Muhimu ngeu mengine baadayeAngempa asingechomoka niamini mimi
Sio kweli.Hao ndio wanapata tabu zaidi,ni kwa vile hawalalamiki.Hao ngozi nyeupe hata kama kuna nyaraka muhumu hawana wanapitishwa tu fasta sema sis ngozi nyeus tunarudishana sana nyuma
Ndiyo hivyoKichwa maji na kilaza huyo Afisa, ungempiga hata head moja ya cha
Ona huyu naye, hopeless folk.Njaa kali wale, ukifika warushie hata laki mezani ndio mnaelewana
Uhamiaji njaa tupu, tumewahonga sana wanapokea tu hawana aibu wala haya.Ona huyu naye, hopeless folk.
Umeongea neno 👍🏾
Halafu usikute wakati anaongea na wewe alikuwa anatafuna karanga hovyo hovyo bila utaratibu.
Hapo alikuwa anatengeneza mazingira ya rushwa.
Kama tumeamua kufanya vitu mitandaoni sioni sababu ya kufanya nusu mtandaoni halafu tumalizie ana kwa ana. Ni kwanini uhamiaji wasiweke utaratibu wa kumaliza mambo yote mtandaoni?
Njia pekee ya kumaliza rushwa kwenye ofisi za umma ni kuweka utaratibu huduma zote zifanyike kwa njia ya mtandao.
Uko sawa kabisa mkuu. Technology inaweza kupunguza rushwa kwa kiwango kikubwa sana maana inapunguza kuonana ana kwa ana na watendaji.
Halafu usikute wakati anaongea na wewe alikuwa anatafuna karanga hovyo hovyo bila utaratibu.
Hapo alikuwa anatengeneza mazingira ya rushwa.
Kama tumeamua kufanya vitu mitandaoni sioni sababu ya kufanya nusu mtandaoni halafu tumalizie ana kwa ana. Ni kwanini uhamiaji wasiweke utaratibu wa kumaliza mambo yote mtandaoni?
Njia pekee ya kumaliza rushwa kwenye ofisi za umma ni kuweka utaratibu huduma zote zifanyike kwa njia ya mtandao.
nilidhani ni waha tu kumbe mpaka masai wanabaguliwa?''Sasa maasai utatoboa kweli?''
Hii kauli ni ya kibaguzi sana Prejudice, Kwani Maasai sio wananchi? Hawastahili Passport?
Mkuu huyo jamaa muweke wazi ili wahusika wadeal nae, siku nyingine uwe unarekodi kwa siri au japo urekodi sauti tu,kwa ushahidi wa tukio husika,
Pole sana Mkuu.
Tena hao utawaonea huruma kama hawana hela,mie mzee wangu alisumbuliwa sana na hapo alikuwa ana renew na kuwaombea wadogo zangu alisumbuliwa sana akaambiwa atoe milioni 10 akagoma, wakati kazaliwa tanzania na wazazi wake hawajazaliwa Tanzania lakini walikuwa na uraia wa Tanzania na nyaraka zote aliwapa, mwisho wa siku wadogo zangu wakaamua kwenda kuomba za kenya wakapata fasta bila usumbufu.Raha yao kujaza watu upepo tu na usipokuwa makini utajaa kweli.
Swali langu ni kuwa hata wale ngozi nyeupe (Indian&Arabs) wanafanyiwa hivi kweli? Au sisi wamatumbi tu.
Duh kumbe! Basi ni tatizo kubwa!Tena hao utawaonea huruma kama hawana hela,mie mzee wangu alisumbuliwa sana na hapo alikuwa ana renew na kuwaombea wadogo zangu alisumbuliwa sana akaambiwa atoe milioni 10 akagoma, wakati kazaliwa tanzania na wazazi wake hawajazaliwa Tanzania lakini walikuwa na uraia wa Tanzania na nyaraka zote aliwapa, mwisho wa siku wadogo zangu wakaamua kwenda kuomba za kenya wakapata fasta bila usumbufu.
Ni sisi wamatumbi mkuu.Raha yao kujaza watu upepo tu na usipokuwa makini utajaa kweli.
Swali langu ni kuwa hata wale ngozi nyeupe (Indian&Arabs) wanafanyiwa hivi kweli? Au sisi wamatumbi tu.
hapo ilikuwa kipindi cha magu, ila awamu ya sasa watu wengi nawafahamu wameomba na wamepata tena haraka wiki mbili tuu bila kutoa chochote, tena kuna mmoja dom alienda akaambiwa bado hichi akaenda kuleta, akaambiwa tena bado hichi yule afisa akamwambia hiyo document unitumie tuu kwenye wasap nijiridhishe twende ukapige picha na kuweka finger print na after 3 weeks akapata passport yake bila kujuana na mtu au kutoa chochote. sasa hivi kama huna connection na umekamilisha documents zote (alafu vizia ile foleni ya mchana ufike wakiwa wanakaribia kutoka)passport ni wiki mbili ila unapata,ukiwa na connection passport ni siku tatu tuu umepata 😀.Duh kumbe! Basi ni tatizo kubwa!
Mkuu ulikua unatengenezewa mazingira ya rushwa sema na wwe umekamilika kila kitu ndiyo maana afisa akakasirika!!Kwa muda mrefu Nilikuwa nasikia kwamba Maafisa Uhamiaji wengi ni wababaishaji, Leo nimeshuhudia kwa macho.
Nilijaza fomu la maombi ya passport online Nikalipia kisha nika download na kuwasilisha Ofisi za uhamiaji mkoa.
Afisa Aliyenipokea akaniuliza wewe ni kabila gani? Nikamuambia Maasai. Akaniuliza, Sasa Maasai utatoboa kweli? Nikamkazia uso[emoji2955]
Akaanza kukagua majina na attachments akaniuliza cheti cha kuzaliwa baba nikamuambia alifariki. Akaniambia cheti chake cha kifo Kiko wapi nikamchomolea.
Akaniuliza namba yake ya NIDA Iko wapi? Nikamuambia mtu aliyefariki mwaka 1996 namba ya NIDA inapatikanaje? Akaniambia ndiyo utaratibu uliopo. Nikashindwa kumuelewa[emoji849]
Akaniambia anataka kitambulisho Cha mama, nikamuambia nimeambatanisha barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa mtendaji na kuna namba yake ya ya NIDA kwenye hiyo barua.
Akasema anataka cheti cha kuzaliwa, nikamuambia Kuna Affidavit hapo akasema affidavit siyo cheti.
Hapo ndipo nikajua jamaa ni mpumbavu, nikamuambia kwahiyo mlipoweka kwenye tovuti yenu kuwa affidavit ni mbadala wa cheti cha kuzaliwa, mlikuwa mnatania?
Tukaanza kurushiana maneno nikataka kumpiga makofi akatokea dada mmoja(Afisa mwenzake) Akaniambia samahani kaka naomba nikusikilize. Nikamueleza scenario yote, akakagua fomu na attachments zangu na kuniambia viko sawa niondoke, nitapigiwa simu.
Nikaondoka hatua chache, nikawaza kuwa hawa jamaa wameshaonesha negative attitude, Kuna uwezekano hawatatuma fomu langu makao makuu. Nikarudi nikawaambia wanipe fomu langu nikapokea na kuondoka nalo. Nitaenda likizo hivi Karibuni nitafanyia hili zoezi mkoani kwetu. Ila kumbe Maafisa Uhamiaji wengi ni wapumbavu.
Ila kuna ma afande wengine ni wapumbavu hadi ma afande wenzao wanawasemea pembeni na wateja!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] unataka kumpiga afande mkuu???
SurelyIla kuna ma afande wengine ni wapumbavu hadi ma afande wenzao wanawasemea pembeni na wateja!!
Kesi ingebadilika kutoka swala la Uhamiaji na kugeuka kua Jinai swala la kipolice!!Angempa asingechomoka niamini mimi
Na Watumishi wengi hawapendi.hiyo Technology maana inawanyima kula, lazima.watai sabotage tu kama wale wa Mwendokasi na zile kadi zilivyo yeyuka, na sasa wana furahi wamerudi kwe vi risit vyao vya karatasi hadi sasa wanaamua kuzulumu zile change 50 50 za.wateja, wakati kipindi cha kadi kulikua hakuna hata mambo ya usumbufu wa change!!Uko sawa kabisa mkuu. Technology inaweza kupunguza rushwa kwa kiwango kikubwa sana maana inapunguza kuonana ana kwa ana na watendaji.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app