666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
Yeye akiwa ni Muislam na mie Mkristo;
Alikuwa pisi haswa, mtoto mkaree kila angle na anayajua mapenzi haswa, nikasema tabu za nini hasa ukizingatia binti mwenyewe ananitii kila nnalomwambia, sikuwa na upinzani wowote kwake, najipigia mwenyewe tu ki uhakika.
Sasa nilivyotangaza tu kumuoa na kuwaambia ndugu na jamaa kwamba kuna sehemu nimenasa na sasa nabeba jiko jumla hapo sasa ndio vita vikazuka, mwanzo nikaona ni mambo ya kawaida "jamaa wanaingilia maisha ya watu tena, hawa hawanijui hawa?" Lakini nikashangaa wazazi wote pande mbili wanapinga, wajomba wameshika mabango kwamba watu wa dini ile nyingine hakuna kabisa hawafai, nikasema eeh maji mazito kuliko damu ya mtume?
Binti alikuwa so so down, hana mzuka kabisa, mie nafosi bibie tulia wala usiwe na hofu dini tumeletewa na mabeberu tu, lakini ikamshinda nguvu maskini binti wa watu analia, maza ake nae kaja juu anasema kijana mkristo hakanyagi hapa kwangu, huba likakosa connection kabisa kimzaa mzaa tu, tukawa tunakulana tu na binti akawa anasema haoni future sa itakuaje? Nikamwambia basi tuzae tu wataelewa, akasisitiza mtume alishapinga kuzaa nje ya ndoa, basi ikaishia hivyo tu na sasa binti yupo na shekhe wake msoma visomo.
Hivi huwa kuna bifu la chini chini kati ya hizi dini mbili? Na raia huWa hawasemi au ni nini? Why wakule ni wakule na wa huku ni wa huku, hakuna kuingiliana?
Alikuwa pisi haswa, mtoto mkaree kila angle na anayajua mapenzi haswa, nikasema tabu za nini hasa ukizingatia binti mwenyewe ananitii kila nnalomwambia, sikuwa na upinzani wowote kwake, najipigia mwenyewe tu ki uhakika.
Sasa nilivyotangaza tu kumuoa na kuwaambia ndugu na jamaa kwamba kuna sehemu nimenasa na sasa nabeba jiko jumla hapo sasa ndio vita vikazuka, mwanzo nikaona ni mambo ya kawaida "jamaa wanaingilia maisha ya watu tena, hawa hawanijui hawa?" Lakini nikashangaa wazazi wote pande mbili wanapinga, wajomba wameshika mabango kwamba watu wa dini ile nyingine hakuna kabisa hawafai, nikasema eeh maji mazito kuliko damu ya mtume?
Binti alikuwa so so down, hana mzuka kabisa, mie nafosi bibie tulia wala usiwe na hofu dini tumeletewa na mabeberu tu, lakini ikamshinda nguvu maskini binti wa watu analia, maza ake nae kaja juu anasema kijana mkristo hakanyagi hapa kwangu, huba likakosa connection kabisa kimzaa mzaa tu, tukawa tunakulana tu na binti akawa anasema haoni future sa itakuaje? Nikamwambia basi tuzae tu wataelewa, akasisitiza mtume alishapinga kuzaa nje ya ndoa, basi ikaishia hivyo tu na sasa binti yupo na shekhe wake msoma visomo.
Hivi huwa kuna bifu la chini chini kati ya hizi dini mbili? Na raia huWa hawasemi au ni nini? Why wakule ni wakule na wa huku ni wa huku, hakuna kuingiliana?