msugupendigwite
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 137
- 26
Miaka hiyo niliona udaktari kama kazi ya heshima n kipato kizuri sana. Nikiwa medical school 2nd year nikaanza kuona mambo yalivyo sio siri ilinibidi nichangamkie "fursa". Nilimaliza mwaka w tano nikajichanganya.
Nimegundua kitu hapa..
mtoa mada anadhani kuna chuo kinafundisha watu ili wawe ma-lecturer au kuna course flan flan inayomfanya mtu kuwa lecturer!!aaahahaah....daaah mlugo style
Yani ukitaka kufa njaa wewe na vitukuu vyako basi fanya maamuzi ya kuwa dokta.
Doh kama ni kweli daktari aliyehenyeka myaka mitano bila kupata lindi nono la usingiz analipwa laki tisa wakati miye nimesoma show off ya akaunti myaka mi tatu tu ya anasa nalipwa em unusu just kwa kuandika peimenti vocha tu. Basi niseme laifu iz not fea.
Kiaje?Mawazo mgando haya.Ninyi ndo matokeo mazuri ya project ya BRN.
G.P.A isishuke 3.7, acha mademu watakutafta ukipata kazi. Usipoteze muda mwingi kuangalia siries movie. Sari sana!! Utanipa majibu ukimaliza chuo
mpaka hapo nshaukosa, ntajiajili nkimaliza chuo
ubarikiwe
One more thing, usipoteze mda mwingi kukomaa library kaa na wenzio udiscuss ili uelewa wako uwe mkubwa!!
lakini nawafikiria wale wanao sema chuo ni sehemu ya kupiga bata ...