Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
[emoji23][emoji23][emoji23] ndoto za mchana hizo!!! Nna nywele sehemu tatu tu mwilini mwangu.
Nilisikia kwamba eti, miaka ikienda unakuwa na nywele sehemu tano mwilini mwako. Zinaongezeka puani na masikioni.