Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkubwa ni mkubwa tu mfano raisi akienda kwenye Jimbo la mbunge attention kubwa itakuwa kwa raisiMimi nimebak nashangaa hii kitu mkuu..show n ya vanny boi vip simba ndio kuchukua mchezo mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewe kidosho wa Lumumba huko dar ulikuwa umelala nae, maana hadi muda huu tupo nae hapa hotel desderia.Kwanini kila Jambo mnataka kuingiza siasa we unataka sugu ndo awapokee mbeya wakati huyo sugu yupo dar.
Ninavofahamu Sugu yuko Dsm akihangaika na kesi za wenzake/viongozi wa CDM. Wakati mwingine ni vyema kujiridhisha na tarifa zilizopo kuliko kujiharakisha kwenye kurusha lawama.
Huu ni ubinafsiShow ya kisengerema Sana..rayvanny hakuna la maana alilofanya kazi kuwachosha tu watoto wa mbeya Mara kuwasha tochi Mara wazime...vya bure karaha aisee..Cha kushangaza boss wao ndiyo anaperfom show ndefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mana Mimi nilikua zangu kyela naangalia ngumi pale sativa Midland hotelHahah mara nyoosheni mikono juu drone iwapige picha,mara wekeni mikono mashariki-magharibi hizi shoo za bure bure ili uenjoy huko uwanjani labda uwe umepiga kitu cha mneri/jani kichwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me sipo kwenye siasa zenu za CCM na CHADEMA ila kuingiza siasa kwenye mambo ambayo hayana siasa ni ujinga.Ewe kidosho wa Lumumba huko dar ulikuwa umelala nae, maana hadi muda huu tupo nae hapa hotel desderia.
Karibu 50% ya maandalizi na Logistics zingine amefanya Huyo Tulia, hivyo kumuita Mh. Sugu pale isingekuwa poa kabisa.Mh Mbilinyi mimi naamini yeye ndio alikuwa na sifa za kumpokea kijana.
1. Mbunge.
2. Msanii mwenzao
Kivyovyote wangeongea lugha moja inayofanana, lakini nimeshangaa Dr. Tulia ndio mwenyeji.
Kama unakumbukumbu Ray kafanya sampo ya wimbo wa Sugu unaitwa SUGU.
Inaonyesha wako pamoja sana lakini maajabu sijajua kwanini hajaalikwa.
Au ndio mbio za kuchukua jimbo la Mbeya Mjini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga ni ww kusema yupo dar mbunge wa mbeya wakati tupo nae hapa mbeya hadi muda ule unaleta comment yako ya kikahaba.Me sipo kwenye siasa zenu za CCM na CHADEMA ila kuingiza siasa kwenye mambo ambayo hayana siasa ni ujinga.
Ndio mana Mimi nilikua zangu kyela naangalia ngumi pale sativa Midland hotel
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia apart ya yeye kuwa kiongozi pia ni fan wa diamond na amekuwa akisapoti kazi za mondi huyo sugu lini amesapoti kazi ya mondi mpaka awe ni mgeni rasmi?Ilitakiwa Sugu naye awepo,na kama hayupo Mbeya..wangesema Sugu hajafka kwa sabab 1,2,3..lakin hii ya kumpandisha Tulia na Mwakyembe wenyewe haijakaa poa kabsa..above all show ilkua mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa atakuwepo Vipi Sugu wkt sponsor aliyewaleta ni boss lady tulia mkuu?Ilitakiwa Sugu naye awepo,na kama hayupo Mbeya..wangesema Sugu hajafka kwa sabab 1,2,3..lakin hii ya kumpandisha Tulia na Mwakyembe wenyewe haijakaa poa kabsa..above all show ilkua mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu unayo halafu unaulizaMh Mbilinyi mimi naamini yeye ndio alikuwa na sifa za kumpokea kijana.
1. Mbunge.
2. Msanii mwenzao
Kivyovyote wangeongea lugha moja inayofanana, lakini nimeshangaa Dr. Tulia ndio mwenyeji.
Kama unakumbukumbu Ray kafanya sampo ya wimbo wa Sugu unaitwa SUGU.
Inaonyesha wako pamoja sana lakini maajabu sijajua kwanini hajaalikwa.
Au ndio mbio za kuchukua jimbo la Mbeya Mjini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo yanabadilikaHuyo Betina hawezi kumuangusha Sugu hata waje wajeda
Sasa lini reyvanny na yeye atakuwa mkubwa km mondi? Au mond anataka awe mkubwa yeye tu? Kwanini reyvany asipewe nafasi kubwa ili tumpate mond mwingine,Mkubwa ni mkubwa tu mfano raisi akienda kwenye Jimbo la mbunge attention kubwa itakuwa kwa raisi
Rayvanny ameshakuwa mkubwa pale mond ameenda kutoa sapoti tu kwa rayvanny Kama alivyofanya kwenye show ya harmo harmo nightSasa lini reyvanny na yeye atakuwa mkubwa km mondi? Au mond anataka awe mkubwa yeye tu? Kwanini reyvany asipewe nafasi kubwa ili tumpate mond mwingine,