Mwambie Robert ashike adabu zake na arudi kunyonya maziwa ya aliemzaa yamtoshe.
Waliikuta Zanzibar kabla ya Muungano ikiwa na maendeleo kuliko Tanganyika. Ilipoingia kwenye Muungano imefishwa yote. Miaka 50+ Zanzibar leo tunahangaika na vitu vya kipuuzi. Kisiwa kidogo tu kinakosa barabara nzuri, kisiwa kidogo tu maji hata mjini shida. Mataifa ya nje yakitaka kuisaidia Zanzibar JMT inaweka pingamizi.
Sina chama ila mwaka huu, nataka Maalim Seif asimamie kauli yake ya liwalo na liwe ili watu waheshimiane!