Bora mmetambua hiloNi kweli. Mechi ya kesho ni ngumu zaidi ya hii ya Utopolo vs Al Hilal. Na tukumbuke kwamba Angola iko juu ya Sudan kwenye FIFA rankings.
Makolo mbona mnateseka!
Walikuwa tested na Vipers, sema walipuuzia kwa kuwa wao mechi za kimataifa za kirafiki siyo kipaumbele Chao,....Poleni Wanayanga, hakika huko SUDAN kuchomoa ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Hii ni international games, hatuchezi mpira kama tunacheza na Singida Big Stars . Kuna nidhamu zake, tahadhari na hekima.
Hutetemi temi tu kama mgonjwa wa Akili. Ni full discipline, tactical na Experience.
Inawapasa kuendelea kuiheshimu Simba Sc Daima Kwenye hizi anga za kimataifa.
Kwa michezo ya kimataifa, ni lazima ushinde nyumbani ili ufike makundi na robo fainali, na ndio mnaonaga SSC nayo ikifika kwenye knock out , nayo inatoka..... huko mbele mlima unakuwa ni mkubwa zaidi.
Nilishawahi kusema Yanga hamjawahi kuwa tested na maneno yangu yanaenda kuwa ya kweli, mara hii mnaenda kuwa tested for the first time since 1998.
Tusipeane moyo, kuitoa Al Hilal pale Khartoum sio rahisi hivo. Mtapumua pumzi ya moto kama Injinia Hersi alipotoa pumzi nzito pale Kwa Mkapa. Maisha sio simple simple kihivyo. Great things are never easy , they also need time.
Mara ya mwisho nyie kucheza nje ya nchi ugenini ni lini ? Mechi za stage one mlichezea hapo Hapo Tanzania, mkachukulia maisha poa. Mlitakiwa kustuka na hizo goli 9. za mchongo.
Kazi mnayo kweli kweli , Halafu kumbukeni mwaka ni mrefu sana, mkitolewa sasa hivi ni hadi mwakani , parefu sana .
Nipo hapa Angola nasubiria game za wabishi.
Huko msitutie aibu kwani nyie bila kukalia tano ugenini huwa hamridhiki.Poleni Wanayanga, hakika huko SUDAN kuchomoa ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Hii ni international games, hatuchezi mpira kama tunacheza na Singida Big Stars . Kuna nidhamu zake, tahadhari na hekima.
Hutetemi temi tu kama mgonjwa wa Akili. Ni full discipline, tactical na Experience.
Inawapasa kuendelea kuiheshimu Simba Sc Daima Kwenye hizi anga za kimataifa.
Kwa michezo ya kimataifa, ni lazima ushinde nyumbani ili ufike makundi na robo fainali, na ndio mnaonaga SSC nayo ikifika kwenye knock out , nayo inatoka..... huko mbele mlima unakuwa ni mkubwa zaidi.
Nilishawahi kusema Yanga hamjawahi kuwa tested na maneno yangu yanaenda kuwa ya kweli, mara hii mnaenda kuwa tested for the first time since 1998.
Tusipeane moyo, kuitoa Al Hilal pale Khartoum sio rahisi hivo. Mtapumua pumzi ya moto kama Injinia Hersi alipotoa pumzi nzito pale Kwa Mkapa. Maisha sio simple simple kihivyo. Great things are never easy , they also need time.
Mara ya mwisho nyie kucheza nje ya nchi ugenini ni lini ? Mechi za stage one mlichezea hapo Hapo Tanzania, mkachukulia maisha poa. Mlitakiwa kustuka na hizo goli 9. za mchongo.
Kazi mnayo kweli kweli , Halafu kumbukeni mwaka ni mrefu sana, mkitolewa sasa hivi ni hadi mwakani , parefu sana .
Nipo hapa Angola nasubiria game za wabishi.
Ukweli ni kuwa Simba haizungumziwi sana kwa kuwa wamemuheshimu mpinzani wao tangu awali kabisa. Yanga mliongea kwa kebehi sana na kusema Hilal wamefungwa na TP Mazembe B, hawana lolote, mara ni timu inayojitafuta na isiyo na muunganiko. Mara mtawapiga kama ngoma.Ujue hii michezo sometimes unaweza kujikita kusheherekea shughuli ya mwingine baada ya kufanya vibaya wakati mechi yako ya kesho hujui outcome yake ikoje mwisho wake unakuwa sio mzuri.
Wanasema the one who laugh later laughs better, Simba haijazungumziwa sana kwenye mechi yake inayocheza kesho kwa watu wengi kuamini upinzani anaoenda kukutana nao ni dhaifu.
Lakini vipi kama tukaenda kukutana na kitu tofauti?
Hii kumbuka iliwahi kutukuta kwa Kaizer Chiefs, wakati tupo kwao mpira tulicheza kuliko wao lakini tulipasuka goli 4
Sijui kama makosa kama yale wataweza kuyarudia tena ila nilichojifunza ni haijalishi mpinzani wako ana rekodi gani mbaya hupaswi kum underestimate at any angle.
Kaka ukiona goalkeeper ndo anakuwa man of the match ujue hapo kuna tatizo, Kwa tuliosoma Zanzibar tulishajua kuwa Khartoum hatutoboi.Timu yetu nzuri iko full kuanzia kipa mpaka fundi mayele. Bahati mbaya tu leo ila tuna bangala, aziz ki, morrison leg 2 hao wasudan watakoma we subiri tu.
Kaka ukiona goalkeeper ndo anakuwa man of the match ujue hapo kuna tatizo, Kwa tuliosoma Zanzibar tulishajua kuwa Khartoum hatutoboi.
Unajitetemekea tu kama una mapepo. Pumbavu,maji yanelowa shwaaaaa! Shwaaaaa shwaaaaa
π€£πππ ππππππSi walikuwa tested na mbuni fc, na wakasema kimataifa sio kipaumbele
Wewe hebu acha kujikuta mjuaji, hakuna hata mmoja aliyeidharau mechi kilichotokea ni matokeo ya mpira tu lakini sio kama unavyorahisisha hapa.Hatujasema kuwa utakuwa ni rahisi . Ila hawa Yanga wanachukuliaga maisha simple simple . Ngoja wawe tested
Wewe hebu acha kujikuta mjuaji, hakuna hata mmoja aliyeidharau mechi kilichotokea ni matokeo ya mpira tu lakini sio kama unavyorahisisha hapa.
Tunavyobishanaga hapa haina maana ndio fikra za kina Nabi nazo zinawaza kama sisi. Tatizo lenu huwa mnachanganya ushabiki na uhalisia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilikuwa kabla ya 1995?Haitakua mara ya kwanza Yanga kufuzu ugenini Alishafanya hivyo Kwa High landers ya Zimbabwe, Township Rollers ya Botswana, Rayon Sports ya Rwanda baada ya mechi ya kwanza kumalizika Kwa sare ya Mojamoja.
Achana na wachambuzi uchwara, kwani 2018 ulikua hujazaliwa? Yanga anacheza na Rayon, Gol mahia, Usm Algeria kwenye kundi Moja bado ulikua huja anza kufuatilia mpira?Hii ilikuwa kabla ya 1995?
Maana rekodi zinasema yanga hajawahi kufuzu hatua ya makundi tangu 1995.