Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Ili kupunguza gharama za maisha nilitegemea kipindi kama hichi viongozi washauri baadhi ya watanzania kutumia gesi asilia badala ya petrol kwenye magari.
Gesi asilia (CNG) ni nishati ambayo hutumiwa kama mbadala wa petroli kwenye magari. Vilevile hutumiwa kama mbadala wa dizeli pia.
Mfano kwenye hizi gari za mwendokasi, huu ndio ulikuwa wakati wa hizo gari kutumia gesi asilia ili nauli zisipande na kuwaongezea adhaa wanainchi wa Dar es Salaam.
Tumeona jinsi Dangote alivyobadilisha magari yake makubwa yanatumia gesi asilia.
Kama tumekua tumejipanga tangu zamani leo tusingelia na huu mfumko wa bei.
Habari, ukitumia mfumo wa gesi kwenye magari unapunguza gharama kwa 60%, yaan ni 150-200km kwa 15500/- na gari inakuwa na nguvu ile ile Ukitumia gesi asilia kwenye magari unapunguza gharama kwa 60%, ambayo ni kilometa150 hadi 200 kwa Sh. 15500.
Gesi asilia (CNG) ni nishati ambayo hutumiwa kama mbadala wa petroli kwenye magari. Vilevile hutumiwa kama mbadala wa dizeli pia.
Mfano kwenye hizi gari za mwendokasi, huu ndio ulikuwa wakati wa hizo gari kutumia gesi asilia ili nauli zisipande na kuwaongezea adhaa wanainchi wa Dar es Salaam.
Tumeona jinsi Dangote alivyobadilisha magari yake makubwa yanatumia gesi asilia.
Kama tumekua tumejipanga tangu zamani leo tusingelia na huu mfumko wa bei.
Habari, ukitumia mfumo wa gesi kwenye magari unapunguza gharama kwa 60%, yaan ni 150-200km kwa 15500/- na gari inakuwa na nguvu ile ile Ukitumia gesi asilia kwenye magari unapunguza gharama kwa 60%, ambayo ni kilometa150 hadi 200 kwa Sh. 15500.