku morisson na aucho wanatukanana!?Nilisema kuwa akikoswakoswa katika Derby ya Kariakoo (Simba na Yanga) basi atanasa katika Matokeo ya Mechi ya awali ya Club Africaine kama akifungwa au akitoka Sare na asiponaswa hapo anaenda Kuchinjiwa mazima kwa Matokeo ambayo anaenda kuyapata Jijini Tunis nchini Tunisia katika Mechi ya Marudiano.
Yaani niseme Jambo lisitokee? Kaeni tayari kwa Breaking News yoyote kumhusu Kocha Mkuu Nabi kuanzia Leo Alhamisi tarehe 3 Novemba hadi tarehe 9 au 10 Novemba kwani tokea Jana Moto Mkali umewaka huko Avic Town na Nabi Kamtukana Mtu huku Wachezaji Morisson na Aucho Wakitukanana.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Unataka wafanyane kama Wewe unavyofanywa?Kila siku morisson na aucho wanatukanana!?
Popoma pro max...ungetunga uongo mpya,huu ni Kama umerudiaUnataka wafanyane kama Wewe unavyofanywa?
Sika????Sika letu la kisiasa Sana!!
Hatushangai!