Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
yeah ni masakuuu πMasakuu π€£
pale ni balaa sana kabla ya kuingia kwenye kichochoro kuna miti ya miashoki π²π²π²
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah ni masakuuu πMasakuu π€£
ππππyeah ni masakuuu π
pale ni balaa sana kabla ya kuingia kwenye kichochoro kuna miti ya miashoki π²π²π²
nilipita kile kichochoro nkakunja kushoto... kupiga hatua km tano nikasikia kwa mpalange buku5 tena sild ππ nlitoka mbio hizooo π€£π€£ππππ
π€£π€£π€£
Hebu nikumbushe kile kichochoro cha kwenda UWANI...kile kichochoro baina ya miashoki ,choo na ukuta....hivi unaelekea wapi kule uwani ?!!! π€£π€£π€£
Ha ha ha ha ha mbioooo....π€£nilipita kile kichochoro nkakunja kushoto... kupiga hatua km tano nikasikia kwa mpalange buku5 tena sild ππ nlitoka mbio hizooo π€£π€£
Haatareee......masakuu kuna mambo ya ajabu sana
USA sijaijua mwanaHa ha ha ha ha mbioooo....π€£
Ya walimwengu kwa walimwengu....
Ulipotoka ukakimbilia na kuhamia kule UNITED STATES OF AMERICA kulia Kama unakwenda CHARAMBE karibu na ile stendi ya magari mbele ya SOKO ?!!! π€£
Nako pia ulisikia km hapo Masakuu?!! π€£
Watu wanachukulia mzaha, pale vijana wa umri mdogo wanafukua mitaro ya Dada zao kama hawana akili vizuri. Nipo counter nashangaa vijana wanapita tu kuelekea nyuma kwenye hiyo chochonilipita kile kichochoro nkakunja kushoto... kupiga hatua km tano nikasikia kwa mpalange buku5 tena sild ππ nlitoka mbio hizooo π€£π€£
dunia haina huruma.Watu wanachukulia mzaha, pale vijana wa umri mdogo wanafukua mitaro ya Dada zao kama hawana akili vizuri. Nipo counter nashangaa vijana wanapita tu kuelekea nyuma kwenye hiyo chocho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiki kijamaa nina wasiwasi nacho 99.9% maana sababu alizotoa za kukimbia hiyo sehemu hazina mashiko, inaonesha dhahiri yeye ndio alienda hapo kutoa huduma sasa alivokuta watoa huduma husika wapo akaamua kutoka nduki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani khaaaahKwanza ye mwenyewe hujaona alivyomalizia? Eti 'Kinondoni baby'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilipita kile kichochoro nkakunja kushoto... kupiga hatua km tano nikasikia kwa mpalange buku5 tena sild [emoji23][emoji23] nlitoka mbio hizooo [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si bora mbagala, kuliko kinondoni wanaume wanapumuliwa kama dada zao.
Kinondoni yanakaa maofisi tu wanaume hukaa Gongs, Keko, TMK,Kimara etc.Kwahiyo unataka kusema Wanaume kukaa Kinondoni ni kosa?
Haha halafu hawahawa ukiwakuta telegram wanakutajia bei za masakiWeekend iliyopita nilikuwa bar moja ukipita Dar live upande wa kushoto.
Saa moja usiku nipo counter, kaja dada mmoja ile kumuangalia tu kosa, kanifata ananinong'oneza chumba 5000 na mimi 5000 kwampalange tunaenda hata sikujua nijibu nini. Sitakuja tena Mbagala bakini huko na ushenzi wenu. Acha nibaki kwetu Kinondoni baby.
Tena mambo haswaMjini kuna mambo...