Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Ndio tatizo la kumuajiri mtu ajira ya kudumu,akifanya kzi ambayo hata ya kuingizia shirika fedha nyingi bado yeye mshahara wake unabaki palepaleShida ni kwamba hausianishi mshahara wake na huduma anayotoa. Yaani hajui kuwa mizigo ikisafirishwa mingi kupitia kampuni yake ndo anakuwa na uhakika zaidi wa mshahara.
Kusema ukweli hata mi leo ndo nimejua kuwa posta wanasafirisha mizigo