Nilitegemea Lissu aje Tanzania kumsaidia Mbowe na kesi ya ugaidi kuliko kutuma salamu za mwaka mpya akiwa Ubelgiji

Nilitegemea Lissu aje Tanzania kumsaidia Mbowe na kesi ya ugaidi kuliko kutuma salamu za mwaka mpya akiwa Ubelgiji

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka.

Lissu kutuma salamu za mwaka mpya huku akiwa na nafasi ya kuja Tanzania ni kuwasaliti Watanzania. Maana hata tangu Mbowe akamatwe Lissu yupo huko mamton na hata hajajiyokeza kuja kumsaidia mahakamani.

Sasa hili la kutuma salamu za mwaka mpya huku akiwa Ubelgiji anakula kuku kwa mrija sio tija kabisa. Lissu anatakiwa aje Tanzania awe bega kwa bega na watanzania wenzake kwa kila jambo.
 
Unataka aje umfanye Nini?

Waliotaka kumuua walishapatikana?
Let him live his life, amepitia mengi makubwa ambayo hakuna mtu angependa kuyapitia!

Kama alikuja kwenye uchaguzi na akaokolewa na mabalozi, unadhani hapaswi kuwa na wasiwasi na usalama wake?

Kama Maushungi kaweza kumbambika kesi Mbowe, unadhani hashindwi kufanya hivyo Kwa Lissu?
Chochote afanyacho Lissu, Sina deni naye!
 
Hao hao wasiyo julikana ndiyo wanashadadia mh Lissu arudi nyumbani ili watimize sharti la kupewa mapesa yao.
 
Unataka aje umfanye Nini?Waliotaka kumuua mlishapatikana?
Let him live his life,amepitia mengi makubwa ambayo hakuna mtu angependa kuyapitia!
Kama alikuja kwenye uchaguzi na akaokolewa na mabalozi,unadhani hapaswi kuwa na wasiwasi na usalama wake?
Kama Maushungi kaweza kumbambika kesi Mbowe,unadhani hashindwi kufanya hivyo Kwa Lissu?
Chochote afanyacho Lissu,Sina deni naye!
Umetisha mkuu
 
Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka. Lissu kutuma salamu za mwaka mpya huku akiwa na nafasi ya kuja Tanzania ni kuwasaliti watanzania. Maana hata tangu Mbowe akamatwe Lissu yupo huko mamton na hata hajajiyokeza kuja kumsaidia mahakamani.

Sasa hili la kutuma salamu za mwaka mpya huku akiwa Ubelgiji anakula kuku kwa mrija sio tija kabisa. Lissu anatakiwa aje Tanzania awe bega kwa bega na watanzania wenzake kwa kila jambo.
Naona wasiyo julikana mmeanza kujitokeza hadaharani sasa.
 
Unataka aje umfanye Nini?Waliotaka kumuua mlishapatikana?
Let him live his life,amepitia mengi makubwa ambayo hakuna mtu angependa kuyapitia!
Kama alikuja kwenye uchaguzi na akaokolewa na mabalozi,unadhani hapaswi kuwa na wasiwasi na usalama wake?
Kama Maushungi kaweza kumbambika kesi Mbowe,unadhani hashindwi kufanya hivyo Kwa Lissu?
Chochote afanyacho Lissu,Sina deni naye!
Acha pumba zako, alikuka wakati wa Kampeni mbona hakufanyiwa mbaya?
 
Acha pumba zako, alikuka wakati wa Kampeni mbona hakufanyiwa mbaya?
Wewe hukuona mlivyokuwa mnamvizia mpaka akakimbilia balozi za nje?Ikatengenezwa combination Moja matata ya mabalozi wakamsindikiza mpaka airport huku ninyi mkimfuatilia Kwa nyuma kama fisi anavyosubiri mkono uanguke apate kitoweo!
Wakahakikisha mpaka ndege imepaa ndio wakaondoka,jisahaulishe shwain!
 
Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka. Lissu kutuma salamu za mwaka mpya huku akiwa na nafasi ya kuja Tanzania ni kuwasaliti watanzania. Maana hata tangu Mbowe akamatwe Lissu yupo huko mamton na hata hajajiyokeza kuja kumsaidia mahakamani.

Sasa hili la kutuma salamu za mwaka mpya huku akiwa Ubelgiji anakula kuku kwa mrija sio tija kabisa. Lissu anatakiwa aje Tanzania awe bega kwa bega na watanzania wenzake kwa kila jambo.
Amewaachia wabambikiaji mhangaike na kesi lenu michongo kwani tayari Mai ya shingo anajua bado kidogo TU muanze kibwia vikombe.
 
Unataka aje umfanye Nini?Waliotaka kumuua mlishapatikana?
Let him live his life,amepitia mengi makubwa ambayo hakuna mtu angependa kuyapitia!
Kama alikuja kwenye uchaguzi na akaokolewa na mabalozi,unadhani hapaswi kuwa na wasiwasi na usalama wake?
Kama Maushungi kaweza kumbambika kesi Mbowe,unadhani hashindwi kufanya hivyo Kwa Lissu?
Chochote afanyacho Lissu,Sina deni naye!
Mawakili waliopo mmewashindwa unataka Lisu aje kumtoa Mbowe kinguvu au unataka aje kufanya nini

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka. Lissu kutuma salamu za mwaka mpya huku akiwa na nafasi ya kuja Tanzania ni kuwasaliti watanzania. Maana hata tangu Mbowe akamatwe Lissu yupo huko mamton na hata hajajiyokeza kuja kumsaidia mahakamani.

Sasa hili la kutuma salamu za mwaka mpya huku akiwa Ubelgiji anakula kuku kwa mrija sio tija kabisa. Lissu anatakiwa aje Tanzania awe bega kwa bega na watanzania wenzake kwa kila jambo.
.......you et-al wanted him dead.
 
... watesi wake bado wangali hai! Kuna mmoja alishindwa kueleza maana ya taarifa za kiintelejensia wakati ndiye kina wa kuzihubiri! Jamaa ana chuki iliyovuka mipaka hawezi kumwacha Lissu salama.
 
Back
Top Bottom