Nilitoa rai kwa wanaharakati na chadema kuwa waambie ulimwengu hivi kuhusu kupewa rasilimali zetu na Watawala kama walivyofanya wakenya. Soma bango

Nilitoa rai kwa wanaharakati na chadema kuwa waambie ulimwengu hivi kuhusu kupewa rasilimali zetu na Watawala kama walivyofanya wakenya. Soma bango

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1718789628942.png



na kwetu hili linatufaa kuimbia dunia, kesho tukiwafukuza wasione tunavunja sheria za mikataba ya kimataifa!
 
What is the enabling provision of law for the issuance of that purported Public Notice, alisikika mwanasheria mmoja uchawara akiuliza
 
What is the enabling provision of law for the issuance of that purported Public Notice, alisikika mwanasheria mmoja uchawara akiuliza
The enabling provision is a NATURAL ENABLING PROVISION, called PEOPLES POWER! 😀 😀 😀 😀 😀 ,
 
Si aga mnatusema tunatumiwa na Mabeberu, haya sasa wacha yule Mke wa Safari agawe mali zenu uko ubaridini.
 
Mimi na wewe tufanye....usiseme fanya wewe! hilo si uhaini, ni mawazo mbadala ya kuzuia rasilimali zetu zisigawiwe kwa waarabu kwa njia za amani. Jioga wewe, chawa uchwara 😀 😀 😀 😀 😀 a
😂😂😂

Mwamba wa haya mambo ni Tundu Lisu na yule Bavicha wa Temeke Nyie wengine wote ni waoga kweli kweli 😃😃
 
Back
Top Bottom