Nilisema napita ,ila sasa nimezama

Nilisema napita ,ila sasa nimezama

Mkuu nakuona kwanza umefeli/
Hiyo mistari labda ujaribu beat ya singeli/
Umeshikwa pabaya kigoma mwisho reli/
Unatapa tapa mithili ya kuku mwenye kideri/
Hapa nimefika
 
Jikimwi atakupea, kisonono kitakuelemea!.
Shipa litakumea, komwe litakulegea!
si ulisema utapita, jikimwi amekupea!
Lisonono litatafuna,likichwa lote la rungu,
Komwe lililotuna,kulibusu ataona kiwingu,
Washenyentane sana,wataikumbuka mbingu.
 
Lisonono litatafuna,likichwa lote la rungu,
Komwe lililotuna,kulibusu ataona kiwingu,
Washenyentane sana,wataikumbuka mbingu.
Sikulazii damu nawewe!.

shenyento ukilihusudu, litakuwasha kama upupu!
tunza likipepeo lako, wahuni tunalitupia mimacho
kichunge kama mboni, ukizubaa siku za mwisho huzioni!.

Ukikileta kwa muhuni, tunakitufua kama mbuni
Wengine huita ukuni, angalia lisikuletee huzuni

Tunza chako kiyeye, kimsubirie mumewe
ukizubaa kwa ma mwewe, tutakupeperusha to yeye!.
 
Nilisema napita

1. Ninapenda anunavyo, hima kumbembeleza
Hasira za hovyo hovyo, jikoni nikimtweza
Nilivyomuwaza sivyo, hakika ameniweza
Nilisema ninapita, ila sasa nimezama

2. Komwe nisipo libusu, ni kesi mahakamani
Ana yake mahabusu, kutoka siitamani
Jioni Alkasusu , aninywesha muhibani
Nilisema ninapita , ila sasa nimezama

3. Sijaomba ananipa ,bila pupa najiliya
Mihogo chuzi la papa, viungo anijaziya
Kiwanja kama Mkapa, ma goli twashangiliya
Nilisema ninapita , ila sasa nimezama

4. Pendo amenigandisha, digrii amezihitimu
Shingo akiizungusha , aah anipa wazimu
Pindi akilifundisha , haumalizi utamu
Nilisema ninapita , ila sasa nimezama

Abuuabdillah ✍️
0744883353
Kipaji Cha 🔥
 
Usikute kuna vijana watatamani hii verse ingekua hivi 😂😂😂...

Komwe nisipo libusu, ni kesi mahakani
Ana yake mahabusu, kutoka sitamani
Nikiichakata mbususu, utamu hadi kichohoni
Nikisema napita, ila sasa nimezama.
hugugulia ukuni, nikiwa namshenyenta,
utamu mpaka pomoni, mnato mithili nta,
tufikapo ukingoni, nampatia kitita,😂
hakika binti mwembamba, akili ameiteka!
 
Back
Top Bottom