Nilishuka kwenye verossa tinted nyeus nikaingia bank kuweka milion 50

Nilishuka kwenye verossa tinted nyeus nikaingia bank kuweka milion 50

Fanya kazi hata ya kuendesha bodaboda hizi ndoto hazitokufikisha popote,ulizaliwa mwanaume komaa kuzisaka ukilala utajikuta unalaliwa watu wamepinda siku hizi.
Mkuu acha kumtus mamba wakati bado hujavuka mto
 
Hongera saana mkuu kwa kazi iliyotukuka uliyoifanya.
Km sio mbwembwe unastahili kupewa tuzo iliyotukuka aisee.

Naongeza 900 sio mbaya zaidi
 
Kupatwa kwa Nyumba ya mama wa makamo.

Vipi mama yeye hukumgegeda?
 
We jamaa wakati unataka kubandua mbona hukutuomba ushauri? Kwenda huko na stor za kutunga.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu


Nilishuka kwenye gar zur aina ya verosa lenye namba C maana nimekuwa nalo toka mwaka jana

Nilimuona mama wa makamo akishuka kwenye gar lake aina ya NADIA tulikutanisha macho nikatabasam naye akatabasam vile vile, nilimpa hai YES MOMY akasema WARAP BOY nilimfuata nikamuomba namba yake ya cm akanipa then mimi nikaingia bank kupeleka mapene marefu


sikutaka hata kumuchelewa nilimpiga mistar aingia lain nikawa nampiga chuma kama kawa licha ya kunizid umur, nilianz kuwa naenda had kwake, nyumban kwake kulikuwa na mabinti wawili wakali kinoma

Yule binti mmoja alinizoea zoea nikambandua na yule wa pili naye alinizoea nikamdundua pia kulikuwa kuna dada wa kaz pale home naye pia nilimbandua


Kwa sasa niko kwenye hali mbaya sana maana kuanzia yule mama na wale watoto wake wawili pamoja na yule dada wa kaz wote wana mimba na wote wanadai mimi ndo mwenye hiyo mizigo

Yaan hiyo inaitwa nimekula kuku na mayai yake


Naomben ushaul wenu


LONDON BABY
Ww ni ndezi kabisa tena kiboboru.siku nyingine usilete story mfu zako mfu huku.,.mara 50mil mara verosa mara mimba,..ww ni lofa kweli tumeshajua
 
Kujiunga mwezi wa kumi haimaanishi ni mgeni na jamii forum,

Na una hakika gani mimi mgeni humu? Kwa sababu ya ID mpya?

Dogo acha kutafuta umaarufu jf na vipost vyako vya kitoto wapelekee wenzako fb.

Zamani jf ilikuwa home of gt kweli, toka vitoto mjiunge imekuwa tabu
Mkuu nenda jukwaa la siasa hapa ni chit chat

Kwahiyo unataka nianze kumusifia magufur na kumusafisha lowasa hapa ndo ujue mimi siyo kitoto
 
Katika member wanaoongoza kwa matumizi mabaya kabisa ya mtandao huu wa jamii forums bila shaka unaongoza. Jaribu kujipa muda wa kutafakari kabla haujaposti chochote itakusaidia sana.
Poa poa mkuu nitazingatia ushaul wako
 
Back
Top Bottom