Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Kwahiyo unakataa kwamba Ulinzi sio Jeshi au Ulinzi na usalama inamaanisha vyombo vyote?Unajichanganya.Acha ubishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unakataa kwamba Ulinzi sio Jeshi au Ulinzi na usalama inamaanisha vyombo vyote?Unajichanganya.Acha ubishi.
Unataka awataje mara ngapi?ngara23 unamaanisha vyombo gani vinavyotuhumiwa?
Sasa hiyo sio ndio usalama. Au hujui usalama ni nini?🤣Kwamba police hawafanyi ulinzi
Wanafanya usalama tu
Sijui anawachukuliaje police
Kazi ya polisi kikatiba ni kulinda raia na mali zao
Mafwele katumwa na nani?Sioni sababu ya IGP, DGIS,Waziri kuwajibishwa.
Waliopaswa kutokuwepo kazini ni Mafwere na wenzake.
Kwa alochosema leo naona watu wakipewa kesi za hayo mauaji
Dah bad tunanjia ndefu yakufika pale wenzetu walipoHuyo mama sasa kanogewa na hayo madaraka!
Kwa hiyo anajifanya chura kiziwi, asiyetaka kusikiliza chochote kinacholalanikiwa na Umma wa watanzania na jumuia ya kimataifa!😭
Huu utekaji na mauji ni maagizo ya Ikulu, hakuna namna angeweza kuongea kinyume na hivyo. Hizo 4r aliingia na Mbowe, lakini wengi tulijua ni ghiliba ili atawale bila kusumbuliwa. Hizi hasira anazojifanya kuonyesha ni sawa na tajiri aliyafanya makosa, kisha anakuwa mkali ili wafanyakazi wasihoji ukweli.1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Avibainishe. Habari inazungumzia vyombo vya Ulinzi na usalama. Aliyeandika hivyo hakujua kwamba ukisema vyombo vya Ulinzi na usalama maana yake amelitaja na Jeshi(Ulinzi) kitu ambacho hata yeye hawezi kusema ndivyo alivyomaanisha. Kwahiyo hoja ilitakiwa kuwa vyombo vya usalama kwani ndio vinavyotuhumiwa.Unataka awataje mara ngapi?