Nilitarajia Rayvanny na Diamond wangepokelewa na Mh Sugu kama mwenyeji

Nilitarajia Rayvanny na Diamond wangepokelewa na Mh Sugu kama mwenyeji

Rayvanny ameshakuwa mkubwa pale mond ameenda kutoa sapoti tu kwa rayvanny Kama alivyofanya kwenye show ya harmo harmo night
Mbona unajichanganya au haujielewi? Hivi umeishia darasa la ngapi au la pili b? Umesema ameenda kutoa sapoti that means reyvanny ndio alitakiwa aperfom kwa aslimia so chini ya75% kwanini mond ndio aperfom kuliko mwenye show?
 
Diamond apoteze ridhiki ya wanae kisa msiotaka kuandamana .tena mumkome.mnataka.magu atoke pigeon maandamano bila kusimama mmeshindwa heshimuni wanafiki
 
Back
Top Bottom