Kwani muuaji si alishakufa, au kuna mwingine?Unataka aje umfanye Nini?Waliotaka kumuua mlishapatikana?
Let him live his life,amepitia mengi makubwa ambayo hakuna mtu angependa kuyapitia!
Kama alikuja kwenye uchaguzi na akaokolewa na mabalozi,unadhani hapaswi kuwa na wasiwasi na usalama wake?
Kama Maushungi kaweza kumbambika kesi Mbowe,unadhani hashindwi kufanya hivyo Kwa Lissu?
Chochote afanyacho Lissu,Sina deni naye!
Huyu mbwa ni mmojawapo wa wasiojulikanaMawakili waliopo mmewashindwa unataka Lisu aje kumtoa Mbowe kinguvu au unataka aje kufanya nini
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Huyo alikuwa anasindikizwa na shoga zake tu.Wewe hukuona mlivyokuwa mnamvizia mpaka akakimbilia balozi za nje?Ikatengenezwa combination Moja matata ya mabalozi wakamsindikiza mpaka airport huku ninyi mkimfuatilia Kwa nyuma kama fisi anavyosubiri mkono uanguke apate kitoweo!
Wakahakikisha mpaka ndege imepaa ndio wakaondoka,jisahaulishe shwain!
Mlitaka aondoke mwenyewe mumrudie njugu kama za hamza?H
Huyo alikuwa anasindikizwa na shoga zake tu.
Mwanaume huondoka mwenyewe.
Kumbe ndio maana alimkosa risasi zile zote na Bado mtu akaishi,kumbe kazi aliifanya mwenyewe?Kwani muuaji si alishakufa, au kuna mwingine?