Nilirudisha Milioni 3 niliyookota kwa mwenyewe, uamuzi uliobadilisha hatma ya maisha yangu

Nilirudisha Milioni 3 niliyookota kwa mwenyewe, uamuzi uliobadilisha hatma ya maisha yangu

Story yako inaweza ikawa ya kweli ila kwa kipindi hicho dollar ilikuwa ni kati 1,460 hadi 1,500 ila mwaka huo haikufika 1,600.
Nimekumbuka kwa kuwa mwaka huo nilikuwa nafanya kazi na kampuni fulani la nje tulikuwa tunalipwa kwa dollars. Kwahiyo kwenye kuchenji dollars 3000 usingeweza kupata hata 5,000, 000.
Nashukuru kwa kutenga muda wako na kutusimulia kunakitu tunaweza kujifunza kama binadamu, tukiacha tu kwenye sehemu ya kubadili pesa kwa kipindi hicho..
Nikweli mkuu nimekisia tu idadi ya zile dolar maana ni muda mrefu sana ila
Pole na hongera sana mkuu.

Ila sasa na hao wenye uwezo waliokusaidia, ndugu yao m3 ilitaka kumfanya kichaa? Mpaka akazimia? Kweli maisha ni fumbo.
Hata yeye alibaki kushangaa tu maana anawajua ndugu zake hawana desturi ya kusaidia kabisa. Alijua watanipoza tu hela ya pole. Lakini ni miujiza ya mungu tu
 
Story yako inaweza ikawa ya kweli ila kwa kipindi hicho dollar ilikuwa ni kati 1,460 hadi 1,500 ila mwaka huo haikufika 1,600.
Nimekumbuka kwa kuwa mwaka huo nilikuwa nafanya kazi na kampuni fulani la nje tulikuwa tunalipwa kwa dollars. Kwahiyo kwenye kuchenji dollars 3000 usingeweza kupata hata 5,000, 000.
Nashukuru kwa kutenga muda wako na kutusimulia kunakitu tunaweza kujifunza kama binadamu, tukiacha tu kwenye sehemu ya kubadili pesa kwa kipindi hicho..
Nikweli mkuu nimekisia tu idadi ya zile dollar maana ni muda mrefu lakini baada ya kubadili ilitoka mil6.43
 
Mkuu umeua sana japo baadhi ya matukio hayapo na uhalisia wa mazingira yenyewe salute
Ni kweli mkuu ni ngumu kuamini lakini amini kwamba tukio hili lilinibadili sana maisha na niliacha upuuzi wote maana niliamini Mungu yupo. Ni ngumu kuamini kiukweli lakini ni stori ya maisha yangu.
 
Nikweli mkuu nimekisia tu idadi ya zile dollar maana ni muda mrefu lakini baada ya kubadili ilitoka mil6.43kusahau pia ni sehemu

Nikweli mkuu nimekisia tu idadi ya zile dollar maana ni muda mrefu lakini baada ya kubadili ilitoka mil6.43
Kusahau ni sehemu ya ubinadamu.
Wema kwa asilimia kubwa unalipa hata kama sio moja kwa moja
 
SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO:

Habarini wana jamvi, yatosha kusema samahanini sana kwa waliofura maana hata mimi huwa sipendi stori za itaendelea ila nimegundua ni kwanini waandishi hufupisha hivyo nadhani uandishi ni zoezi kubwa sana at the same time unatamani stori iwafikie watu wengi. Lakini pia mniwie radhi kwa uandishi mbovu kwani binafsi sijawahi kutoa chapisho humu na wala sio mfasihi mzuri hivyo tuvumiliane tu na naamini fundisho lililonikuta litamfunza kila mmoja wetu.

Muendelezo tulipoishia:

Baada ya kumuonyesha mfuko ule yule bwana, nikamuuliza kama anaufahamu mfuko ule nikaufungua jamaa alipoziona hela tu alianguka na kuzimia, nilitahamaki sana nikajaribu kumpepea lakini jamaa hakurudisha fahamu hivyo ikanibidi nifunge mlango wa ofisi ili nikimbilie maji ya baridi dukani kichwani nawaza kama itakuaje asipo zinduka? Ila poteleapote nikanunua maji baridi nikarudi ofisini na kumwagia usoni, mungu si osmani asee yule bwana alizinduka lakini alikuwa kama bubu akiwa pale chini ameketi kitako nikamkabidhi mzigo wake aliubeba lakini mikono ilikuwa inatetemeka balaa mpaka akaudondosha chini. Ilimchukua kama dakika tano hivi jamaa kurudi kwenye ufahamu, ndipo jamaa akaniuliza kama mimi ni binadamu kweli au malaika? Nilibaki hoi kwa kicheko lakini jamaa alirudia swali lilelile, nilimtoa hofu nikamwambia awe na amani kabisa hivyo nikamwambia ahesabu pesa zake kama ni kamili ama zinamapungufu. Jamaa akagoma kuhesabu ila akasema zozote zilizomo basi azipasue kati anipatie nusu, ebwana huwezi amini nilizikataa katakata maana toka mwanzo nilijua ni pesa za mkopo na zinaenda kwenye biashara hivyo nikitoa kidogo tu nitakuwa nimemuharibia mahesabu yake naukizingatia marejesho ni palepale.
Nilimuomba jamaa arudi nyumbani kwani kama pesa ameshaipata lakini jamaa hakuridhika kabisa akaniambia basi twende pale mgahawani tumefika mgahawani jamaa akamuamuru mamalishe anihudumie kwa muda wa mwezi mmoja bure kabisa na ampe yeye bill, lakini pia nikaikataa ofa hiyo basi jamaa hakufurahi kabisa ila mm nilijua tu jamaa anafanya mambo out of excitement au furaha imemzidia, nikamwambia alipie chakula changu cha siku hiyo tu hivyo jamaa alinilipia samaki sato mkubwa na wali akanichukulia na soda, mpaka hapo jamaa alikuwa hanijui jina wala mimi simjui jina hivyo aliniuliza jina langu, nami pia nikamfahamu kwa jina la paschal tukabadilishana mawasiliano baadaya hapo jamaa aliniaga na kunishukuru sana, jamaa akaondoka huku akigeuka mara kwa mara kuniangalia mpaka akatokomea. Kichwani mawazo yananijia duh mtonyo si ningeupiga uleee..wazo lingine linaniambia nilichokifanya ni uungwana,,mara bahati hairudi mara mbili lakini potelea mbali nilifurahi kwani nilifanya uungwana kosa lilikuja pale nilipojaribu kusimulia jamaa na marafiki maana wengine walinitukana sana nakumbuka kuna jamaa yangu mpaka akaamua kunichunia kwamba kwann sikumshirikisha ilo dili huwezi amini jamaa alinipiga chini kabsaa akakataa urafiki na mimi.

Siku ziliendelea na majukumu yaliendelea kusonga kama kawaida lakini yule jamaa alikuwa na desturi ya kunipigia simu hususa ni akiwa anakuja kuhemea bidhaa za biashara yake hapo mwanza, jamaa alikuwa kama rafiki lakini yeye alipenda kuniita mimi ndugu yake na pia aliniambia ya kuwa ndugu zake wanayo shauku kubwa sana ya kunifahamu, kaka zake, mke wake na watoto wake woote wananiulizia sana, binafsi nilikuwa nachukulia poa tu na maisha yaliendelea kama kawaida, ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2011, kama kawaida yangu nimeamka nimechelewa sana nikiwa na hofu ya kuchelewa posho ilinibidi nichukue bodaboda ili niwahi posho, nilikuwa naona kama bodaboda haitembei mpaka nikawa namtukana dereva wa boda na kumwambia kama vipi akaenyuma nikanyagie chombo maana naona hatembei kabisaaa, jamaa ikabidi achomoke spidi kwelikweli tukafika kituo kimoja panaitwa nyegezi kona sehemu ambayo sio mbali kabisa na stend kuu huku nikiamini nimeshafika basi costa lililokuwa mbele yetu lilisimama ghafra hivyo boda aliamisha uelekeo akawa kama anaovertake lile costa, kilichofuata tulikutana uso kwa uso na prado ambayo nayo ilikua moto kwelikweli, ajali ile niliinusa mapema hivyo nilikuwa nawaza niruke, kwa haraka sana nilikanyaga siti ya boda nakuruka juu nilitua juu ya gari nakudondoka nyuma ya gari sikumbuki nilitua vipi lakini nilihamaki kuona mguu mmoja umegeuka nyuma mbele mbele nyuma, kichwani nimepasuka vibaya ukizingatia nilikua nanyoa para, huku nikilia kama mtoto nilimuomba jamaa mmoja kati ya watu wengi waliokuwa wametuzunguka pale chini ili aurudishie mguu wangu lakini hakuna aliyeweza kufanya hivyo ilinibidi niukamate mguu mwenyewe na kuurudisha mara moja ebwana maumivu ya hapo sio kwaida nilipoteza fahamu.

Kilichofuata nilizinduka nikajikuta nikiwa hospital nikiwa nimelala pembeni ya jamaa mmoja ambaye alikuwa ameharibika vibaya sana kiufupi hatamaniki nikajiangalia nikagundua mguu mmoja hauna fahamu lakini jeraha kichwani. Nilipiga kelele kidogo kumuita dokta mpaka ikafika muda dokta akaja kuniona, alimuita nesi na kumuuliza ya kwamba huyu na huyo pembeni yake ndio waliopata ajali ya bodaboda? Nesi alikubali, hivyo nikagundua kuwa yule jamaa ni dereva boda boda aliyekuwa amenibeba. Nilimuuliza dokta kama niko sawa niondoke zangu maana mule ndani palikuwa panatisha sana lakini pia nilitaka kujua niko hospita gani na wapi? Alinijibu kuwa nipo bugando hospital wakati ninazungumza na dokta ghafra hali ya yule bodaboda ikabadilika akaanza kurusha miguu so dokta akaita manesi ili apelekwe emergency fasta lakini nakumbuka kabla hata ya zoezi hilo la kumuamisha halijakamilika bodaboda yule alitulia dokta alienda kumcheki na kusikitika kilichofuata nesi alivuta shuka kumfunika uso hivyo nikapata majibu kuwa jamaa amefariki, hapo wasiwasi ulinipanda ukizingatia sina simu hapo wala nini na ninaishi geto sina mtu japo familia yangu ilikuwa hapo mwanza lakini ninawajulisha vipi? Nilimwambia dokta kwamba niko sawa sana naomba niondoke tu dokta alikataa akaniambia bado sijapimwa kujua ajali imeniathiri kwa kiasi gani. Nakumbuka ilipofika asubuhi walikuja jamaa zangu wawili kutokea pale stendi maana taarifa ziliwafikia.watu kibao pale stendi na uvumi ulikuwa ni kwamba nimepoteza maisha palepale, hivyo walikuja pale bugando kuhakikisha hivyo baada ya kunikosa mochwari ikabidi waje emergency na mwisho kabisa kwenye wodi za watu wa ajali na walifanikiwa kuniona, kiukweli nilifarijika sana kuwaona hao jamaa zangu, nikapata fursa ya kumpigia simu mama yangu pamoja na wanafamilia kuwajulisha jambo lile. Walifika mapema tu na ishu ya vipimo iliendelea hivyo nilipelekwa kufanyiwa kipimo na nikagundulika ya kwamba nimevunjika uti wa mgongo pamoja na mguu mmoja, hivyo daktari alinishauri kama ninaweza niende muhimbili au nitapata matibabu sahihi, baada ya hapo nilirudi nyumbani na ukizingatia nyumbani penyewe tia maji tia maji, hela za matibabu ikawa kitendawili, hivyo nikawa mtu wa kulala tu na kuamishwa kutolewa nje jioni kuingizwa ndani, ndio yakawa maisha yangu. Nakumbuka tajiri yangu pamoja na meneja walikuja kunisalimia siku moja hawakukaa sana na walipotaka kuondoka waliniachia shilingi elf10 tu japo ni ndogo ila niliiona ni kubwa mno maana nilikua na upweke wa ajabu maana sikuwaona marafiki wala ndugu kunichangia matibabu, hivyo nilikuwa siioni hatma ya maisha yangu na kuna muda niliona kama ndio mwisho wangu, maumivu yalikuwa ni makali sana mpaka ilifika muda nilimuomba mama yangu mwenyewe aniwekee hata sumu ili nife nikikwepe kikombe hiki cha mateso ninayopitia, nakumbuka mama yangu alilia sana aliniambia huo ni mtihani tu yatapita, japo niliona ananienjoy tu maana juzi ni kama jana na jana ni kama leo tu hakuna jipya zaidi ni maumivu kila siku.

Ilipita miezi mitatu hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya,mguu wangu ulipona vizuri lakini tatizo lilibaki kwenye mgongo. Nakumbuka ilikuwa ni asubuhi mida ya saa nne nimetolewa kibarazani ilipigwa simu yangu sana simu ilikuwa ndani na hakukuwa na mtu ndani nami sikuwa na uwezo wa kutembea kuifuata hivyo nitulia tu nikisubiri kama atatokea mtu yeyote nimuagize, bimkubwa alirudi kutoka kuchota maji nilimuomba aniletee simu, nilikuta missed calls3 na namba ilikuwa ngeni hivyo nilimuomba bimkubwa simu yake ili niipigie namba ile. Niliipiga na alipokea katika kumuuliza niligundua ni yule jamaa bwana paschal mkurya niliemsaidia takribani mwaka mmoja hivi ulisha pita jamaa alinijulisha ya kwamba hiyo ninamba yake pia lakini aliniuliza kama nipo stendi maana yupo mwanza na anahitaji nimkatie tiketi ili akifika stendi tu asigande afike na kuondoka, nilimwambia niko nyumbani na ninamatatizo ya kiafya ni miezi takribani minne sifanyi kazi, jamaa alitahamaki sana na akaniomba nimuelekeze nyumbani ili aje kunijulia hali na aliahirisha mpango wa kusafiri mpaka aje anione kwanza, basi nilimuelekeza jamaa akachukua boda mpaka mtaani kwetu na alifanikiwa kunikuta nikiwa nimelala nje kwenye mkeka, jamaa alitekewa sana kuniona katika hali ile, nilimsimulia kisa chote yaliyonikuta jamaa alionekana kuguswa sana tulizungumza muda mrefu sana na ilipofikia jioni aliaga kuondoka na kuniachia kiasi cha laki moja lakini aliniambia atarudi kwani kuna ndugu zake kutokea kenya wapo nyumbani kwake angependa waje wote kunijulia hali kwani wote hao wananifahamu vizuri japo mimi siwafahamu namara kwa mara hukumbushia tukio langu mimi kumrudishia pesa zake huyu jamaa yangu. Nilifurahi sana maana tangu niugue sijawahi kupewa lakimoja kama pole. Ilipita siku tatu ulikuja ugeni wa maana pale nyumbani, yalikuwa majira ya saasita mchana ilikuwa discovery nyeusi yenye plate number ya kenya mbele ya nyumba yetu na kama kawaida nilikuwa nimelazwa nje hivyo nilishuhudia wakishuka wanaume wawili nisio wafahamu ,mwanamke mmoja pamoja na yule jamaa yangu. Nilimuita bimkubwa ili aje kuwapokea wageni hao.

Wageni hawakutaka kuingia ndani bali waliomba viti tu, waliketi na kujitambulisha wale jamaa wawili walikuwa ni kaka wa huyu bwana paschal na yule mwanamke ni mke wa mmoja wa wale ndugu, bwana paschal aniendelea kwa kuwanadi ya kwamba yule mkubwa anaitwa Marwa ni pilot huko kenya na huyo mwingine anaitwa Rhobi ni daktari huko kenya na yule mwanamke ni mke wa bwana Rhobi pia, jamaa walipenda kujua kisa na mkasa mpaka niko kwenye hali hiyo, nilisimulia vyote na cha ajabu sasa ni pale ambapo waliniahidi matibabu yangu tena katika hispitali kubwa tu nchini kenya kiukweli niliona ni drama au labda ninaota tu, walisema wanarudi kenya baada ya siku mbili na kama sitojari niondoke nao hiyo siku ili nikaanze matibabu jamaa walisema mimi ni kama ndugu kwao kwani kwa nilichomfanyia mdogo wao ni zaidi ya hisani hivyo wala nisiwe na wasiwasi. Mama yangu alibaki midomo wazi, baada ya siku mbili nilisafilishwa kwenda musoma na walinisafilisha kutoka musoma mpaka nairobi kwa gari.

Naomba kufupisha, nilitibiwa kwa muda wa miezi minne na nikapata nafuu kubwa sana mpaka kuanza kutembea japo taratibu katika hospitali mzuri hapo nairobi huku matibabu yote nikigharamiwa na huyu bwana Marwa ambae ni pilot by profession akishirikiana na mdogo wake. Niliagwa mwezi wa kumi mwaka 2011 nikiwa nimekumbuka sana nyumbani niliwaomba jamaa hawa nirudi nyumbani nikaendelee na mazoezi, lakini jamaa walinipenda sana hawakuridhia kabisa nakumbuka brother Marwa baada ya mimi kuomba sana ruksa aliniambia anasafari na akirudi ataniruhusu kipindi hicho chote niliishi nyumbani kwake sehemu moja panaitwa muthaiga ni ushuani kwelikweli, jamaa alikuwa na watoto wakubwa lakini hakuwa na mke kwani mkewe alishafariki kitambo, baada ya wiki mbili alirudi kutoka safarini na tulizungumza nilimshukuru sana kwa hisani yake kwangu, jamaa aliruhusu mimi kuondoka lakini alinipa bahasha na aliniambia nisiifungue mpaka nitakapofika nyumbani, niliwasiliana na bwana Rhobi ambaye alishirikiana begakwa bega na brother Marwa katika matibabu yangu kumuaga na pia kumshukuru sana kwa hisani yake kwangu.
Nilianza safari kuelekea silali boda la kenya na mara. Nilipovuka niliwasiliana na bwana Paschal naye aliomba sana nikifika musoma nipite kwake, nilifanya hivyo mida ya jioni nilifika musoma nilionana na bwana Paschal, jamaa alifurahi kuniona aliniambia kitu kimoja kikanishangaza sana, alisema yeye pia haamini ya kuwa kaka zake wamenifanyia hisani kubwa sana kwani kwa anavyowajua huwa sio watu wa kutoa misaada na hata katika familia huwa hawatoi misaada na wamejitenga kabisa basi tukabaki kucheka na kusema ya mungu ni mengi na unaweza saidiwa na mtu usiye tarajia. Nililala hapo musoma na kesho yake alfajiri niliamkia mwanza, nilipofika nyumbani nilimkuta mama yangu pamoja na dada yangu na wadogo zangu wakiwa na shauku kubwa ya kuniona, kiukweli mama yangu alilia kuniona natembea japo taratibu, mimi pia nililia japo mwanaume, yaliendelea mengi hapo nyumbani,nilijisahau kabisa kama nilipewa bahasha na brother Marwa kutokana na furaha niliyoikuta pale nyumbani hivyo ilipofika jioni ndipo nikakumbuka so nikaenda chumbani kuicheki ile bahasha iliyo kuwa ndani ya begi langu la nguo, bahasha ilikuwa haitishi maana ilikuwa haijatuna wala nn, nilipoifungua nilikuta bundle la hela za dollar100 kila moja nilizihesabu zilikua ni noti thelathini za dola mia. Nilizichukulia poa kesho yake nilioga freshi nikaenda mjini mwanza kuna hotel moja inaitwa Gold crest, pale kuna duka la kubadili fedha za kigeni sasa pale ndio nilistaajabu ya musa kwani nilipewa kiasi cha shilingi milioni sita na laki nne na thelathini, nilijitahidi kumpigia brother Marwa ila akawa hapatikani nilitamani kumpigia kumshukuru, amekuwa mtu busy sana na sikufanikiwa kumpata mpaka leo. Pesa ile ilinibadilishia maisha mpaka leo hii nina mambo yangu ninafanya, nimeoa na nina mtoto. Paschal ni kaka yangu mpaka leo na ninaposema wema wangu ulibadilisha hatma ya maisha yangu ninamaanisha pakubwa sana maana labda ningekuwa mlemavu au labda ningeshapoteza maisha au ningekuwa tingo mpiga debe stendi mpaka leo.

NI WITO WANGU KWA VIJANA WENZANGU TUDUMU KATIKA KUFANYA MAMBO MEMA MUNGU NDIYE AJUAE KESHO YAKO NA MUNGU NDIYE MLIPAJI.
Wema hauozi
 
SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO:

Habarini wana jamvi, yatosha kusema samahanini sana kwa waliofura maana hata mimi huwa sipendi stori za itaendelea ila nimegundua ni kwanini waandishi hufupisha hivyo nadhani uandishi ni zoezi kubwa sana at the same time unatamani stori iwafikie watu wengi. Lakini pia mniwie radhi kwa uandishi mbovu kwani binafsi sijawahi kutoa chapisho humu na wala sio mfasihi mzuri hivyo tuvumiliane tu na naamini fundisho lililonikuta litamfunza kila mmoja wetu.

Muendelezo tulipoishia:

Baada ya kumuonyesha mfuko ule yule bwana, nikamuuliza kama anaufahamu mfuko ule nikaufungua jamaa alipoziona hela tu alianguka na kuzimia, nilitahamaki sana nikajaribu kumpepea lakini jamaa hakurudisha fahamu hivyo ikanibidi nifunge mlango wa ofisi ili nikimbilie maji ya baridi dukani kichwani nawaza kama itakuaje asipo zinduka? Ila poteleapote nikanunua maji baridi nikarudi ofisini na kumwagia usoni, mungu si osmani asee yule bwana alizinduka lakini alikuwa kama bubu akiwa pale chini ameketi kitako nikamkabidhi mzigo wake aliubeba lakini mikono ilikuwa inatetemeka balaa mpaka akaudondosha chini. Ilimchukua kama dakika tano hivi jamaa kurudi kwenye ufahamu, ndipo jamaa akaniuliza kama mimi ni binadamu kweli au malaika? Nilibaki hoi kwa kicheko lakini jamaa alirudia swali lilelile, nilimtoa hofu nikamwambia awe na amani kabisa hivyo nikamwambia ahesabu pesa zake kama ni kamili ama zinamapungufu. Jamaa akagoma kuhesabu ila akasema zozote zilizomo basi azipasue kati anipatie nusu, ebwana huwezi amini nilizikataa katakata maana toka mwanzo nilijua ni pesa za mkopo na zinaenda kwenye biashara hivyo nikitoa kidogo tu nitakuwa nimemuharibia mahesabu yake naukizingatia marejesho ni palepale.
Nilimuomba jamaa arudi nyumbani kwani kama pesa ameshaipata lakini jamaa hakuridhika kabisa akaniambia basi twende pale mgahawani tumefika mgahawani jamaa akamuamuru mamalishe anihudumie kwa muda wa mwezi mmoja bure kabisa na ampe yeye bill, lakini pia nikaikataa ofa hiyo basi jamaa hakufurahi kabisa ila mm nilijua tu jamaa anafanya mambo out of excitement au furaha imemzidia, nikamwambia alipie chakula changu cha siku hiyo tu hivyo jamaa alinilipia samaki sato mkubwa na wali akanichukulia na soda, mpaka hapo jamaa alikuwa hanijui jina wala mimi simjui jina hivyo aliniuliza jina langu, nami pia nikamfahamu kwa jina la paschal tukabadilishana mawasiliano baadaya hapo jamaa aliniaga na kunishukuru sana, jamaa akaondoka huku akigeuka mara kwa mara kuniangalia mpaka akatokomea. Kichwani mawazo yananijia duh mtonyo si ningeupiga uleee..wazo lingine linaniambia nilichokifanya ni uungwana,,mara bahati hairudi mara mbili lakini potelea mbali nilifurahi kwani nilifanya uungwana kosa lilikuja pale nilipojaribu kusimulia jamaa na marafiki maana wengine walinitukana sana nakumbuka kuna jamaa yangu mpaka akaamua kunichunia kwamba kwann sikumshirikisha ilo dili huwezi amini jamaa alinipiga chini kabsaa akakataa urafiki na mimi.

Siku ziliendelea na majukumu yaliendelea kusonga kama kawaida lakini yule jamaa alikuwa na desturi ya kunipigia simu hususa ni akiwa anakuja kuhemea bidhaa za biashara yake hapo mwanza, jamaa alikuwa kama rafiki lakini yeye alipenda kuniita mimi ndugu yake na pia aliniambia ya kuwa ndugu zake wanayo shauku kubwa sana ya kunifahamu, kaka zake, mke wake na watoto wake woote wananiulizia sana, binafsi nilikuwa nachukulia poa tu na maisha yaliendelea kama kawaida, ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2011, kama kawaida yangu nimeamka nimechelewa sana nikiwa na hofu ya kuchelewa posho ilinibidi nichukue bodaboda ili niwahi posho, nilikuwa naona kama bodaboda haitembei mpaka nikawa namtukana dereva wa boda na kumwambia kama vipi akaenyuma nikanyagie chombo maana naona hatembei kabisaaa, jamaa ikabidi achomoke spidi kwelikweli tukafika kituo kimoja panaitwa nyegezi kona sehemu ambayo sio mbali kabisa na stend kuu huku nikiamini nimeshafika basi costa lililokuwa mbele yetu lilisimama ghafra hivyo boda aliamisha uelekeo akawa kama anaovertake lile costa, kilichofuata tulikutana uso kwa uso na prado ambayo nayo ilikua moto kwelikweli, ajali ile niliinusa mapema hivyo nilikuwa nawaza niruke, kwa haraka sana nilikanyaga siti ya boda nakuruka juu nilitua juu ya gari nakudondoka nyuma ya gari sikumbuki nilitua vipi lakini nilihamaki kuona mguu mmoja umegeuka nyuma mbele mbele nyuma, kichwani nimepasuka vibaya ukizingatia nilikua nanyoa para, huku nikilia kama mtoto nilimuomba jamaa mmoja kati ya watu wengi waliokuwa wametuzunguka pale chini ili aurudishie mguu wangu lakini hakuna aliyeweza kufanya hivyo ilinibidi niukamate mguu mwenyewe na kuurudisha mara moja ebwana maumivu ya hapo sio kwaida nilipoteza fahamu.

Kilichofuata nilizinduka nikajikuta nikiwa hospital nikiwa nimelala pembeni ya jamaa mmoja ambaye alikuwa ameharibika vibaya sana kiufupi hatamaniki nikajiangalia nikagundua mguu mmoja hauna fahamu lakini jeraha kichwani. Nilipiga kelele kidogo kumuita dokta mpaka ikafika muda dokta akaja kuniona, alimuita nesi na kumuuliza ya kwamba huyu na huyo pembeni yake ndio waliopata ajali ya bodaboda? Nesi alikubali, hivyo nikagundua kuwa yule jamaa ni dereva boda boda aliyekuwa amenibeba. Nilimuuliza dokta kama niko sawa niondoke zangu maana mule ndani palikuwa panatisha sana lakini pia nilitaka kujua niko hospita gani na wapi? Alinijibu kuwa nipo bugando hospital wakati ninazungumza na dokta ghafra hali ya yule bodaboda ikabadilika akaanza kurusha miguu so dokta akaita manesi ili apelekwe emergency fasta lakini nakumbuka kabla hata ya zoezi hilo la kumuamisha halijakamilika bodaboda yule alitulia dokta alienda kumcheki na kusikitika kilichofuata nesi alivuta shuka kumfunika uso hivyo nikapata majibu kuwa jamaa amefariki, hapo wasiwasi ulinipanda ukizingatia sina simu hapo wala nini na ninaishi geto sina mtu japo familia yangu ilikuwa hapo mwanza lakini ninawajulisha vipi? Nilimwambia dokta kwamba niko sawa sana naomba niondoke tu dokta alikataa akaniambia bado sijapimwa kujua ajali imeniathiri kwa kiasi gani. Nakumbuka ilipofika asubuhi walikuja jamaa zangu wawili kutokea pale stendi maana taarifa ziliwafikia.watu kibao pale stendi na uvumi ulikuwa ni kwamba nimepoteza maisha palepale, hivyo walikuja pale bugando kuhakikisha hivyo baada ya kunikosa mochwari ikabidi waje emergency na mwisho kabisa kwenye wodi za watu wa ajali na walifanikiwa kuniona, kiukweli nilifarijika sana kuwaona hao jamaa zangu, nikapata fursa ya kumpigia simu mama yangu pamoja na wanafamilia kuwajulisha jambo lile. Walifika mapema tu na ishu ya vipimo iliendelea hivyo nilipelekwa kufanyiwa kipimo na nikagundulika ya kwamba nimevunjika uti wa mgongo pamoja na mguu mmoja, hivyo daktari alinishauri kama ninaweza niende muhimbili au nitapata matibabu sahihi, baada ya hapo nilirudi nyumbani na ukizingatia nyumbani penyewe tia maji tia maji, hela za matibabu ikawa kitendawili, hivyo nikawa mtu wa kulala tu na kuamishwa kutolewa nje jioni kuingizwa ndani, ndio yakawa maisha yangu. Nakumbuka tajiri yangu pamoja na meneja walikuja kunisalimia siku moja hawakukaa sana na walipotaka kuondoka waliniachia shilingi elf10 tu japo ni ndogo ila niliiona ni kubwa mno maana nilikua na upweke wa ajabu maana sikuwaona marafiki wala ndugu kunichangia matibabu, hivyo nilikuwa siioni hatma ya maisha yangu na kuna muda niliona kama ndio mwisho wangu, maumivu yalikuwa ni makali sana mpaka ilifika muda nilimuomba mama yangu mwenyewe aniwekee hata sumu ili nife nikikwepe kikombe hiki cha mateso ninayopitia, nakumbuka mama yangu alilia sana aliniambia huo ni mtihani tu yatapita, japo niliona ananienjoy tu maana juzi ni kama jana na jana ni kama leo tu hakuna jipya zaidi ni maumivu kila siku.

Ilipita miezi mitatu hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya,mguu wangu ulipona vizuri lakini tatizo lilibaki kwenye mgongo. Nakumbuka ilikuwa ni asubuhi mida ya saa nne nimetolewa kibarazani ilipigwa simu yangu sana simu ilikuwa ndani na hakukuwa na mtu ndani nami sikuwa na uwezo wa kutembea kuifuata hivyo nitulia tu nikisubiri kama atatokea mtu yeyote nimuagize, bimkubwa alirudi kutoka kuchota maji nilimuomba aniletee simu, nilikuta missed calls3 na namba ilikuwa ngeni hivyo nilimuomba bimkubwa simu yake ili niipigie namba ile. Niliipiga na alipokea katika kumuuliza niligundua ni yule jamaa bwana paschal mkurya niliemsaidia takribani mwaka mmoja hivi ulisha pita jamaa alinijulisha ya kwamba hiyo ninamba yake pia lakini aliniuliza kama nipo stendi maana yupo mwanza na anahitaji nimkatie tiketi ili akifika stendi tu asigande afike na kuondoka, nilimwambia niko nyumbani na ninamatatizo ya kiafya ni miezi takribani minne sifanyi kazi, jamaa alitahamaki sana na akaniomba nimuelekeze nyumbani ili aje kunijulia hali na aliahirisha mpango wa kusafiri mpaka aje anione kwanza, basi nilimuelekeza jamaa akachukua boda mpaka mtaani kwetu na alifanikiwa kunikuta nikiwa nimelala nje kwenye mkeka, jamaa alitekewa sana kuniona katika hali ile, nilimsimulia kisa chote yaliyonikuta jamaa alionekana kuguswa sana tulizungumza muda mrefu sana na ilipofikia jioni aliaga kuondoka na kuniachia kiasi cha laki moja lakini aliniambia atarudi kwani kuna ndugu zake kutokea kenya wapo nyumbani kwake angependa waje wote kunijulia hali kwani wote hao wananifahamu vizuri japo mimi siwafahamu namara kwa mara hukumbushia tukio langu mimi kumrudishia pesa zake huyu jamaa yangu. Nilifurahi sana maana tangu niugue sijawahi kupewa lakimoja kama pole. Ilipita siku tatu ulikuja ugeni wa maana pale nyumbani, yalikuwa majira ya saasita mchana ilikuwa discovery nyeusi yenye plate number ya kenya mbele ya nyumba yetu na kama kawaida nilikuwa nimelazwa nje hivyo nilishuhudia wakishuka wanaume wawili nisio wafahamu ,mwanamke mmoja pamoja na yule jamaa yangu. Nilimuita bimkubwa ili aje kuwapokea wageni hao.

Wageni hawakutaka kuingia ndani bali waliomba viti tu, waliketi na kujitambulisha wale jamaa wawili walikuwa ni kaka wa huyu bwana paschal na yule mwanamke ni mke wa mmoja wa wale ndugu, bwana paschal aniendelea kwa kuwanadi ya kwamba yule mkubwa anaitwa Marwa ni pilot huko kenya na huyo mwingine anaitwa Rhobi ni daktari huko kenya na yule mwanamke ni mke wa bwana Rhobi pia, jamaa walipenda kujua kisa na mkasa mpaka niko kwenye hali hiyo, nilisimulia vyote na cha ajabu sasa ni pale ambapo waliniahidi matibabu yangu tena katika hispitali kubwa tu nchini kenya kiukweli niliona ni drama au labda ninaota tu, walisema wanarudi kenya baada ya siku mbili na kama sitojari niondoke nao hiyo siku ili nikaanze matibabu jamaa walisema mimi ni kama ndugu kwao kwani kwa nilichomfanyia mdogo wao ni zaidi ya hisani hivyo wala nisiwe na wasiwasi. Mama yangu alibaki midomo wazi, baada ya siku mbili nilisafilishwa kwenda musoma na walinisafilisha kutoka musoma mpaka nairobi kwa gari.

Naomba kufupisha, nilitibiwa kwa muda wa miezi minne na nikapata nafuu kubwa sana mpaka kuanza kutembea japo taratibu katika hospitali mzuri hapo nairobi huku matibabu yote nikigharamiwa na huyu bwana Marwa ambae ni pilot by profession akishirikiana na mdogo wake. Niliagwa mwezi wa kumi mwaka 2011 nikiwa nimekumbuka sana nyumbani niliwaomba jamaa hawa nirudi nyumbani nikaendelee na mazoezi, lakini jamaa walinipenda sana hawakuridhia kabisa nakumbuka brother Marwa baada ya mimi kuomba sana ruksa aliniambia anasafari na akirudi ataniruhusu kipindi hicho chote niliishi nyumbani kwake sehemu moja panaitwa muthaiga ni ushuani kwelikweli, jamaa alikuwa na watoto wakubwa lakini hakuwa na mke kwani mkewe alishafariki kitambo, baada ya wiki mbili alirudi kutoka safarini na tulizungumza nilimshukuru sana kwa hisani yake kwangu, jamaa aliruhusu mimi kuondoka lakini alinipa bahasha na aliniambia nisiifungue mpaka nitakapofika nyumbani, niliwasiliana na bwana Rhobi ambaye alishirikiana begakwa bega na brother Marwa katika matibabu yangu kumuaga na pia kumshukuru sana kwa hisani yake kwangu.
Nilianza safari kuelekea silali boda la kenya na mara. Nilipovuka niliwasiliana na bwana Paschal naye aliomba sana nikifika musoma nipite kwake, nilifanya hivyo mida ya jioni nilifika musoma nilionana na bwana Paschal, jamaa alifurahi kuniona aliniambia kitu kimoja kikanishangaza sana, alisema yeye pia haamini ya kuwa kaka zake wamenifanyia hisani kubwa sana kwani kwa anavyowajua huwa sio watu wa kutoa misaada na hata katika familia huwa hawatoi misaada na wamejitenga kabisa basi tukabaki kucheka na kusema ya mungu ni mengi na unaweza saidiwa na mtu usiye tarajia. Nililala hapo musoma na kesho yake alfajiri niliamkia mwanza, nilipofika nyumbani nilimkuta mama yangu pamoja na dada yangu na wadogo zangu wakiwa na shauku kubwa ya kuniona, kiukweli mama yangu alilia kuniona natembea japo taratibu, mimi pia nililia japo mwanaume, yaliendelea mengi hapo nyumbani,nilijisahau kabisa kama nilipewa bahasha na brother Marwa kutokana na furaha niliyoikuta pale nyumbani hivyo ilipofika jioni ndipo nikakumbuka so nikaenda chumbani kuicheki ile bahasha iliyo kuwa ndani ya begi langu la nguo, bahasha ilikuwa haitishi maana ilikuwa haijatuna wala nn, nilipoifungua nilikuta bundle la hela za dollar100 kila moja nilizihesabu zilikua ni noti thelathini za dola mia. Nilizichukulia poa kesho yake nilioga freshi nikaenda mjini mwanza kuna hotel moja inaitwa Gold crest, pale kuna duka la kubadili fedha za kigeni sasa pale ndio nilistaajabu ya musa kwani nilipewa kiasi cha shilingi milioni sita na laki nne na thelathini, nilijitahidi kumpigia brother Marwa ila akawa hapatikani nilitamani kumpigia kumshukuru, amekuwa mtu busy sana na sikufanikiwa kumpata mpaka leo. Pesa ile ilinibadilishia maisha mpaka leo hii nina mambo yangu ninafanya, nimeoa na nina mtoto. Paschal ni kaka yangu mpaka leo na ninaposema wema wangu ulibadilisha hatma ya maisha yangu ninamaanisha pakubwa sana maana labda ningekuwa mlemavu au labda ningeshapoteza maisha au ningekuwa tingo mpiga debe stendi mpaka leo.

NI WITO WANGU KWA VIJANA WENZANGU TUDUMU KATIKA KUFANYA MAMBO MEMA MUNGU NDIYE AJUAE KESHO YAKO NA MUNGU NDIYE MLIPAJI.
Dah! Noma sana yani
 
SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO:

Habarini wana jamvi, yatosha kusema samahanini sana kwa waliofura maana hata mimi huwa sipendi stori za itaendelea ila nimegundua ni kwanini waandishi hufupisha hivyo nadhani uandishi ni zoezi kubwa sana at the same time unatamani stori iwafikie watu wengi. Lakini pia mniwie radhi kwa uandishi mbovu kwani binafsi sijawahi kutoa chapisho humu na wala sio mfasihi mzuri hivyo tuvumiliane tu na naamini fundisho lililonikuta litamfunza kila mmoja wetu.

Muendelezo tulipoishia:

Baada ya kumuonyesha mfuko ule yule bwana, nikamuuliza kama anaufahamu mfuko ule nikaufungua jamaa alipoziona hela tu alianguka na kuzimia, nilitahamaki sana nikajaribu kumpepea lakini jamaa hakurudisha fahamu hivyo ikanibidi nifunge mlango wa ofisi ili nikimbilie maji ya baridi dukani kichwani nawaza kama itakuaje asipo zinduka? Ila poteleapote nikanunua maji baridi nikarudi ofisini na kumwagia usoni, mungu si osmani asee yule bwana alizinduka lakini alikuwa kama bubu akiwa pale chini ameketi kitako nikamkabidhi mzigo wake aliubeba lakini mikono ilikuwa inatetemeka balaa mpaka akaudondosha chini. Ilimchukua kama dakika tano hivi jamaa kurudi kwenye ufahamu, ndipo jamaa akaniuliza kama mimi ni binadamu kweli au malaika? Nilibaki hoi kwa kicheko lakini jamaa alirudia swali lilelile, nilimtoa hofu nikamwambia awe na amani kabisa hivyo nikamwambia ahesabu pesa zake kama ni kamili ama zinamapungufu. Jamaa akagoma kuhesabu ila akasema zozote zilizomo basi azipasue kati anipatie nusu, ebwana huwezi amini nilizikataa katakata maana toka mwanzo nilijua ni pesa za mkopo na zinaenda kwenye biashara hivyo nikitoa kidogo tu nitakuwa nimemuharibia mahesabu yake naukizingatia marejesho ni palepale.
Nilimuomba jamaa arudi nyumbani kwani kama pesa ameshaipata lakini jamaa hakuridhika kabisa akaniambia basi twende pale mgahawani tumefika mgahawani jamaa akamuamuru mamalishe anihudumie kwa muda wa mwezi mmoja bure kabisa na ampe yeye bill, lakini pia nikaikataa ofa hiyo basi jamaa hakufurahi kabisa ila mm nilijua tu jamaa anafanya mambo out of excitement au furaha imemzidia, nikamwambia alipie chakula changu cha siku hiyo tu hivyo jamaa alinilipia samaki sato mkubwa na wali akanichukulia na soda, mpaka hapo jamaa alikuwa hanijui jina wala mimi simjui jina hivyo aliniuliza jina langu, nami pia nikamfahamu kwa jina la paschal tukabadilishana mawasiliano baadaya hapo jamaa aliniaga na kunishukuru sana, jamaa akaondoka huku akigeuka mara kwa mara kuniangalia mpaka akatokomea. Kichwani mawazo yananijia duh mtonyo si ningeupiga uleee..wazo lingine linaniambia nilichokifanya ni uungwana,,mara bahati hairudi mara mbili lakini potelea mbali nilifurahi kwani nilifanya uungwana kosa lilikuja pale nilipojaribu kusimulia jamaa na marafiki maana wengine walinitukana sana nakumbuka kuna jamaa yangu mpaka akaamua kunichunia kwamba kwann sikumshirikisha ilo dili huwezi amini jamaa alinipiga chini kabsaa akakataa urafiki na mimi.

Siku ziliendelea na majukumu yaliendelea kusonga kama kawaida lakini yule jamaa alikuwa na desturi ya kunipigia simu hususa ni akiwa anakuja kuhemea bidhaa za biashara yake hapo mwanza, jamaa alikuwa kama rafiki lakini yeye alipenda kuniita mimi ndugu yake na pia aliniambia ya kuwa ndugu zake wanayo shauku kubwa sana ya kunifahamu, kaka zake, mke wake na watoto wake woote wananiulizia sana, binafsi nilikuwa nachukulia poa tu na maisha yaliendelea kama kawaida, ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2011, kama kawaida yangu nimeamka nimechelewa sana nikiwa na hofu ya kuchelewa posho ilinibidi nichukue bodaboda ili niwahi posho, nilikuwa naona kama bodaboda haitembei mpaka nikawa namtukana dereva wa boda na kumwambia kama vipi akaenyuma nikanyagie chombo maana naona hatembei kabisaaa, jamaa ikabidi achomoke spidi kwelikweli tukafika kituo kimoja panaitwa nyegezi kona sehemu ambayo sio mbali kabisa na stend kuu huku nikiamini nimeshafika basi costa lililokuwa mbele yetu lilisimama ghafra hivyo boda aliamisha uelekeo akawa kama anaovertake lile costa, kilichofuata tulikutana uso kwa uso na prado ambayo nayo ilikua moto kwelikweli, ajali ile niliinusa mapema hivyo nilikuwa nawaza niruke, kwa haraka sana nilikanyaga siti ya boda nakuruka juu nilitua juu ya gari nakudondoka nyuma ya gari sikumbuki nilitua vipi lakini nilihamaki kuona mguu mmoja umegeuka nyuma mbele mbele nyuma, kichwani nimepasuka vibaya ukizingatia nilikua nanyoa para, huku nikilia kama mtoto nilimuomba jamaa mmoja kati ya watu wengi waliokuwa wametuzunguka pale chini ili aurudishie mguu wangu lakini hakuna aliyeweza kufanya hivyo ilinibidi niukamate mguu mwenyewe na kuurudisha mara moja ebwana maumivu ya hapo sio kwaida nilipoteza fahamu.

Kilichofuata nilizinduka nikajikuta nikiwa hospital nikiwa nimelala pembeni ya jamaa mmoja ambaye alikuwa ameharibika vibaya sana kiufupi hatamaniki nikajiangalia nikagundua mguu mmoja hauna fahamu lakini jeraha kichwani. Nilipiga kelele kidogo kumuita dokta mpaka ikafika muda dokta akaja kuniona, alimuita nesi na kumuuliza ya kwamba huyu na huyo pembeni yake ndio waliopata ajali ya bodaboda? Nesi alikubali, hivyo nikagundua kuwa yule jamaa ni dereva boda boda aliyekuwa amenibeba. Nilimuuliza dokta kama niko sawa niondoke zangu maana mule ndani palikuwa panatisha sana lakini pia nilitaka kujua niko hospita gani na wapi? Alinijibu kuwa nipo bugando hospital wakati ninazungumza na dokta ghafra hali ya yule bodaboda ikabadilika akaanza kurusha miguu so dokta akaita manesi ili apelekwe emergency fasta lakini nakumbuka kabla hata ya zoezi hilo la kumuamisha halijakamilika bodaboda yule alitulia dokta alienda kumcheki na kusikitika kilichofuata nesi alivuta shuka kumfunika uso hivyo nikapata majibu kuwa jamaa amefariki, hapo wasiwasi ulinipanda ukizingatia sina simu hapo wala nini na ninaishi geto sina mtu japo familia yangu ilikuwa hapo mwanza lakini ninawajulisha vipi? Nilimwambia dokta kwamba niko sawa sana naomba niondoke tu dokta alikataa akaniambia bado sijapimwa kujua ajali imeniathiri kwa kiasi gani. Nakumbuka ilipofika asubuhi walikuja jamaa zangu wawili kutokea pale stendi maana taarifa ziliwafikia.watu kibao pale stendi na uvumi ulikuwa ni kwamba nimepoteza maisha palepale, hivyo walikuja pale bugando kuhakikisha hivyo baada ya kunikosa mochwari ikabidi waje emergency na mwisho kabisa kwenye wodi za watu wa ajali na walifanikiwa kuniona, kiukweli nilifarijika sana kuwaona hao jamaa zangu, nikapata fursa ya kumpigia simu mama yangu pamoja na wanafamilia kuwajulisha jambo lile. Walifika mapema tu na ishu ya vipimo iliendelea hivyo nilipelekwa kufanyiwa kipimo na nikagundulika ya kwamba nimevunjika uti wa mgongo pamoja na mguu mmoja, hivyo daktari alinishauri kama ninaweza niende muhimbili au nitapata matibabu sahihi, baada ya hapo nilirudi nyumbani na ukizingatia nyumbani penyewe tia maji tia maji, hela za matibabu ikawa kitendawili, hivyo nikawa mtu wa kulala tu na kuamishwa kutolewa nje jioni kuingizwa ndani, ndio yakawa maisha yangu. Nakumbuka tajiri yangu pamoja na meneja walikuja kunisalimia siku moja hawakukaa sana na walipotaka kuondoka waliniachia shilingi elf10 tu japo ni ndogo ila niliiona ni kubwa mno maana nilikua na upweke wa ajabu maana sikuwaona marafiki wala ndugu kunichangia matibabu, hivyo nilikuwa siioni hatma ya maisha yangu na kuna muda niliona kama ndio mwisho wangu, maumivu yalikuwa ni makali sana mpaka ilifika muda nilimuomba mama yangu mwenyewe aniwekee hata sumu ili nife nikikwepe kikombe hiki cha mateso ninayopitia, nakumbuka mama yangu alilia sana aliniambia huo ni mtihani tu yatapita, japo niliona ananienjoy tu maana juzi ni kama jana na jana ni kama leo tu hakuna jipya zaidi ni maumivu kila siku.

Ilipita miezi mitatu hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya,mguu wangu ulipona vizuri lakini tatizo lilibaki kwenye mgongo. Nakumbuka ilikuwa ni asubuhi mida ya saa nne nimetolewa kibarazani ilipigwa simu yangu sana simu ilikuwa ndani na hakukuwa na mtu ndani nami sikuwa na uwezo wa kutembea kuifuata hivyo nitulia tu nikisubiri kama atatokea mtu yeyote nimuagize, bimkubwa alirudi kutoka kuchota maji nilimuomba aniletee simu, nilikuta missed calls3 na namba ilikuwa ngeni hivyo nilimuomba bimkubwa simu yake ili niipigie namba ile. Niliipiga na alipokea katika kumuuliza niligundua ni yule jamaa bwana paschal mkurya niliemsaidia takribani mwaka mmoja hivi ulisha pita jamaa alinijulisha ya kwamba hiyo ninamba yake pia lakini aliniuliza kama nipo stendi maana yupo mwanza na anahitaji nimkatie tiketi ili akifika stendi tu asigande afike na kuondoka, nilimwambia niko nyumbani na ninamatatizo ya kiafya ni miezi takribani minne sifanyi kazi, jamaa alitahamaki sana na akaniomba nimuelekeze nyumbani ili aje kunijulia hali na aliahirisha mpango wa kusafiri mpaka aje anione kwanza, basi nilimuelekeza jamaa akachukua boda mpaka mtaani kwetu na alifanikiwa kunikuta nikiwa nimelala nje kwenye mkeka, jamaa alitekewa sana kuniona katika hali ile, nilimsimulia kisa chote yaliyonikuta jamaa alionekana kuguswa sana tulizungumza muda mrefu sana na ilipofikia jioni aliaga kuondoka na kuniachia kiasi cha laki moja lakini aliniambia atarudi kwani kuna ndugu zake kutokea kenya wapo nyumbani kwake angependa waje wote kunijulia hali kwani wote hao wananifahamu vizuri japo mimi siwafahamu namara kwa mara hukumbushia tukio langu mimi kumrudishia pesa zake huyu jamaa yangu. Nilifurahi sana maana tangu niugue sijawahi kupewa lakimoja kama pole. Ilipita siku tatu ulikuja ugeni wa maana pale nyumbani, yalikuwa majira ya saasita mchana ilikuwa discovery nyeusi yenye plate number ya kenya mbele ya nyumba yetu na kama kawaida nilikuwa nimelazwa nje hivyo nilishuhudia wakishuka wanaume wawili nisio wafahamu ,mwanamke mmoja pamoja na yule jamaa yangu. Nilimuita bimkubwa ili aje kuwapokea wageni hao.

Wageni hawakutaka kuingia ndani bali waliomba viti tu, waliketi na kujitambulisha wale jamaa wawili walikuwa ni kaka wa huyu bwana paschal na yule mwanamke ni mke wa mmoja wa wale ndugu, bwana paschal aniendelea kwa kuwanadi ya kwamba yule mkubwa anaitwa Marwa ni pilot huko kenya na huyo mwingine anaitwa Rhobi ni daktari huko kenya na yule mwanamke ni mke wa bwana Rhobi pia, jamaa walipenda kujua kisa na mkasa mpaka niko kwenye hali hiyo, nilisimulia vyote na cha ajabu sasa ni pale ambapo waliniahidi matibabu yangu tena katika hispitali kubwa tu nchini kenya kiukweli niliona ni drama au labda ninaota tu, walisema wanarudi kenya baada ya siku mbili na kama sitojari niondoke nao hiyo siku ili nikaanze matibabu jamaa walisema mimi ni kama ndugu kwao kwani kwa nilichomfanyia mdogo wao ni zaidi ya hisani hivyo wala nisiwe na wasiwasi. Mama yangu alibaki midomo wazi, baada ya siku mbili nilisafilishwa kwenda musoma na walinisafilisha kutoka musoma mpaka nairobi kwa gari.

Naomba kufupisha, nilitibiwa kwa muda wa miezi minne na nikapata nafuu kubwa sana mpaka kuanza kutembea japo taratibu katika hospitali mzuri hapo nairobi huku matibabu yote nikigharamiwa na huyu bwana Marwa ambae ni pilot by profession akishirikiana na mdogo wake. Niliagwa mwezi wa kumi mwaka 2011 nikiwa nimekumbuka sana nyumbani niliwaomba jamaa hawa nirudi nyumbani nikaendelee na mazoezi, lakini jamaa walinipenda sana hawakuridhia kabisa nakumbuka brother Marwa baada ya mimi kuomba sana ruksa aliniambia anasafari na akirudi ataniruhusu kipindi hicho chote niliishi nyumbani kwake sehemu moja panaitwa muthaiga ni ushuani kwelikweli, jamaa alikuwa na watoto wakubwa lakini hakuwa na mke kwani mkewe alishafariki kitambo, baada ya wiki mbili alirudi kutoka safarini na tulizungumza nilimshukuru sana kwa hisani yake kwangu, jamaa aliruhusu mimi kuondoka lakini alinipa bahasha na aliniambia nisiifungue mpaka nitakapofika nyumbani, niliwasiliana na bwana Rhobi ambaye alishirikiana begakwa bega na brother Marwa katika matibabu yangu kumuaga na pia kumshukuru sana kwa hisani yake kwangu.
Nilianza safari kuelekea silali boda la kenya na mara. Nilipovuka niliwasiliana na bwana Paschal naye aliomba sana nikifika musoma nipite kwake, nilifanya hivyo mida ya jioni nilifika musoma nilionana na bwana Paschal, jamaa alifurahi kuniona aliniambia kitu kimoja kikanishangaza sana, alisema yeye pia haamini ya kuwa kaka zake wamenifanyia hisani kubwa sana kwani kwa anavyowajua huwa sio watu wa kutoa misaada na hata katika familia huwa hawatoi misaada na wamejitenga kabisa basi tukabaki kucheka na kusema ya mungu ni mengi na unaweza saidiwa na mtu usiye tarajia. Nililala hapo musoma na kesho yake alfajiri niliamkia mwanza, nilipofika nyumbani nilimkuta mama yangu pamoja na dada yangu na wadogo zangu wakiwa na shauku kubwa ya kuniona, kiukweli mama yangu alilia kuniona natembea japo taratibu, mimi pia nililia japo mwanaume, yaliendelea mengi hapo nyumbani,nilijisahau kabisa kama nilipewa bahasha na brother Marwa kutokana na furaha niliyoikuta pale nyumbani hivyo ilipofika jioni ndipo nikakumbuka so nikaenda chumbani kuicheki ile bahasha iliyo kuwa ndani ya begi langu la nguo, bahasha ilikuwa haitishi maana ilikuwa haijatuna wala nn, nilipoifungua nilikuta bundle la hela za dollar100 kila moja nilizihesabu zilikua ni noti thelathini za dola mia. Nilizichukulia poa kesho yake nilioga freshi nikaenda mjini mwanza kuna hotel moja inaitwa Gold crest, pale kuna duka la kubadili fedha za kigeni sasa pale ndio nilistaajabu ya musa kwani nilipewa kiasi cha shilingi milioni sita na laki nne na thelathini, nilijitahidi kumpigia brother Marwa ila akawa hapatikani nilitamani kumpigia kumshukuru, amekuwa mtu busy sana na sikufanikiwa kumpata mpaka leo. Pesa ile ilinibadilishia maisha mpaka leo hii nina mambo yangu ninafanya, nimeoa na nina mtoto. Paschal ni kaka yangu mpaka leo na ninaposema wema wangu ulibadilisha hatma ya maisha yangu ninamaanisha pakubwa sana maana labda ningekuwa mlemavu au labda ningeshapoteza maisha au ningekuwa tingo mpiga debe stendi mpaka leo.

NI WITO WANGU KWA VIJANA WENZANGU TUDUMU KATIKA KUFANYA MAMBO MEMA MUNGU NDIYE AJUAE KESHO YAKO NA MUNGU NDIYE MLIPAJI.
Ama kwa hakika kabisa wema hauozi, unapopanda mbegu ya wema itazaa kuanzia kizazi chako cha sasa mpaka kizazi chako cha nne, MUNGU WETU AENDELEE KUKUBARIKI.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO:

Habarini wana jamvi, yatosha kusema samahanini sana kwa waliofura maana hata mimi huwa sipendi stori za itaendelea ila nimegundua ni kwanini waandishi hufupisha hivyo nadhani uandishi ni zoezi kubwa sana at the same time unatamani stori iwafikie watu wengi. Lakini pia mniwie radhi kwa uandishi mbovu kwani binafsi sijawahi kutoa chapisho humu na wala sio mfasihi mzuri hivyo tuvumiliane tu na naamini fundisho lililonikuta litamfunza kila mmoja wetu.

Muendelezo tulipoishia:

Baada ya kumuonyesha mfuko ule yule bwana, nikamuuliza kama anaufahamu mfuko ule nikaufungua jamaa alipoziona hela tu alianguka na kuzimia, nilitahamaki sana nikajaribu kumpepea lakini jamaa hakurudisha fahamu hivyo ikanibidi nifunge mlango wa ofisi ili nikimbilie maji ya baridi dukani kichwani nawaza kama itakuaje asipo zinduka? Ila poteleapote nikanunua maji baridi nikarudi ofisini na kumwagia usoni, mungu si osmani asee yule bwana alizinduka lakini alikuwa kama bubu akiwa pale chini ameketi kitako nikamkabidhi mzigo wake aliubeba lakini mikono ilikuwa inatetemeka balaa mpaka akaudondosha chini. Ilimchukua kama dakika tano hivi jamaa kurudi kwenye ufahamu, ndipo jamaa akaniuliza kama mimi ni binadamu kweli au malaika? Nilibaki hoi kwa kicheko lakini jamaa alirudia swali lilelile, nilimtoa hofu nikamwambia awe na amani kabisa hivyo nikamwambia ahesabu pesa zake kama ni kamili ama zinamapungufu. Jamaa akagoma kuhesabu ila akasema zozote zilizomo basi azipasue kati anipatie nusu, ebwana huwezi amini nilizikataa katakata maana toka mwanzo nilijua ni pesa za mkopo na zinaenda kwenye biashara hivyo nikitoa kidogo tu nitakuwa nimemuharibia mahesabu yake naukizingatia marejesho ni palepale.
Nilimuomba jamaa arudi nyumbani kwani kama pesa ameshaipata lakini jamaa hakuridhika kabisa akaniambia basi twende pale mgahawani tumefika mgahawani jamaa akamuamuru mamalishe anihudumie kwa muda wa mwezi mmoja bure kabisa na ampe yeye bill, lakini pia nikaikataa ofa hiyo basi jamaa hakufurahi kabisa ila mm nilijua tu jamaa anafanya mambo out of excitement au furaha imemzidia, nikamwambia alipie chakula changu cha siku hiyo tu hivyo jamaa alinilipia samaki sato mkubwa na wali akanichukulia na soda, mpaka hapo jamaa alikuwa hanijui jina wala mimi simjui jina hivyo aliniuliza jina langu, nami pia nikamfahamu kwa jina la paschal tukabadilishana mawasiliano baadaya hapo jamaa aliniaga na kunishukuru sana, jamaa akaondoka huku akigeuka mara kwa mara kuniangalia mpaka akatokomea. Kichwani mawazo yananijia duh mtonyo si ningeupiga uleee..wazo lingine linaniambia nilichokifanya ni uungwana,,mara bahati hairudi mara mbili lakini potelea mbali nilifurahi kwani nilifanya uungwana kosa lilikuja pale nilipojaribu kusimulia jamaa na marafiki maana wengine walinitukana sana nakumbuka kuna jamaa yangu mpaka akaamua kunichunia kwamba kwann sikumshirikisha ilo dili huwezi amini jamaa alinipiga chini kabsaa akakataa urafiki na mimi.

Siku ziliendelea na majukumu yaliendelea kusonga kama kawaida lakini yule jamaa alikuwa na desturi ya kunipigia simu hususa ni akiwa anakuja kuhemea bidhaa za biashara yake hapo mwanza, jamaa alikuwa kama rafiki lakini yeye alipenda kuniita mimi ndugu yake na pia aliniambia ya kuwa ndugu zake wanayo shauku kubwa sana ya kunifahamu, kaka zake, mke wake na watoto wake woote wananiulizia sana, binafsi nilikuwa nachukulia poa tu na maisha yaliendelea kama kawaida, ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2011, kama kawaida yangu nimeamka nimechelewa sana nikiwa na hofu ya kuchelewa posho ilinibidi nichukue bodaboda ili niwahi posho, nilikuwa naona kama bodaboda haitembei mpaka nikawa namtukana dereva wa boda na kumwambia kama vipi akaenyuma nikanyagie chombo maana naona hatembei kabisaaa, jamaa ikabidi achomoke spidi kwelikweli tukafika kituo kimoja panaitwa nyegezi kona sehemu ambayo sio mbali kabisa na stend kuu huku nikiamini nimeshafika basi costa lililokuwa mbele yetu lilisimama ghafra hivyo boda aliamisha uelekeo akawa kama anaovertake lile costa, kilichofuata tulikutana uso kwa uso na prado ambayo nayo ilikua moto kwelikweli, ajali ile niliinusa mapema hivyo nilikuwa nawaza niruke, kwa haraka sana nilikanyaga siti ya boda nakuruka juu nilitua juu ya gari nakudondoka nyuma ya gari sikumbuki nilitua vipi lakini nilihamaki kuona mguu mmoja umegeuka nyuma mbele mbele nyuma, kichwani nimepasuka vibaya ukizingatia nilikua nanyoa para, huku nikilia kama mtoto nilimuomba jamaa mmoja kati ya watu wengi waliokuwa wametuzunguka pale chini ili aurudishie mguu wangu lakini hakuna aliyeweza kufanya hivyo ilinibidi niukamate mguu mwenyewe na kuurudisha mara moja ebwana maumivu ya hapo sio kwaida nilipoteza fahamu.

Kilichofuata nilizinduka nikajikuta nikiwa hospital nikiwa nimelala pembeni ya jamaa mmoja ambaye alikuwa ameharibika vibaya sana kiufupi hatamaniki nikajiangalia nikagundua mguu mmoja hauna fahamu lakini jeraha kichwani. Nilipiga kelele kidogo kumuita dokta mpaka ikafika muda dokta akaja kuniona, alimuita nesi na kumuuliza ya kwamba huyu na huyo pembeni yake ndio waliopata ajali ya bodaboda? Nesi alikubali, hivyo nikagundua kuwa yule jamaa ni dereva boda boda aliyekuwa amenibeba. Nilimuuliza dokta kama niko sawa niondoke zangu maana mule ndani palikuwa panatisha sana lakini pia nilitaka kujua niko hospita gani na wapi? Alinijibu kuwa nipo bugando hospital wakati ninazungumza na dokta ghafra hali ya yule bodaboda ikabadilika akaanza kurusha miguu so dokta akaita manesi ili apelekwe emergency fasta lakini nakumbuka kabla hata ya zoezi hilo la kumuamisha halijakamilika bodaboda yule alitulia dokta alienda kumcheki na kusikitika kilichofuata nesi alivuta shuka kumfunika uso hivyo nikapata majibu kuwa jamaa amefariki, hapo wasiwasi ulinipanda ukizingatia sina simu hapo wala nini na ninaishi geto sina mtu japo familia yangu ilikuwa hapo mwanza lakini ninawajulisha vipi? Nilimwambia dokta kwamba niko sawa sana naomba niondoke tu dokta alikataa akaniambia bado sijapimwa kujua ajali imeniathiri kwa kiasi gani. Nakumbuka ilipofika asubuhi walikuja jamaa zangu wawili kutokea pale stendi maana taarifa ziliwafikia.watu kibao pale stendi na uvumi ulikuwa ni kwamba nimepoteza maisha palepale, hivyo walikuja pale bugando kuhakikisha hivyo baada ya kunikosa mochwari ikabidi waje emergency na mwisho kabisa kwenye wodi za watu wa ajali na walifanikiwa kuniona, kiukweli nilifarijika sana kuwaona hao jamaa zangu, nikapata fursa ya kumpigia simu mama yangu pamoja na wanafamilia kuwajulisha jambo lile. Walifika mapema tu na ishu ya vipimo iliendelea hivyo nilipelekwa kufanyiwa kipimo na nikagundulika ya kwamba nimevunjika uti wa mgongo pamoja na mguu mmoja, hivyo daktari alinishauri kama ninaweza niende muhimbili au nitapata matibabu sahihi, baada ya hapo nilirudi nyumbani na ukizingatia nyumbani penyewe tia maji tia maji, hela za matibabu ikawa kitendawili, hivyo nikawa mtu wa kulala tu na kuamishwa kutolewa nje jioni kuingizwa ndani, ndio yakawa maisha yangu. Nakumbuka tajiri yangu pamoja na meneja walikuja kunisalimia siku moja hawakukaa sana na walipotaka kuondoka waliniachia shilingi elf10 tu japo ni ndogo ila niliiona ni kubwa mno maana nilikua na upweke wa ajabu maana sikuwaona marafiki wala ndugu kunichangia matibabu, hivyo nilikuwa siioni hatma ya maisha yangu na kuna muda niliona kama ndio mwisho wangu, maumivu yalikuwa ni makali sana mpaka ilifika muda nilimuomba mama yangu mwenyewe aniwekee hata sumu ili nife nikikwepe kikombe hiki cha mateso ninayopitia, nakumbuka mama yangu alilia sana aliniambia huo ni mtihani tu yatapita, japo niliona ananienjoy tu maana juzi ni kama jana na jana ni kama leo tu hakuna jipya zaidi ni maumivu kila siku.

Ilipita miezi mitatu hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya,mguu wangu ulipona vizuri lakini tatizo lilibaki kwenye mgongo. Nakumbuka ilikuwa ni asubuhi mida ya saa nne nimetolewa kibarazani ilipigwa simu yangu sana simu ilikuwa ndani na hakukuwa na mtu ndani nami sikuwa na uwezo wa kutembea kuifuata hivyo nitulia tu nikisubiri kama atatokea mtu yeyote nimuagize, bimkubwa alirudi kutoka kuchota maji nilimuomba aniletee simu, nilikuta missed calls3 na namba ilikuwa ngeni hivyo nilimuomba bimkubwa simu yake ili niipigie namba ile. Niliipiga na alipokea katika kumuuliza niligundua ni yule jamaa bwana paschal mkurya niliemsaidia takribani mwaka mmoja hivi ulisha pita jamaa alinijulisha ya kwamba hiyo ninamba yake pia lakini aliniuliza kama nipo stendi maana yupo mwanza na anahitaji nimkatie tiketi ili akifika stendi tu asigande afike na kuondoka, nilimwambia niko nyumbani na ninamatatizo ya kiafya ni miezi takribani minne sifanyi kazi, jamaa alitahamaki sana na akaniomba nimuelekeze nyumbani ili aje kunijulia hali na aliahirisha mpango wa kusafiri mpaka aje anione kwanza, basi nilimuelekeza jamaa akachukua boda mpaka mtaani kwetu na alifanikiwa kunikuta nikiwa nimelala nje kwenye mkeka, jamaa alitekewa sana kuniona katika hali ile, nilimsimulia kisa chote yaliyonikuta jamaa alionekana kuguswa sana tulizungumza muda mrefu sana na ilipofikia jioni aliaga kuondoka na kuniachia kiasi cha laki moja lakini aliniambia atarudi kwani kuna ndugu zake kutokea kenya wapo nyumbani kwake angependa waje wote kunijulia hali kwani wote hao wananifahamu vizuri japo mimi siwafahamu namara kwa mara hukumbushia tukio langu mimi kumrudishia pesa zake huyu jamaa yangu. Nilifurahi sana maana tangu niugue sijawahi kupewa lakimoja kama pole. Ilipita siku tatu ulikuja ugeni wa maana pale nyumbani, yalikuwa majira ya saasita mchana ilikuwa discovery nyeusi yenye plate number ya kenya mbele ya nyumba yetu na kama kawaida nilikuwa nimelazwa nje hivyo nilishuhudia wakishuka wanaume wawili nisio wafahamu ,mwanamke mmoja pamoja na yule jamaa yangu. Nilimuita bimkubwa ili aje kuwapokea wageni hao.

Wageni hawakutaka kuingia ndani bali waliomba viti tu, waliketi na kujitambulisha wale jamaa wawili walikuwa ni kaka wa huyu bwana paschal na yule mwanamke ni mke wa mmoja wa wale ndugu, bwana paschal aniendelea kwa kuwanadi ya kwamba yule mkubwa anaitwa Marwa ni pilot huko kenya na huyo mwingine anaitwa Rhobi ni daktari huko kenya na yule mwanamke ni mke wa bwana Rhobi pia, jamaa walipenda kujua kisa na mkasa mpaka niko kwenye hali hiyo, nilisimulia vyote na cha ajabu sasa ni pale ambapo waliniahidi matibabu yangu tena katika hispitali kubwa tu nchini kenya kiukweli niliona ni drama au labda ninaota tu, walisema wanarudi kenya baada ya siku mbili na kama sitojari niondoke nao hiyo siku ili nikaanze matibabu jamaa walisema mimi ni kama ndugu kwao kwani kwa nilichomfanyia mdogo wao ni zaidi ya hisani hivyo wala nisiwe na wasiwasi. Mama yangu alibaki midomo wazi, baada ya siku mbili nilisafilishwa kwenda musoma na walinisafilisha kutoka musoma mpaka nairobi kwa gari.

Naomba kufupisha, nilitibiwa kwa muda wa miezi minne na nikapata nafuu kubwa sana mpaka kuanza kutembea japo taratibu katika hospitali mzuri hapo nairobi huku matibabu yote nikigharamiwa na huyu bwana Marwa ambae ni pilot by profession akishirikiana na mdogo wake. Niliagwa mwezi wa kumi mwaka 2011 nikiwa nimekumbuka sana nyumbani niliwaomba jamaa hawa nirudi nyumbani nikaendelee na mazoezi, lakini jamaa walinipenda sana hawakuridhia kabisa nakumbuka brother Marwa baada ya mimi kuomba sana ruksa aliniambia anasafari na akirudi ataniruhusu kipindi hicho chote niliishi nyumbani kwake sehemu moja panaitwa muthaiga ni ushuani kwelikweli, jamaa alikuwa na watoto wakubwa lakini hakuwa na mke kwani mkewe alishafariki kitambo, baada ya wiki mbili alirudi kutoka safarini na tulizungumza nilimshukuru sana kwa hisani yake kwangu, jamaa aliruhusu mimi kuondoka lakini alinipa bahasha na aliniambia nisiifungue mpaka nitakapofika nyumbani, niliwasiliana na bwana Rhobi ambaye alishirikiana begakwa bega na brother Marwa katika matibabu yangu kumuaga na pia kumshukuru sana kwa hisani yake kwangu.
Nilianza safari kuelekea silali boda la kenya na mara. Nilipovuka niliwasiliana na bwana Paschal naye aliomba sana nikifika musoma nipite kwake, nilifanya hivyo mida ya jioni nilifika musoma nilionana na bwana Paschal, jamaa alifurahi kuniona aliniambia kitu kimoja kikanishangaza sana, alisema yeye pia haamini ya kuwa kaka zake wamenifanyia hisani kubwa sana kwani kwa anavyowajua huwa sio watu wa kutoa misaada na hata katika familia huwa hawatoi misaada na wamejitenga kabisa basi tukabaki kucheka na kusema ya mungu ni mengi na unaweza saidiwa na mtu usiye tarajia. Nililala hapo musoma na kesho yake alfajiri niliamkia mwanza, nilipofika nyumbani nilimkuta mama yangu pamoja na dada yangu na wadogo zangu wakiwa na shauku kubwa ya kuniona, kiukweli mama yangu alilia kuniona natembea japo taratibu, mimi pia nililia japo mwanaume, yaliendelea mengi hapo nyumbani,nilijisahau kabisa kama nilipewa bahasha na brother Marwa kutokana na furaha niliyoikuta pale nyumbani hivyo ilipofika jioni ndipo nikakumbuka so nikaenda chumbani kuicheki ile bahasha iliyo kuwa ndani ya begi langu la nguo, bahasha ilikuwa haitishi maana ilikuwa haijatuna wala nn, nilipoifungua nilikuta bundle la hela za dollar100 kila moja nilizihesabu zilikua ni noti thelathini za dola mia. Nilizichukulia poa kesho yake nilioga freshi nikaenda mjini mwanza kuna hotel moja inaitwa Gold crest, pale kuna duka la kubadili fedha za kigeni sasa pale ndio nilistaajabu ya musa kwani nilipewa kiasi cha shilingi milioni sita na laki nne na thelathini, nilijitahidi kumpigia brother Marwa ila akawa hapatikani nilitamani kumpigia kumshukuru, amekuwa mtu busy sana na sikufanikiwa kumpata mpaka leo. Pesa ile ilinibadilishia maisha mpaka leo hii nina mambo yangu ninafanya, nimeoa na nina mtoto. Paschal ni kaka yangu mpaka leo na ninaposema wema wangu ulibadilisha hatma ya maisha yangu ninamaanisha pakubwa sana maana labda ningekuwa mlemavu au labda ningeshapoteza maisha au ningekuwa tingo mpiga debe stendi mpaka leo.

NI WITO WANGU KWA VIJANA WENZANGU TUDUMU KATIKA KUFANYA MAMBO MEMA MUNGU NDIYE AJUAE KESHO YAKO NA MUNGU NDIYE MLIPAJI.
The true definition kuwa hukuonyesha roho ya kimasikini. Unaweza kuwa huna kitu ila ukamilifu wako ukawa kila kitu na ukakupa thamani kubwa..
 
SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO:

Habarini wana jamvi, yatosha kusema samahanini sana kwa waliofura maana hata mimi huwa sipendi stori za itaendelea ila nimegundua ni kwanini waandishi hufupisha hivyo nadhani uandishi ni zoezi kubwa sana at the same time unatamani stori iwafikie watu wengi. Lakini pia mniwie radhi kwa uandishi mbovu kwani binafsi sijawahi kutoa chapisho humu na wala sio mfasihi mzuri hivyo tuvumiliane tu na naamini fundisho lililonikuta litamfunza kila mmoja wetu.

Muendelezo tulipoishia:

Baada ya kumuonyesha mfuko ule yule bwana, nikamuuliza kama anaufahamu mfuko ule nikaufungua jamaa alipoziona hela tu alianguka na kuzimia, nilitahamaki sana nikajaribu kumpepea lakini jamaa hakurudisha fahamu hivyo ikanibidi nifunge mlango wa ofisi ili nikimbilie maji ya baridi dukani kichwani nawaza kama itakuaje asipo zinduka? Ila poteleapote nikanunua maji baridi nikarudi ofisini na kumwagia usoni, mungu si osmani asee yule bwana alizinduka lakini alikuwa kama bubu akiwa pale chini ameketi kitako nikamkabidhi mzigo wake aliubeba lakini mikono ilikuwa inatetemeka balaa mpaka akaudondosha chini. Ilimchukua kama dakika tano hivi jamaa kurudi kwenye ufahamu, ndipo jamaa akaniuliza kama mimi ni binadamu kweli au malaika? Nilibaki hoi kwa kicheko lakini jamaa alirudia swali lilelile, nilimtoa hofu nikamwambia awe na amani kabisa hivyo nikamwambia ahesabu pesa zake kama ni kamili ama zinamapungufu. Jamaa akagoma kuhesabu ila akasema zozote zilizomo basi azipasue kati anipatie nusu, ebwana huwezi amini nilizikataa katakata maana toka mwanzo nilijua ni pesa za mkopo na zinaenda kwenye biashara hivyo nikitoa kidogo tu nitakuwa nimemuharibia mahesabu yake naukizingatia marejesho ni palepale.
Nilimuomba jamaa arudi nyumbani kwani kama pesa ameshaipata lakini jamaa hakuridhika kabisa akaniambia basi twende pale mgahawani tumefika mgahawani jamaa akamuamuru mamalishe anihudumie kwa muda wa mwezi mmoja bure kabisa na ampe yeye bill, lakini pia nikaikataa ofa hiyo basi jamaa hakufurahi kabisa ila mm nilijua tu jamaa anafanya mambo out of excitement au furaha imemzidia, nikamwambia alipie chakula changu cha siku hiyo tu hivyo jamaa alinilipia samaki sato mkubwa na wali akanichukulia na soda, mpaka hapo jamaa alikuwa hanijui jina wala mimi simjui jina hivyo aliniuliza jina langu, nami pia nikamfahamu kwa jina la paschal tukabadilishana mawasiliano baadaya hapo jamaa aliniaga na kunishukuru sana, jamaa akaondoka huku akigeuka mara kwa mara kuniangalia mpaka akatokomea. Kichwani mawazo yananijia duh mtonyo si ningeupiga uleee..wazo lingine linaniambia nilichokifanya ni uungwana,,mara bahati hairudi mara mbili lakini potelea mbali nilifurahi kwani nilifanya uungwana kosa lilikuja pale nilipojaribu kusimulia jamaa na marafiki maana wengine walinitukana sana nakumbuka kuna jamaa yangu mpaka akaamua kunichunia kwamba kwann sikumshirikisha ilo dili huwezi amini jamaa alinipiga chini kabsaa akakataa urafiki na mimi.

Siku ziliendelea na majukumu yaliendelea kusonga kama kawaida lakini yule jamaa alikuwa na desturi ya kunipigia simu hususa ni akiwa anakuja kuhemea bidhaa za biashara yake hapo mwanza, jamaa alikuwa kama rafiki lakini yeye alipenda kuniita mimi ndugu yake na pia aliniambia ya kuwa ndugu zake wanayo shauku kubwa sana ya kunifahamu, kaka zake, mke wake na watoto wake woote wananiulizia sana, binafsi nilikuwa nachukulia poa tu na maisha yaliendelea kama kawaida, ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2011, kama kawaida yangu nimeamka nimechelewa sana nikiwa na hofu ya kuchelewa posho ilinibidi nichukue bodaboda ili niwahi posho, nilikuwa naona kama bodaboda haitembei mpaka nikawa namtukana dereva wa boda na kumwambia kama vipi akaenyuma nikanyagie chombo maana naona hatembei kabisaaa, jamaa ikabidi achomoke spidi kwelikweli tukafika kituo kimoja panaitwa nyegezi kona sehemu ambayo sio mbali kabisa na stend kuu huku nikiamini nimeshafika basi costa lililokuwa mbele yetu lilisimama ghafra hivyo boda aliamisha uelekeo akawa kama anaovertake lile costa, kilichofuata tulikutana uso kwa uso na prado ambayo nayo ilikua moto kwelikweli, ajali ile niliinusa mapema hivyo nilikuwa nawaza niruke, kwa haraka sana nilikanyaga siti ya boda nakuruka juu nilitua juu ya gari nakudondoka nyuma ya gari sikumbuki nilitua vipi lakini nilihamaki kuona mguu mmoja umegeuka nyuma mbele mbele nyuma, kichwani nimepasuka vibaya ukizingatia nilikua nanyoa para, huku nikilia kama mtoto nilimuomba jamaa mmoja kati ya watu wengi waliokuwa wametuzunguka pale chini ili aurudishie mguu wangu lakini hakuna aliyeweza kufanya hivyo ilinibidi niukamate mguu mwenyewe na kuurudisha mara moja ebwana maumivu ya hapo sio kwaida nilipoteza fahamu.

Kilichofuata nilizinduka nikajikuta nikiwa hospital nikiwa nimelala pembeni ya jamaa mmoja ambaye alikuwa ameharibika vibaya sana kiufupi hatamaniki nikajiangalia nikagundua mguu mmoja hauna fahamu lakini jeraha kichwani. Nilipiga kelele kidogo kumuita dokta mpaka ikafika muda dokta akaja kuniona, alimuita nesi na kumuuliza ya kwamba huyu na huyo pembeni yake ndio waliopata ajali ya bodaboda? Nesi alikubali, hivyo nikagundua kuwa yule jamaa ni dereva boda boda aliyekuwa amenibeba. Nilimuuliza dokta kama niko sawa niondoke zangu maana mule ndani palikuwa panatisha sana lakini pia nilitaka kujua niko hospita gani na wapi? Alinijibu kuwa nipo bugando hospital wakati ninazungumza na dokta ghafra hali ya yule bodaboda ikabadilika akaanza kurusha miguu so dokta akaita manesi ili apelekwe emergency fasta lakini nakumbuka kabla hata ya zoezi hilo la kumuamisha halijakamilika bodaboda yule alitulia dokta alienda kumcheki na kusikitika kilichofuata nesi alivuta shuka kumfunika uso hivyo nikapata majibu kuwa jamaa amefariki, hapo wasiwasi ulinipanda ukizingatia sina simu hapo wala nini na ninaishi geto sina mtu japo familia yangu ilikuwa hapo mwanza lakini ninawajulisha vipi? Nilimwambia dokta kwamba niko sawa sana naomba niondoke tu dokta alikataa akaniambia bado sijapimwa kujua ajali imeniathiri kwa kiasi gani. Nakumbuka ilipofika asubuhi walikuja jamaa zangu wawili kutokea pale stendi maana taarifa ziliwafikia.watu kibao pale stendi na uvumi ulikuwa ni kwamba nimepoteza maisha palepale, hivyo walikuja pale bugando kuhakikisha hivyo baada ya kunikosa mochwari ikabidi waje emergency na mwisho kabisa kwenye wodi za watu wa ajali na walifanikiwa kuniona, kiukweli nilifarijika sana kuwaona hao jamaa zangu, nikapata fursa ya kumpigia simu mama yangu pamoja na wanafamilia kuwajulisha jambo lile. Walifika mapema tu na ishu ya vipimo iliendelea hivyo nilipelekwa kufanyiwa kipimo na nikagundulika ya kwamba nimevunjika uti wa mgongo pamoja na mguu mmoja, hivyo daktari alinishauri kama ninaweza niende muhimbili au nitapata matibabu sahihi, baada ya hapo nilirudi nyumbani na ukizingatia nyumbani penyewe tia maji tia maji, hela za matibabu ikawa kitendawili, hivyo nikawa mtu wa kulala tu na kuamishwa kutolewa nje jioni kuingizwa ndani, ndio yakawa maisha yangu. Nakumbuka tajiri yangu pamoja na meneja walikuja kunisalimia siku moja hawakukaa sana na walipotaka kuondoka waliniachia shilingi elf10 tu japo ni ndogo ila niliiona ni kubwa mno maana nilikua na upweke wa ajabu maana sikuwaona marafiki wala ndugu kunichangia matibabu, hivyo nilikuwa siioni hatma ya maisha yangu na kuna muda niliona kama ndio mwisho wangu, maumivu yalikuwa ni makali sana mpaka ilifika muda nilimuomba mama yangu mwenyewe aniwekee hata sumu ili nife nikikwepe kikombe hiki cha mateso ninayopitia, nakumbuka mama yangu alilia sana aliniambia huo ni mtihani tu yatapita, japo niliona ananienjoy tu maana juzi ni kama jana na jana ni kama leo tu hakuna jipya zaidi ni maumivu kila siku.

Ilipita miezi mitatu hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya,mguu wangu ulipona vizuri lakini tatizo lilibaki kwenye mgongo. Nakumbuka ilikuwa ni asubuhi mida ya saa nne nimetolewa kibarazani ilipigwa simu yangu sana simu ilikuwa ndani na hakukuwa na mtu ndani nami sikuwa na uwezo wa kutembea kuifuata hivyo nitulia tu nikisubiri kama atatokea mtu yeyote nimuagize, bimkubwa alirudi kutoka kuchota maji nilimuomba aniletee simu, nilikuta missed calls3 na namba ilikuwa ngeni hivyo nilimuomba bimkubwa simu yake ili niipigie namba ile. Niliipiga na alipokea katika kumuuliza niligundua ni yule jamaa bwana paschal mkurya niliemsaidia takribani mwaka mmoja hivi ulisha pita jamaa alinijulisha ya kwamba hiyo ninamba yake pia lakini aliniuliza kama nipo stendi maana yupo mwanza na anahitaji nimkatie tiketi ili akifika stendi tu asigande afike na kuondoka, nilimwambia niko nyumbani na ninamatatizo ya kiafya ni miezi takribani minne sifanyi kazi, jamaa alitahamaki sana na akaniomba nimuelekeze nyumbani ili aje kunijulia hali na aliahirisha mpango wa kusafiri mpaka aje anione kwanza, basi nilimuelekeza jamaa akachukua boda mpaka mtaani kwetu na alifanikiwa kunikuta nikiwa nimelala nje kwenye mkeka, jamaa alitekewa sana kuniona katika hali ile, nilimsimulia kisa chote yaliyonikuta jamaa alionekana kuguswa sana tulizungumza muda mrefu sana na ilipofikia jioni aliaga kuondoka na kuniachia kiasi cha laki moja lakini aliniambia atarudi kwani kuna ndugu zake kutokea kenya wapo nyumbani kwake angependa waje wote kunijulia hali kwani wote hao wananifahamu vizuri japo mimi siwafahamu namara kwa mara hukumbushia tukio langu mimi kumrudishia pesa zake huyu jamaa yangu. Nilifurahi sana maana tangu niugue sijawahi kupewa lakimoja kama pole. Ilipita siku tatu ulikuja ugeni wa maana pale nyumbani, yalikuwa majira ya saasita mchana ilikuwa discovery nyeusi yenye plate number ya kenya mbele ya nyumba yetu na kama kawaida nilikuwa nimelazwa nje hivyo nilishuhudia wakishuka wanaume wawili nisio wafahamu ,mwanamke mmoja pamoja na yule jamaa yangu. Nilimuita bimkubwa ili aje kuwapokea wageni hao.

Wageni hawakutaka kuingia ndani bali waliomba viti tu, waliketi na kujitambulisha wale jamaa wawili walikuwa ni kaka wa huyu bwana paschal na yule mwanamke ni mke wa mmoja wa wale ndugu, bwana paschal aniendelea kwa kuwanadi ya kwamba yule mkubwa anaitwa Marwa ni pilot huko kenya na huyo mwingine anaitwa Rhobi ni daktari huko kenya na yule mwanamke ni mke wa bwana Rhobi pia, jamaa walipenda kujua kisa na mkasa mpaka niko kwenye hali hiyo, nilisimulia vyote na cha ajabu sasa ni pale ambapo waliniahidi matibabu yangu tena katika hispitali kubwa tu nchini kenya kiukweli niliona ni drama au labda ninaota tu, walisema wanarudi kenya baada ya siku mbili na kama sitojari niondoke nao hiyo siku ili nikaanze matibabu jamaa walisema mimi ni kama ndugu kwao kwani kwa nilichomfanyia mdogo wao ni zaidi ya hisani hivyo wala nisiwe na wasiwasi. Mama yangu alibaki midomo wazi, baada ya siku mbili nilisafilishwa kwenda musoma na walinisafilisha kutoka musoma mpaka nairobi kwa gari.

Naomba kufupisha, nilitibiwa kwa muda wa miezi minne na nikapata nafuu kubwa sana mpaka kuanza kutembea japo taratibu katika hospitali mzuri hapo nairobi huku matibabu yote nikigharamiwa na huyu bwana Marwa ambae ni pilot by profession akishirikiana na mdogo wake. Niliagwa mwezi wa kumi mwaka 2011 nikiwa nimekumbuka sana nyumbani niliwaomba jamaa hawa nirudi nyumbani nikaendelee na mazoezi, lakini jamaa walinipenda sana hawakuridhia kabisa nakumbuka brother Marwa baada ya mimi kuomba sana ruksa aliniambia anasafari na akirudi ataniruhusu kipindi hicho chote niliishi nyumbani kwake sehemu moja panaitwa muthaiga ni ushuani kwelikweli, jamaa alikuwa na watoto wakubwa lakini hakuwa na mke kwani mkewe alishafariki kitambo, baada ya wiki mbili alirudi kutoka safarini na tulizungumza nilimshukuru sana kwa hisani yake kwangu, jamaa aliruhusu mimi kuondoka lakini alinipa bahasha na aliniambia nisiifungue mpaka nitakapofika nyumbani, niliwasiliana na bwana Rhobi ambaye alishirikiana begakwa bega na brother Marwa katika matibabu yangu kumuaga na pia kumshukuru sana kwa hisani yake kwangu.
Nilianza safari kuelekea silali boda la kenya na mara. Nilipovuka niliwasiliana na bwana Paschal naye aliomba sana nikifika musoma nipite kwake, nilifanya hivyo mida ya jioni nilifika musoma nilionana na bwana Paschal, jamaa alifurahi kuniona aliniambia kitu kimoja kikanishangaza sana, alisema yeye pia haamini ya kuwa kaka zake wamenifanyia hisani kubwa sana kwani kwa anavyowajua huwa sio watu wa kutoa misaada na hata katika familia huwa hawatoi misaada na wamejitenga kabisa basi tukabaki kucheka na kusema ya mungu ni mengi na unaweza saidiwa na mtu usiye tarajia. Nililala hapo musoma na kesho yake alfajiri niliamkia mwanza, nilipofika nyumbani nilimkuta mama yangu pamoja na dada yangu na wadogo zangu wakiwa na shauku kubwa ya kuniona, kiukweli mama yangu alilia kuniona natembea japo taratibu, mimi pia nililia japo mwanaume, yaliendelea mengi hapo nyumbani,nilijisahau kabisa kama nilipewa bahasha na brother Marwa kutokana na furaha niliyoikuta pale nyumbani hivyo ilipofika jioni ndipo nikakumbuka so nikaenda chumbani kuicheki ile bahasha iliyo kuwa ndani ya begi langu la nguo, bahasha ilikuwa haitishi maana ilikuwa haijatuna wala nn, nilipoifungua nilikuta bundle la hela za dollar100 kila moja nilizihesabu zilikua ni noti thelathini za dola mia. Nilizichukulia poa kesho yake nilioga freshi nikaenda mjini mwanza kuna hotel moja inaitwa Gold crest, pale kuna duka la kubadili fedha za kigeni sasa pale ndio nilistaajabu ya musa kwani nilipewa kiasi cha shilingi milioni sita na laki nne na thelathini, nilijitahidi kumpigia brother Marwa ila akawa hapatikani nilitamani kumpigia kumshukuru, amekuwa mtu busy sana na sikufanikiwa kumpata mpaka leo. Pesa ile ilinibadilishia maisha mpaka leo hii nina mambo yangu ninafanya, nimeoa na nina mtoto. Paschal ni kaka yangu mpaka leo na ninaposema wema wangu ulibadilisha hatma ya maisha yangu ninamaanisha pakubwa sana maana labda ningekuwa mlemavu au labda ningeshapoteza maisha au ningekuwa tingo mpiga debe stendi mpaka leo.

NI WITO WANGU KWA VIJANA WENZANGU TUDUMU KATIKA KUFANYA MAMBO MEMA MUNGU NDIYE AJUAE KESHO YAKO NA MUNGU NDIYE MLIPAJI.
Hongera Sana comred kwa Hilo.
Mungu alikuwa na wewe kipindi chote hata wakati wa kupotea kwa pesa, namshukuru Mungu pamoja na wewe.

Ila swala la uti wa mgongo kupona kwangu ni maajabu, Kumbe hospital za kutibu zipo ? Binafsi ni mtu wa afya nishashuhudia watu wengi wakishapa shida kwenye uti wa mgongo ndo basi Tena.

Nazitafuta Sana hata jina tu la hiyo hospitali maana nishakutana na watu wa shida hyo Sina Cha kuwaelekeza Zaid ya kuwapa pole tu.

Naomba kujua jina la hiyo hospital hapo Kenya
 
SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO:

Habarini wana jamvi, yatosha kusema samahanini sana kwa waliofura maana hata mimi huwa sipendi stori za itaendelea ila nimegundua ni kwanini waandishi hufupisha hivyo nadhani uandishi ni zoezi kubwa sana at the same time unatamani stori iwafikie watu wengi. Lakini pia mniwie radhi kwa uandishi mbovu kwani binafsi sijawahi kutoa chapisho humu na wala sio mfasihi mzuri hivyo tuvumiliane tu na naamini fundisho lililonikuta litamfunza kila mmoja wetu.

Muendelezo tulipoishia:

Baada ya kumuonyesha mfuko ule yule bwana, nikamuuliza kama anaufahamu mfuko ule nikaufungua jamaa alipoziona hela tu alianguka na kuzimia, nilitahamaki sana nikajaribu kumpepea lakini jamaa hakurudisha fahamu hivyo ikanibidi nifunge mlango wa ofisi ili nikimbilie maji ya baridi dukani kichwani nawaza kama itakuaje asipo zinduka? Ila poteleapote nikanunua maji baridi nikarudi ofisini na kumwagia usoni, mungu si osmani asee yule bwana alizinduka lakini alikuwa kama bubu akiwa pale chini ameketi kitako nikamkabidhi mzigo wake aliubeba lakini mikono ilikuwa inatetemeka balaa mpaka akaudondosha chini. Ilimchukua kama dakika tano hivi jamaa kurudi kwenye ufahamu, ndipo jamaa akaniuliza kama mimi ni binadamu kweli au malaika? Nilibaki hoi kwa kicheko lakini jamaa alirudia swali lilelile, nilimtoa hofu nikamwambia awe na amani kabisa hivyo nikamwambia ahesabu pesa zake kama ni kamili ama zinamapungufu. Jamaa akagoma kuhesabu ila akasema zozote zilizomo basi azipasue kati anipatie nusu, ebwana huwezi amini nilizikataa katakata maana toka mwanzo nilijua ni pesa za mkopo na zinaenda kwenye biashara hivyo nikitoa kidogo tu nitakuwa nimemuharibia mahesabu yake naukizingatia marejesho ni palepale.
Nilimuomba jamaa arudi nyumbani kwani kama pesa ameshaipata lakini jamaa hakuridhika kabisa akaniambia basi twende pale mgahawani tumefika mgahawani jamaa akamuamuru mamalishe anihudumie kwa muda wa mwezi mmoja bure kabisa na ampe yeye bill, lakini pia nikaikataa ofa hiyo basi jamaa hakufurahi kabisa ila mm nilijua tu jamaa anafanya mambo out of excitement au furaha imemzidia, nikamwambia alipie chakula changu cha siku hiyo tu hivyo jamaa alinilipia samaki sato mkubwa na wali akanichukulia na soda, mpaka hapo jamaa alikuwa hanijui jina wala mimi simjui jina hivyo aliniuliza jina langu, nami pia nikamfahamu kwa jina la paschal tukabadilishana mawasiliano baadaya hapo jamaa aliniaga na kunishukuru sana, jamaa akaondoka huku akigeuka mara kwa mara kuniangalia mpaka akatokomea. Kichwani mawazo yananijia duh mtonyo si ningeupiga uleee..wazo lingine linaniambia nilichokifanya ni uungwana,,mara bahati hairudi mara mbili lakini potelea mbali nilifurahi kwani nilifanya uungwana kosa lilikuja pale nilipojaribu kusimulia jamaa na marafiki maana wengine walinitukana sana nakumbuka kuna jamaa yangu mpaka akaamua kunichunia kwamba kwann sikumshirikisha ilo dili huwezi amini jamaa alinipiga chini kabsaa akakataa urafiki na mimi.

Siku ziliendelea na majukumu yaliendelea kusonga kama kawaida lakini yule jamaa alikuwa na desturi ya kunipigia simu hususa ni akiwa anakuja kuhemea bidhaa za biashara yake hapo mwanza, jamaa alikuwa kama rafiki lakini yeye alipenda kuniita mimi ndugu yake na pia aliniambia ya kuwa ndugu zake wanayo shauku kubwa sana ya kunifahamu, kaka zake, mke wake na watoto wake woote wananiulizia sana, binafsi nilikuwa nachukulia poa tu na maisha yaliendelea kama kawaida, ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2011, kama kawaida yangu nimeamka nimechelewa sana nikiwa na hofu ya kuchelewa posho ilinibidi nichukue bodaboda ili niwahi posho, nilikuwa naona kama bodaboda haitembei mpaka nikawa namtukana dereva wa boda na kumwambia kama vipi akaenyuma nikanyagie chombo maana naona hatembei kabisaaa, jamaa ikabidi achomoke spidi kwelikweli tukafika kituo kimoja panaitwa nyegezi kona sehemu ambayo sio mbali kabisa na stend kuu huku nikiamini nimeshafika basi costa lililokuwa mbele yetu lilisimama ghafra hivyo boda aliamisha uelekeo akawa kama anaovertake lile costa, kilichofuata tulikutana uso kwa uso na prado ambayo nayo ilikua moto kwelikweli, ajali ile niliinusa mapema hivyo nilikuwa nawaza niruke, kwa haraka sana nilikanyaga siti ya boda nakuruka juu nilitua juu ya gari nakudondoka nyuma ya gari sikumbuki nilitua vipi lakini nilihamaki kuona mguu mmoja umegeuka nyuma mbele mbele nyuma, kichwani nimepasuka vibaya ukizingatia nilikua nanyoa para, huku nikilia kama mtoto nilimuomba jamaa mmoja kati ya watu wengi waliokuwa wametuzunguka pale chini ili aurudishie mguu wangu lakini hakuna aliyeweza kufanya hivyo ilinibidi niukamate mguu mwenyewe na kuurudisha mara moja ebwana maumivu ya hapo sio kwaida nilipoteza fahamu.

Kilichofuata nilizinduka nikajikuta nikiwa hospital nikiwa nimelala pembeni ya jamaa mmoja ambaye alikuwa ameharibika vibaya sana kiufupi hatamaniki nikajiangalia nikagundua mguu mmoja hauna fahamu lakini jeraha kichwani. Nilipiga kelele kidogo kumuita dokta mpaka ikafika muda dokta akaja kuniona, alimuita nesi na kumuuliza ya kwamba huyu na huyo pembeni yake ndio waliopata ajali ya bodaboda? Nesi alikubali, hivyo nikagundua kuwa yule jamaa ni dereva boda boda aliyekuwa amenibeba. Nilimuuliza dokta kama niko sawa niondoke zangu maana mule ndani palikuwa panatisha sana lakini pia nilitaka kujua niko hospita gani na wapi? Alinijibu kuwa nipo bugando hospital wakati ninazungumza na dokta ghafra hali ya yule bodaboda ikabadilika akaanza kurusha miguu so dokta akaita manesi ili apelekwe emergency fasta lakini nakumbuka kabla hata ya zoezi hilo la kumuamisha halijakamilika bodaboda yule alitulia dokta alienda kumcheki na kusikitika kilichofuata nesi alivuta shuka kumfunika uso hivyo nikapata majibu kuwa jamaa amefariki, hapo wasiwasi ulinipanda ukizingatia sina simu hapo wala nini na ninaishi geto sina mtu japo familia yangu ilikuwa hapo mwanza lakini ninawajulisha vipi? Nilimwambia dokta kwamba niko sawa sana naomba niondoke tu dokta alikataa akaniambia bado sijapimwa kujua ajali imeniathiri kwa kiasi gani. Nakumbuka ilipofika asubuhi walikuja jamaa zangu wawili kutokea pale stendi maana taarifa ziliwafikia.watu kibao pale stendi na uvumi ulikuwa ni kwamba nimepoteza maisha palepale, hivyo walikuja pale bugando kuhakikisha hivyo baada ya kunikosa mochwari ikabidi waje emergency na mwisho kabisa kwenye wodi za watu wa ajali na walifanikiwa kuniona, kiukweli nilifarijika sana kuwaona hao jamaa zangu, nikapata fursa ya kumpigia simu mama yangu pamoja na wanafamilia kuwajulisha jambo lile. Walifika mapema tu na ishu ya vipimo iliendelea hivyo nilipelekwa kufanyiwa kipimo na nikagundulika ya kwamba nimevunjika uti wa mgongo pamoja na mguu mmoja, hivyo daktari alinishauri kama ninaweza niende muhimbili au nitapata matibabu sahihi, baada ya hapo nilirudi nyumbani na ukizingatia nyumbani penyewe tia maji tia maji, hela za matibabu ikawa kitendawili, hivyo nikawa mtu wa kulala tu na kuamishwa kutolewa nje jioni kuingizwa ndani, ndio yakawa maisha yangu. Nakumbuka tajiri yangu pamoja na meneja walikuja kunisalimia siku moja hawakukaa sana na walipotaka kuondoka waliniachia shilingi elf10 tu japo ni ndogo ila niliiona ni kubwa mno maana nilikua na upweke wa ajabu maana sikuwaona marafiki wala ndugu kunichangia matibabu, hivyo nilikuwa siioni hatma ya maisha yangu na kuna muda niliona kama ndio mwisho wangu, maumivu yalikuwa ni makali sana mpaka ilifika muda nilimuomba mama yangu mwenyewe aniwekee hata sumu ili nife nikikwepe kikombe hiki cha mateso ninayopitia, nakumbuka mama yangu alilia sana aliniambia huo ni mtihani tu yatapita, japo niliona ananienjoy tu maana juzi ni kama jana na jana ni kama leo tu hakuna jipya zaidi ni maumivu kila siku.

Ilipita miezi mitatu hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya,mguu wangu ulipona vizuri lakini tatizo lilibaki kwenye mgongo. Nakumbuka ilikuwa ni asubuhi mida ya saa nne nimetolewa kibarazani ilipigwa simu yangu sana simu ilikuwa ndani na hakukuwa na mtu ndani nami sikuwa na uwezo wa kutembea kuifuata hivyo nitulia tu nikisubiri kama atatokea mtu yeyote nimuagize, bimkubwa alirudi kutoka kuchota maji nilimuomba aniletee simu, nilikuta missed calls3 na namba ilikuwa ngeni hivyo nilimuomba bimkubwa simu yake ili niipigie namba ile. Niliipiga na alipokea katika kumuuliza niligundua ni yule jamaa bwana paschal mkurya niliemsaidia takribani mwaka mmoja hivi ulisha pita jamaa alinijulisha ya kwamba hiyo ninamba yake pia lakini aliniuliza kama nipo stendi maana yupo mwanza na anahitaji nimkatie tiketi ili akifika stendi tu asigande afike na kuondoka, nilimwambia niko nyumbani na ninamatatizo ya kiafya ni miezi takribani minne sifanyi kazi, jamaa alitahamaki sana na akaniomba nimuelekeze nyumbani ili aje kunijulia hali na aliahirisha mpango wa kusafiri mpaka aje anione kwanza, basi nilimuelekeza jamaa akachukua boda mpaka mtaani kwetu na alifanikiwa kunikuta nikiwa nimelala nje kwenye mkeka, jamaa alitekewa sana kuniona katika hali ile, nilimsimulia kisa chote yaliyonikuta jamaa alionekana kuguswa sana tulizungumza muda mrefu sana na ilipofikia jioni aliaga kuondoka na kuniachia kiasi cha laki moja lakini aliniambia atarudi kwani kuna ndugu zake kutokea kenya wapo nyumbani kwake angependa waje wote kunijulia hali kwani wote hao wananifahamu vizuri japo mimi siwafahamu namara kwa mara hukumbushia tukio langu mimi kumrudishia pesa zake huyu jamaa yangu. Nilifurahi sana maana tangu niugue sijawahi kupewa lakimoja kama pole. Ilipita siku tatu ulikuja ugeni wa maana pale nyumbani, yalikuwa majira ya saasita mchana ilikuwa discovery nyeusi yenye plate number ya kenya mbele ya nyumba yetu na kama kawaida nilikuwa nimelazwa nje hivyo nilishuhudia wakishuka wanaume wawili nisio wafahamu ,mwanamke mmoja pamoja na yule jamaa yangu. Nilimuita bimkubwa ili aje kuwapokea wageni hao.

Wageni hawakutaka kuingia ndani bali waliomba viti tu, waliketi na kujitambulisha wale jamaa wawili walikuwa ni kaka wa huyu bwana paschal na yule mwanamke ni mke wa mmoja wa wale ndugu, bwana paschal aniendelea kwa kuwanadi ya kwamba yule mkubwa anaitwa Marwa ni pilot huko kenya na huyo mwingine anaitwa Rhobi ni daktari huko kenya na yule mwanamke ni mke wa bwana Rhobi pia, jamaa walipenda kujua kisa na mkasa mpaka niko kwenye hali hiyo, nilisimulia vyote na cha ajabu sasa ni pale ambapo waliniahidi matibabu yangu tena katika hispitali kubwa tu nchini kenya kiukweli niliona ni drama au labda ninaota tu, walisema wanarudi kenya baada ya siku mbili na kama sitojari niondoke nao hiyo siku ili nikaanze matibabu jamaa walisema mimi ni kama ndugu kwao kwani kwa nilichomfanyia mdogo wao ni zaidi ya hisani hivyo wala nisiwe na wasiwasi. Mama yangu alibaki midomo wazi, baada ya siku mbili nilisafilishwa kwenda musoma na walinisafilisha kutoka musoma mpaka nairobi kwa gari.

Naomba kufupisha, nilitibiwa kwa muda wa miezi minne na nikapata nafuu kubwa sana mpaka kuanza kutembea japo taratibu katika hospitali mzuri hapo nairobi huku matibabu yote nikigharamiwa na huyu bwana Marwa ambae ni pilot by profession akishirikiana na mdogo wake. Niliagwa mwezi wa kumi mwaka 2011 nikiwa nimekumbuka sana nyumbani niliwaomba jamaa hawa nirudi nyumbani nikaendelee na mazoezi, lakini jamaa walinipenda sana hawakuridhia kabisa nakumbuka brother Marwa baada ya mimi kuomba sana ruksa aliniambia anasafari na akirudi ataniruhusu kipindi hicho chote niliishi nyumbani kwake sehemu moja panaitwa muthaiga ni ushuani kwelikweli, jamaa alikuwa na watoto wakubwa lakini hakuwa na mke kwani mkewe alishafariki kitambo, baada ya wiki mbili alirudi kutoka safarini na tulizungumza nilimshukuru sana kwa hisani yake kwangu, jamaa aliruhusu mimi kuondoka lakini alinipa bahasha na aliniambia nisiifungue mpaka nitakapofika nyumbani, niliwasiliana na bwana Rhobi ambaye alishirikiana begakwa bega na brother Marwa katika matibabu yangu kumuaga na pia kumshukuru sana kwa hisani yake kwangu.
Nilianza safari kuelekea silali boda la kenya na mara. Nilipovuka niliwasiliana na bwana Paschal naye aliomba sana nikifika musoma nipite kwake, nilifanya hivyo mida ya jioni nilifika musoma nilionana na bwana Paschal, jamaa alifurahi kuniona aliniambia kitu kimoja kikanishangaza sana, alisema yeye pia haamini ya kuwa kaka zake wamenifanyia hisani kubwa sana kwani kwa anavyowajua huwa sio watu wa kutoa misaada na hata katika familia huwa hawatoi misaada na wamejitenga kabisa basi tukabaki kucheka na kusema ya mungu ni mengi na unaweza saidiwa na mtu usiye tarajia. Nililala hapo musoma na kesho yake alfajiri niliamkia mwanza, nilipofika nyumbani nilimkuta mama yangu pamoja na dada yangu na wadogo zangu wakiwa na shauku kubwa ya kuniona, kiukweli mama yangu alilia kuniona natembea japo taratibu, mimi pia nililia japo mwanaume, yaliendelea mengi hapo nyumbani,nilijisahau kabisa kama nilipewa bahasha na brother Marwa kutokana na furaha niliyoikuta pale nyumbani hivyo ilipofika jioni ndipo nikakumbuka so nikaenda chumbani kuicheki ile bahasha iliyo kuwa ndani ya begi langu la nguo, bahasha ilikuwa haitishi maana ilikuwa haijatuna wala nn, nilipoifungua nilikuta bundle la hela za dollar100 kila moja nilizihesabu zilikua ni noti thelathini za dola mia. Nilizichukulia poa kesho yake nilioga freshi nikaenda mjini mwanza kuna hotel moja inaitwa Gold crest, pale kuna duka la kubadili fedha za kigeni sasa pale ndio nilistaajabu ya musa kwani nilipewa kiasi cha shilingi milioni sita na laki nne na thelathini, nilijitahidi kumpigia brother Marwa ila akawa hapatikani nilitamani kumpigia kumshukuru, amekuwa mtu busy sana na sikufanikiwa kumpata mpaka leo. Pesa ile ilinibadilishia maisha mpaka leo hii nina mambo yangu ninafanya, nimeoa na nina mtoto. Paschal ni kaka yangu mpaka leo na ninaposema wema wangu ulibadilisha hatma ya maisha yangu ninamaanisha pakubwa sana maana labda ningekuwa mlemavu au labda ningeshapoteza maisha au ningekuwa tingo mpiga debe stendi mpaka leo.

NI WITO WANGU KWA VIJANA WENZANGU TUDUMU KATIKA KUFANYA MAMBO MEMA MUNGU NDIYE AJUAE KESHO YAKO NA MUNGU NDIYE MLIPAJI.
Ubarikiwe
 
Hongera Sana comred kwa Hilo,
Mungu alikua na wewe kipind chote hata wakati wa kupotea kwa pesa , namshukuru Mungu pamoja na wewe,

Ila swala la uti wa mgongo kupona kwangu ni maajabu , Kumbe hospital za kutibu zipo ? Binafsi ni mtu wa afya nishashuhudia watu wengi wakishapa shida kwenye uti wa mgongo ndo basi Tena ,
Nazitafuta Sana ata jina tu la hyo hospital maana nishakutana na watu wa shida hyo Sina Cha kuwaelekeza Zaid ya kuwapa pole tu,
Naomba kujua jina la hiyo hospital apo kenya
Tatizo langu lilikuwa ni stable na siku paralize uti wa mgongo haukuvunjika kiasi cha kukata mawasiliano, ilikuwa ni kama nyufanyufa katika uti wa mgongo hivyo nilivalishwa mkanda, mazoezi na dawa tu. Japo ilinichua miaka kufikia hatua ya kutembea kawaida japo mpaka leo sifanyi kazi ngumu. Hospitali inaitwa National referal spinal hospital/clinic jina ni refu ila nadhani nimelipatia.
 
Kisa chako kina funzo kubwa sana kwa maisha ya binadamu.Ulitenda lililo jema.Kuna siku nilikuwa mtwara mjini kalibu na jengo la bodi ya korosho Ni karibu tu na kabisa katoliki Jimbo kuu la mtwara ulikuwa majira ya saa mbili hivi usiku naelekea nyumbani nilizikuta pesa nyingi njiani na kwa haraka nikijuua zitakuwa zimedondoshwa nikipita pembeni nikaziacha.(maana toka nakua nilikatazwa katukatu kuokota kitu).Mda mfupi baade nilipishana na jamaa akawa Ana hamaki kwelikweli nikagundua Ni yeye mhusika na Mara baada ya kufika naeneo hayo alisimama ,nikagundua amepata haki yake.Cha msingi hapa Ni kuwa husichukue kitu au Mali hisiyo yako na apo Ndo baraka huanzia.Hongera wazazi wako walikulea vizuri.
 
Back
Top Bottom