Eeh
WCB ni TAKATAKA ya CCM.Mh Mbilinyi mimi naamini yeye ndio alikuwa na sifa za kumpokea kijana.
1. Mbunge.
2. Msanii mwenzao
Kivyovyote wangeongea lugha moja inayofanana, lakini nimeshangaa Dr. Tulia ndio mwenyeji.
Kama unakumbukumbu Ray kafanya sampo ya wimbo wa Sugu unaitwa SUGU.
Inaonyesha wako pamoja sana lakini maajabu sijajua kwanini hajaalikwa.
Au ndio mbio za kuchukua jimbo la Mbeya Mjini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa waachie wanasiasa mjini unamfata mwenye maslahi naweMh Mbilinyi mimi naamini yeye ndio alikuwa na sifa za kumpokea kijana.
1. Mbunge.
2. Msanii mwenzao
Kivyovyote wangeongea lugha moja inayofanana, lakini nimeshangaa Dr. Tulia ndio mwenyeji.
Kama unakumbukumbu Ray kafanya sampo ya wimbo wa Sugu unaitwa SUGU.
Inaonyesha wako pamoja sana lakini maajabu sijajua kwanini hajaalikwa.
Au ndio mbio za kuchukua jimbo la Mbeya Mjini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimebak nashangaa hii kitu mkuu..show n ya vanny boi vip simba ndio kuchukua mchezo mzimaShow ya kisengerema Sana..rayvanny hakuna la maana alilofanya kazi kuwachosha tu watoto wa mbeya Mara kuwasha tochi Mara wazime...vya bure karaha aisee..Cha kushangaza boss wao ndiyo anaperfom show ndefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameboa kinyama..Mimi nimebak nashangaa hii kitu mkuu..show n ya vanny boi vip simba ndio kuchukua mchezo mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah mara nyoosheni mikono juu drone iwapige picha,mara wekeni mikono mashariki-magharibi hizi shoo za bure bure ili uenjoy huko uwanjani labda uwe umepiga kitu cha mneri/jani kichwani.Show ya kisengerema Sana..rayvanny hakuna la maana alilofanya kazi kuwachosha tu watoto wa mbeya Mara kuwasha tochi Mara wazime...vya bure karaha aisee..Cha kushangaza boss wao ndiyo anaperfom show ndefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko anamsifia Naibu Spika(Mpinzani wa Sugu 2020),huku akimsiifia Magu kinoma.Huyu amefanya mashabiki wajigawe alivyoingiza usiasa na mziki
Imshort ni kwamba Jamaa anaunga juhudi
Wanyakyusa na wasafa lazima walienda kwa wingi si naskia walipewa shavu la promo kuingia bure pale sokoine