Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huyu ni mimi chakununa nuna halafu napenda kubembelezwa 😜😜😜😅1. Ninapenda anunavyo, hima kumbembeleza
Lisonono litatafuna,likichwa lote la rungu,Jikimwi atakupea, kisonono kitakuelemea!.
Shipa litakumea, komwe litakulegea!
si ulisema utapita, jikimwi amekupea!
Sikulazii damu nawewe!.Lisonono litatafuna,likichwa lote la rungu,
Komwe lililotuna,kulibusu ataona kiwingu,
Washenyentane sana,wataikumbuka mbingu.
Ivi uwa ni kweli? Kuna dem nilidate nae kila mara napata bahati ya kupata helaVijana acheni kupitapita kwenye Kila tunda, mnabeba maroho machafu...
Sawa 😊Karibu nikubembeleze mpenzi
Nakuja chap 😅Nakusubiri hapa
Huu ubeti wa kwanza nau-dedicate kwa mrembo Fake P1. Ninapenda anunavyo, hima kumbembeleza
Hasira za hovyo hovyo, jikoni nikimtweza
Nilivyomuwaza sivyo, hakika ameniweza
Nilisema ninapita, ila sasa nimezama
Kipaji Cha 🔥Nilisema napita
1. Ninapenda anunavyo, hima kumbembeleza
Hasira za hovyo hovyo, jikoni nikimtweza
Nilivyomuwaza sivyo, hakika ameniweza
Nilisema ninapita, ila sasa nimezama
2. Komwe nisipo libusu, ni kesi mahakamani
Ana yake mahabusu, kutoka siitamani
Jioni Alkasusu , aninywesha muhibani
Nilisema ninapita , ila sasa nimezama
3. Sijaomba ananipa ,bila pupa najiliya
Mihogo chuzi la papa, viungo anijaziya
Kiwanja kama Mkapa, ma goli twashangiliya
Nilisema ninapita , ila sasa nimezama
4. Pendo amenigandisha, digrii amezihitimu
Shingo akiizungusha , aah anipa wazimu
Pindi akilifundisha , haumalizi utamu
Nilisema ninapita , ila sasa nimezama
Abuuabdillah ✍️
0744883353
Haaa real mammy kila siredi upo khaaNakuja chap 😅
Kwenye kuimbiwa tena 😅Haaa real mammy kila siredi upo khaa
hugugulia ukuni, nikiwa namshenyenta,Usikute kuna vijana watatamani hii verse ingekua hivi 😂😂😂...
Komwe nisipo libusu, ni kesi mahakani
Ana yake mahabusu, kutoka sitamani
Nikiichakata mbususu, utamu hadi kichohoni
Nikisema napita, ila sasa nimezama.
😂😂😂😂hugugulia ukuni, nikiwa namshenyenta,
utamu mpaka pomoni, mnato mithili nta,
tufikapo ukingoni, nampatia kitita,😂
hakika binti mwembamba, akili ameiteka!