Kipindi icho ilikua 620,000(boom 420k na stationary 200k) unapewa pesa mkononi, 1st year wengi sana walipoteza pesa zao siku Hio Hio maana siunajua kiwewe tena Cha pesaNashukuru kwa ufafanuzi mkuu,ndio maana niliuliza mwaka na jina la chuo nilikua sijui kama zamani boom lilikua linapokelewa kwa muhasibu.
Kupigwa napo lilikua fundisho tu maisha yanaendelea
Point mkuuPesa inatengenezwa pale ambapo wengine hawawezi kudhani inawezekana.
Hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu ile over invoice ya ATCL kwenye uhalisia wa kawaida unaweza kudhani mtu/watu anaweza/wanaweza kuyafanya yale??
Nimeona hoja yako hapo juu labda nisaidie kumjibia mleta uzi.
2. Hiyo miaka ya 2010 alivyokuwa anauza Ipad kama wali ulikuwa 1,000 tena chuoni, unashindwaje kuamini miaka 7 au 8 nyuma wali kuwa 200 kwenye canteen za shule za sekondari??
4. Mimi nimesoma Private School, tena hapahapa Dar yenye kila aina ya usimamizi na nidhamu. Lakini nilifanya biashara ya kuuza pipi (Ivory) na vyakula kama Sambusa na Chipsi kwa miaka mitatu kuanzia Form Two mpaka Form Four bila hata kushtukiwa. Ile shule ilikuwa ukiruka tu ukuta uingie mtaani wale wa mtaani iwe raia au hata walinzi wa shule wakikukamata na wakakupeleka shuleni wanalipwa laki moja cash (kwa kulisema hili nadhani waliosoma ile shule kama wapo hapa watakuwa wameijua) ila kwa mazingira hayohayo magumu mimi na biashara yangu ilisurvive kwa miaka mitatu na ilikuwa lazima hii mizigo ifuatwe nje na ije kuuzwa shuleni. Kuna mbinu nyingi sana nilikuwa natumia, nilinunua viongozi wa dormitories pamoja na maprefects ikiwemo Head Boy, nilijenga urafiki na Patrons ingawa hawakujua ninachofanya. Nilifanya hivyo makusudi ili wale spies directly wasiweze kuwa threat kwangu sababu walijua wakienda either kwa maprefects au Patrons kunichongea lazima habari zitanifikia. So kwa upande wa jamaa tena shule za serikali ambazo walimu wapo busy na mambo yao sidhani kama inashindikana jamaa alichokifanya.
Kitu kinachotenganisha utajiri na umaskini ni UTHUBUTU tu. Maskini wamekariri njia rahisi na salama kupata pesa ila matajiri ni tofauti. Maskini ni muoga, anaogopa kupoteza alichonacho, tajiri yeye plan yake anaangalia atachopata kwanza sio alichonacho mkononi.
Nakubaliana na wewe mkuu.Miaka ya 2000 mwanzoni sahani ya chips ilikuwa sh 100-150...chips mayai sh 250 tu.ukiwa na sh 700 unapata chips na kuku nusu
Ohooo....Umejuaje kama ni bikra?
Haya ngoja mi nikujibu UDSM.Nashukuru kwa ufafanuzi mkuu,ndio maana niliuliza mwaka na jina la chuo nilikua sijui kama zamani boom lilikua linapokelewa kwa muhasibu.
Kwanza nikupongeze kwa juhudi za kutafuta pesa toka O-Level,
Pili,ningependa kujua mwaka ulioingia chuoni na jina la Chuo ulichosoma ambacho kilikua na utaratibu kwa wanafunzi kwenda kuchukua Pesa za Boom kwa muhasibu badala ya kuwekewa kwenye account.
Mkongeni dakawa hiyoTumekula wali kwa 100 pale Mvomero kwa Mama Ombopa. Nimekunywa na kuuza soda kwenye mnada wa Mkongeni kwa soda Tsh 50. Mama yangu alikuwa anachoma vitumbua nami nikawa namuuzia kwa Tsh 5 then ikaja Tsh 10 huyo ya wali kuuzwa 200 ni kitu cha kawaida tena huo ulikuwa wali nyama.
Hahaaaaaa unaujua huo. Nimeuza sana soda, maji na vitumbua pale bro.Mkongeni dakawa hiyo
Tumeishi miaka hiyo, 1992-1997Hahaaaaaa unaujua huo. Nimeuza sana soda, maji na vitumbua pale bro.
Yes, i wanted to say that, game ya hela bana ni ishu tu ya kuwa makini na kujua kuicheza. Watu wanasema ni haramu kutoa jela kwa riba, kwan kuna mtu anamnyang'anya mtu hela si anachukua kwa hiari yake na shida zake? Benki zote zinapata faida kwa biashara hyo na kila anayechukua mkopo kama ana akili anatoboa na anarudisha riba ya watu.Kama ni haramu mbona benki hazifilisiki