Nilivyoelewa hotuba ya Rais Samia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi

Nilivyoelewa hotuba ya Rais Samia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi

Ni Hivi Tanzania iwe na rais wake na Tanganyika tuwe na rais wetu.

Kama mtakoswa mtu wa kuwa rais wa Tanganyika mi nipo Tyr kuongoza muda wowote tu
 
Sioni sababu ya IGP, DGIS,Waziri kuwajibishwa.

Waliopaswa kutokuwepo kazini ni Mafwere na wenzake.

Kwa alochosema leo naona watu wakipewa kesi za hayo mauaji
Mafwele katumwa na nani?
 
Huyo mama sasa kanogewa na hayo madaraka!

Kwa hiyo anajifanya chura kiziwi, asiyetaka kusikiliza chochote kinacholalanikiwa na Umma wa watanzania na jumuia ya kimataifa!😭
Dah bad tunanjia ndefu yakufika pale wenzetu walipo
 
1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama

2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23

3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania

4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji

5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP

6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Huu utekaji na mauji ni maagizo ya Ikulu, hakuna namna angeweza kuongea kinyume na hivyo. Hizo 4r aliingia na Mbowe, lakini wengi tulijua ni ghiliba ili atawale bila kusumbuliwa. Hizi hasira anazojifanya kuonyesha ni sawa na tajiri aliyafanya makosa, kisha anakuwa mkali ili wafanyakazi wasihoji ukweli.
 
Unataka awataje mara ngapi?
Avibainishe. Habari inazungumzia vyombo vya Ulinzi na usalama. Aliyeandika hivyo hakujua kwamba ukisema vyombo vya Ulinzi na usalama maana yake amelitaja na Jeshi(Ulinzi) kitu ambacho hata yeye hawezi kusema ndivyo alivyomaanisha. Kwahiyo hoja ilitakiwa kuwa vyombo vya usalama kwani ndio vinavyotuhumiwa.
 
Back
Top Bottom