Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Tangu niache kupost jf nilikua msomaji tu wa post za watu le na mimi nimerudi kwa ajili ya msaada wa mawazo kidogo.
Ninapoishi nimezungukwa na walimu wa chuo nimekuja kutafiti nikaona hii kazi ina nafuu sana kuliko kazi za kawaida kama udaktari au nyinginezo.
Na baadhi yao wamenishawishi kwa kunambia hii kazi ina pesa sana japo ina usumbufu kwa wanafunzi wanao sap au kudisco ila qualification zake exactly ni zipi wajuzi wa mambo.
I need to be a lecturer
Ninapoishi nimezungukwa na walimu wa chuo nimekuja kutafiti nikaona hii kazi ina nafuu sana kuliko kazi za kawaida kama udaktari au nyinginezo.
Na baadhi yao wamenishawishi kwa kunambia hii kazi ina pesa sana japo ina usumbufu kwa wanafunzi wanao sap au kudisco ila qualification zake exactly ni zipi wajuzi wa mambo.
I need to be a lecturer