Nilitegemea Lissu aje Tanzania kumsaidia Mbowe na kesi ya ugaidi kuliko kutuma salamu za mwaka mpya akiwa Ubelgiji

Nilitegemea Lissu aje Tanzania kumsaidia Mbowe na kesi ya ugaidi kuliko kutuma salamu za mwaka mpya akiwa Ubelgiji

Unataka aje umfanye Nini?Waliotaka kumuua mlishapatikana?
Let him live his life,amepitia mengi makubwa ambayo hakuna mtu angependa kuyapitia!
Kama alikuja kwenye uchaguzi na akaokolewa na mabalozi,unadhani hapaswi kuwa na wasiwasi na usalama wake?
Kama Maushungi kaweza kumbambika kesi Mbowe,unadhani hashindwi kufanya hivyo Kwa Lissu?
Chochote afanyacho Lissu,Sina deni naye!
Kwani muuaji si alishakufa, au kuna mwingine?
 
Aache kula maisha mazuri ulaya aje kuteseka kwenye linchi masikini kama hili
 
H
Wewe hukuona mlivyokuwa mnamvizia mpaka akakimbilia balozi za nje?Ikatengenezwa combination Moja matata ya mabalozi wakamsindikiza mpaka airport huku ninyi mkimfuatilia Kwa nyuma kama fisi anavyosubiri mkono uanguke apate kitoweo!
Wakahakikisha mpaka ndege imepaa ndio wakaondoka,jisahaulishe shwain!
Huyo alikuwa anasindikizwa na shoga zake tu.
Mwanaume huondoka mwenyewe.
 
Mbaya gani zaidi ya kupora mchakato wote wa uchaguzi ?!
Mwenyezi Mungu fundi na mkamia maji hayanywi
Ahaaaa, unakumbuka Lissu alisemaje baada ya kupiga kura akiwa Ikungi? Acha kusingizia mambo amabayo hayapo.
 
Back
Top Bottom