Nilivyoacha pombe kwa mara moja kwa kutumia psychedelics

Nilivyoacha pombe kwa mara moja kwa kutumia psychedelics

Akotia

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
528
Reaction score
1,241
Habari zangu ni nzuri na zilizojaa furaha baada ya kufanikiwa kuacha pombe. Kama mtumiaji mzuri niliyokubuhu wa pombe takriban miaka mitano nilikuwa na pambana sana na nafsi yangu kuacha hii kitu, nikijitahidi sana naweza kukaa wiki ila nilikuwa nakunywa kila siku.

Kwa kuhangaika kwangu mitandaoni nikakutana na makala mbali mbali kuhusu psyhedelics na jinsi inavosaidia kuacha pombe mara moja.

Does psilocybin change your brain? How the ingredient in magic mushrooms may ease addiction

Hizo ni baadhi ya habari za kisayansi kuhusu mushrooms psylobin(aina ya pschedelics) na uwezo wake wa kuponya uraibu wa pombe

Anyway nilifanikiwa kupata hizo shrooms na nikatumia gram moja, hakika ni maamuzi bora niliyofanya mwaka huu.

Nilikuwa jioni na kuanzia siku hiyo sikusikia tena alosto ya pombe mpaka leo hii mwezi wa pili huu, hakika siamini naona kama miujiza.

WhatsApp Image 2023-07-03 at 10.12.13 PM.jpeg
 
Mkuu, em tuunganishe na mimi nipate niwache mafegi... maana mitungi na fegi baba yao mmojA
 
Mkuu, em tuunganishe na mimi nipate niwache mafegi... maana mitungi na fegi baba yao mmojA
mafegi ni rahisi sana kuacha kwanza yazarau jiulize unakulaje kitu kisicholeta choo mara moja unacha
 
pombe ni rahisi sana kuacha ukiamua hasa acha pombe ukiwa na pesa
Mi ilinilazimu kuacha sababu nilikua Nina uwezo wa kunywa kila siku bila kuathirika kipesa. Mi hua nakunywa ndani 99% ya ulevi wangu,siendi bar au club usiku.
 
habari zangu ni nzuri na zilizojaa furaha baada ya kufanikiwa kuacha pombe. kama mtumiaji mzuri niliyokubuhu wa pombe takriban miaka mitano nilikua na pambana sana na nafsi yangu kuacha hii kitu,nikijitahidi sana naweza kukaa wiki ila nilikua nakunywa kila siku.

kwa kuhangaika kwangu mitandaoni nikakutana na makala mbali mbali kuhusu psyhedelics ba jinsi inavosaidia kuacha pombe mara moja.

Does psilocybin change your brain? How the ingredient in magic mushrooms may ease addiction

hizo ni baadhi ya habari za kisayansi kuhusu mushrooms psylobin(aina ya pschedelics) na uwezo wake wa kuponya uraibu wa pombe

anyway nilifanikiwa kupata hizo shrooms na nikatumia gram moja,hakika ni maamuzi bora niliyofanya mwaka huu.
nilikua jioni na kuanzia siku hiyo sikuskia tena alosto ya pombe mpaka leo hii mwezi wa pili huu,hakika siamini naona kama miujiza.View attachment 2677613
mkuu nisaidie hii dawa....manake mi i napiga masanga mpaka nimeamua kuondoa engine ya gari yangu ndogo na kuiweka stoo baada ya kukoswakoswa na ajali mara kwa mara,,,,,tafadhali sana!!!{0784422625]''''''',,,,,,,yaani napiga pombe mpaka baa inafungwa
 
Sasa unapo acha pombe, utakunywa nini..??🤨
 
habari zangu ni nzuri na zilizojaa furaha baada ya kufanikiwa kuacha pombe. kama mtumiaji mzuri niliyokubuhu wa pombe takriban miaka mitano nilikua na pambana sana na nafsi yangu kuacha hii kitu,nikijitahidi sana naweza kukaa wiki ila nilikua nakunywa kila siku.

kwa kuhangaika kwangu mitandaoni nikakutana na makala mbali mbali kuhusu psyhedelics ba jinsi inavosaidia kuacha pombe mara moja.

Does psilocybin change your brain? How the ingredient in magic mushrooms may ease addiction

hizo ni baadhi ya habari za kisayansi kuhusu mushrooms psylobin(aina ya pschedelics) na uwezo wake wa kuponya uraibu wa pombe

anyway nilifanikiwa kupata hizo shrooms na nikatumia gram moja,hakika ni maamuzi bora niliyofanya mwaka huu.
nilikua jioni na kuanzia siku hiyo sikuskia tena alosto ya pombe mpaka leo hii mwezi wa pili huu,hakika siamini naona kama miujiza.View attachment 2677613
*anyway nilifanikiwa kupata hizo shrooms na nikatumia gram moja,hakika ni maamuzi bora niliyofanya mwaka huu.
nilikua jioni na kuanzia siku hiyo sikuskia tena alosto ya pombe mpaka leo hii mwezi wa pili huu,hakika siamini naona kama miujiza*

Mimi niliamua tu kuacha nilikaa miezi mitano....nilikonda sana mpaka boss akashauri ninywe hata mbili kwa afya....nikawa nagonga mbili tatu mwili ukarudi wa wastani


*KOMAA USIRUDI HUKU TENA KAMA HUJAKONGOROKA *
 
Habari zangu ni nzuri na zilizojaa furaha baada ya kufanikiwa kuacha pombe. Kama mtumiaji mzuri niliyokubuhu wa pombe takriban miaka mitano nilikuwa na pambana sana na nafsi yangu kuacha hii kitu, nikijitahidi sana naweza kukaa wiki ila nilikuwa nakunywa kila siku.

Kwa kuhangaika kwangu mitandaoni nikakutana na makala mbali mbali kuhusu psyhedelics na jinsi inavosaidia kuacha pombe mara moja.

Does psilocybin change your brain? How the ingredient in magic mushrooms may ease addiction

Hizo ni baadhi ya habari za kisayansi kuhusu mushrooms psylobin(aina ya pschedelics) na uwezo wake wa kuponya uraibu wa pombe

Anyway nilifanikiwa kupata hizo shrooms na nikatumia gram moja, hakika ni maamuzi bora niliyofanya mwaka huu.

Nilikuwa jioni na kuanzia siku hiyo sikusikia tena alosto ya pombe mpaka leo hii mwezi wa pili huu, hakika siamini naona kama miujiza.

View attachment 2677613
Wewee...
🤣🤣🤣

Tulia. Ukikaa miezi sita niite...
Nimekaa palee
 
Back
Top Bottom