shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Utamaduni kitu kibaya sana. Huyu anaweza kuposwa, maana Mexico maua ya rangi ya njano ni love ila nyekundu ni kifo, ulaya pink wewe ni gay ila Tanzania pink ni fashionMwanzoni mwa mwaka huu nilisafiri kwenda mkoani Mbeya na Songwe,katika pita pita zangu mara paap Diamond huyu hapa.
Umenikumbusha Katumba. Nilikua nafanya kazi kiwanda cha chai miaka ya 80'sHiyo Picha imepigwa maeneo ya Bagamoyo mbele ya nyumba ya Kimpo, ukishuka kidogo unafika kwa Madodi, mbele kidogo unafika Soko Mjinga halafu pembeni kuna nyumba ya mhindi mmoja aliyekuwa akiitwa Topiwala, halafu mbele ni lwa Mkakile, na kwa pale juu zamani palikua kuna kituo kinaitwa kwa Aden.
Halafu huyoo unatokomea Mwisho wa Mji ili uende Katumba.
Aiseee huyo angewahi kidogo angekuwa LADY GAGA.
Mkuu itakua nakufahamu....mimi niko hapa mwisho wa mjiHiyo Picha imepigwa maeneo ya Bagamoyo mbele ya nyumba ya Kimpo, ukishuka kidogo unafika kwa Madodi, mbele kidogo unafika Soko Mjinga halafu pembeni kuna nyumba ya mhindi mmoja aliyekuwa akiitwa Topiwala, halafu mbele ni lwa Mkakile, na kwa pale juu zamani palikua kuna kituo kinaitwa kwa Aden.
Halafu huyoo unatokomea Mwisho wa Mji ili uende Katumba.