Uchaguzi 2020 Nilishawaambia muengueni Tundu Lissu, hamkusikia. Oneni!

Uchaguzi 2020 Nilishawaambia muengueni Tundu Lissu, hamkusikia. Oneni!

huo muungano unajua kweli hata mababu zako walikuwa na lengo gani mpaka wakaungana ? Unajua mifumo inayoitumia Qur'an kama katiba yao? Unajua adhari za kuvunjika kwa muungano kwa nchi hizi mbili? Tuanzie hapo?
Kuna athari gani ya kuvunjika muungano?
 
Guys usikariri ujinga wa 1947,mambo yamebadirika kuliko watu walivyo tarajia ilijengeka imani kwamba upinzani umekufa lakini tunacho kiona kwa sasa ni tofauti, na Mungano wa Zanzibar na tanganyika sio upo kwa ajili ya ccm bali upo kwa ajili ya watanzania wote, si kana kwamba ccm wao ndio wanaoulinda Mungano lahasha bali ndio wao wanao uharibu, na tukirudi ktk history Zanzibar ni nchi kwa hio hata kikija chama kingine Mungano huu bado utaendele kudumu cha muhimu na vitu vinavyotakiwa ni kuuboresha guys labda ni kwambie kitu, kuto kuenguliwa kwa Tundu Lissu kuna siri kubwa tuombe uhai hakika utaona maajabu makubwa mwaka huu yatakayotokea kwani this time wanao kwenda kuamua ni wananchi yanayofanyika mwaka huu dunia nzima inafuatilia uchaguzi huu kwa jicho la karibu sana hakuna atakaye i ba kura, utafit uliofanyika hivi karibuni ni kwamba watu wameacha kufuatilia hutuba za mwenyekiti wa chama tawala wanafuatilia hotuba za tundu lisu na wanavutiwa nazo na wakiziunga mkono haya nimeyaona leo hii mwana kwa macho yangu.
 
Yaani zanzibar iwe mkoa?patachimbika kudadeki
 
Mwambie Robert ashike adabu zake na arudi kunyonya maziwa ya aliemzaa yamtoshe.

Waliikuta Zanzibar kabla ya Muungano ikiwa na maendeleo kuliko Tanganyika. Ilipoingia kwenye Muungano imefishwa yote. Miaka 50+ Zanzibar leo tunahangaika na vitu vya kipuuzi. Kisiwa kidogo tu kinakosa barabara nzuri, kisiwa kidogo tu maji hata mjini shida. Mataifa ya nje yakitaka kuisaidia Zanzibar JMT inaweka pingamizi.

Sina chama ila mwaka huu, nataka Maalim Seif asimamie kauli yake ya liwalo na liwe ili watu waheshimiane!
Kwa akili yako yote unategemea msaada wa nje
 
Washawishi wananchi waunge upande wako, ila sisi kwa sasa tunaenda na lissu
 
Mimi sijawahi kumdhulumu Mtu Mkuu.

Kuhusu Ajira, nimeshamwambia Magufuli sitamchagua hata alie, kama hanipi kula kwa nini nimpe kura. Aniombe nimuajiri alafu yeye hata kuniajiri. Nilishamuandikia.

Mimi sina ufuasi wa kipuuzi.
Hujawahi.kudhulumu mtu kwa nini unataka Wazanzibari wadhulumiwe na hili jini Muungano? Kama hiyo si kushiriki dhulma utaiita nini?
 
Shida ya Lissu unaijua Mkuu?
Hivi ww Kama nani unaanza kusema shida za wenzako mbona shida zako huzisemi? Utajua hujui muda ukifika. Hii nchi kubwa sana sio kisiwa Kama unadhani unaijua sana hii nchi jua huijui kuanzia Sasa.
 
Sasa mtoa mada umeandika ukiwa umelewa au . Kwa hyo unataka kusema kuwa Zanzibar haiwezi kutawaliwa na serikali ya Chama kingne? Na je kama ndvyo kwann msingetunga sheria I kasema vyama kule marufuku? Hii mbeleko ya Kijani tutafakar itawabeba Wazanzbar mpaka lini?Kama ndvo vip je CCM ikishindwa uchaguz bara umewahi kutafakar siasa za visiwani ztakuaje? TAL ukimsikiliza kwa makini haojaongelea kuu kataa mungano Bali ameongelea ukweli wa kinachotokea kweny maamuz ya Wazanzbar kweny mfumo kuchagua viongoz wao na maamuzi ya mwisho baada ya uchaguzi!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Watanzania wenye akili timamu hawawezi chagua Tundu,maana huyo jamaa ataweka kila kitu including Amani yetu kwenye matundu.
 
Mtu anasema asipotangazwa mshindi safari anakinukisha.

Nashangaa hata Magufuli wanayesema ana roho mbaya anamuacha anaongea pumba, ningekuwa mimi saa hizi angekuwa jela kwa matamshi ya kichochezi.


Na yule aliyewaambia watu wakichagua mbunge wa upinzani atawakomesha akiwa Rais naye NEC imfanye nini??!!.
 
Watanzania wenye akili timamu hawawezi chagua Tundu,maana huyo jamaa ataweka kila kitu including Amani yetu kwenye matundu.


Unataka wachague tena Pombe ili waleweshwe tena kwa miaka 5 mingine ???!! 🤣
 
Shida ya Lissu unaijua Mkuu?


Shida ya Lissu hatuiju, ni bora shida "usiyoijua" kuliko shida unayoijua.

Yaani, ni bora upite njia usiyoijua kama ina simba au laa kuliko kupita njia ambayo simba anaonekana wazi.
 
Back
Top Bottom