Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Pesa inatengenezwa pale ambapo wengine hawawezi kudhani inawezekana.

Hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu ile over invoice ya ATCL kwenye uhalisia wa kawaida unaweza kudhani mtu/watu anaweza/wanaweza kuyafanya yale??

Nimeona hoja yako hapo juu labda nisaidie kumjibia mleta uzi.

2. Hiyo miaka ya 2010 alivyokuwa anauza Ipad kama wali ulikuwa 1,000 tena chuoni, unashindwaje kuamini miaka 7 au 8 nyuma wali kuwa 200 kwenye canteen za shule za sekondari??

4. Mimi nimesoma Private School, tena hapahapa Dar yenye kila aina ya usimamizi na nidhamu. Lakini nilifanya biashara ya kuuza pipi (Ivory) na vyakula kama Sambusa na Chipsi kwa miaka mitatu kuanzia Form Two mpaka Form Four bila hata kushtukiwa. Ile shule ilikuwa ukiruka tu ukuta uingie mtaani wale wa mtaani iwe raia au hata walinzi wa shule wakikukamata na wakakupeleka shuleni wanalipwa laki moja cash (kwa kulisema hili nadhani waliosoma ile shule kama wapo hapa watakuwa wameijua) ila kwa mazingira hayohayo magumu mimi na biashara yangu ilisurvive kwa miaka mitatu na ilikuwa lazima hii mizigo ifuatwe nje na ije kuuzwa shuleni. Kuna mbinu nyingi sana nilikuwa natumia, nilinunua viongozi wa dormitories pamoja na maprefects ikiwemo Head Boy, nilijenga urafiki na Patrons ingawa hawakujua ninachofanya. Nilifanya hivyo makusudi ili wale spies directly wasiweze kuwa threat kwangu sababu walijua wakienda either kwa maprefects au Patrons kunichongea lazima habari zitanifikia. So kwa upande wa jamaa tena shule za serikali ambazo walimu wapo busy na mambo yao sidhani kama inashindikana jamaa alichokifanya.

Kitu kinachotenganisha utajiri na umaskini ni UTHUBUTU tu. Maskini wamekariri njia rahisi na salama kupata pesa ila matajiri ni tofauti. Maskini ni muoga, anaogopa kupoteza alichonacho, tajiri yeye plan yake anaangalia atachopata kwanza sio alichonacho mkononi.​
St Mathews ama St Anne Marie ss
 
Pesa inatengenezwa pale ambapo wengine hawawezi kudhani inawezekana.

Hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu ile over invoice ya ATCL kwenye uhalisia wa kawaida unaweza kudhani mtu/watu anaweza/wanaweza kuyafanya yale??

Nimeona hoja yako hapo juu labda nisaidie kumjibia mleta uzi.

2. Hiyo miaka ya 2010 alivyokuwa anauza Ipad kama wali ulikuwa 1,000 tena chuoni, unashindwaje kuamini miaka 7 au 8 nyuma wali kuwa 200 kwenye canteen za shule za sekondari??

4. Mimi nimesoma Private School, tena hapahapa Dar yenye kila aina ya usimamizi na nidhamu. Lakini nilifanya biashara ya kuuza pipi (Ivory) na vyakula kama Sambusa na Chipsi kwa miaka mitatu kuanzia Form Two mpaka Form Four bila hata kushtukiwa. Ile shule ilikuwa ukiruka tu ukuta uingie mtaani wale wa mtaani iwe raia au hata walinzi wa shule wakikukamata na wakakupeleka shuleni wanalipwa laki moja cash (kwa kulisema hili nadhani waliosoma ile shule kama wapo hapa watakuwa wameijua) ila kwa mazingira hayohayo magumu mimi na biashara yangu ilisurvive kwa miaka mitatu na ilikuwa lazima hii mizigo ifuatwe nje na ije kuuzwa shuleni. Kuna mbinu nyingi sana nilikuwa natumia, nilinunua viongozi wa dormitories pamoja na maprefects ikiwemo Head Boy, nilijenga urafiki na Patrons ingawa hawakujua ninachofanya. Nilifanya hivyo makusudi ili wale spies directly wasiweze kuwa threat kwangu sababu walijua wakienda either kwa maprefects au Patrons kunichongea lazima habari zitanifikia. So kwa upande wa jamaa tena shule za serikali ambazo walimu wapo busy na mambo yao sidhani kama inashindikana jamaa alichokifanya.

Kitu kinachotenganisha utajiri na umaskini ni UTHUBUTU tu. Maskini wamekariri njia rahisi na salama kupata pesa ila matajiri ni tofauti. Maskini ni muoga, anaogopa kupoteza alichonacho, tajiri yeye plan yake anaangalia atachopata kwanza sio alichonacho mkononi.​
O level nimeuza sana Mandazi,Samaki wa Kukaanga,Kitimoto,Ndizi za kuroast,pombe kali za viroba + bangi(japo sikuwa mlevi wala mvutaji)

Watoto wazuri walikuwa wananishobokea balaa
 
[emoji23][emoji23], hii bei ya Wali sh 200 ni miaka ya 90,labda kukopesha kaanza akiwa chuo kikuu, miaka ya 2000
Shida ya watz unakuta unaishi labda singida basi unahisi kuwa maisha ya Singida ndo Tz Nzimaa

Maeneo ambyao wanalima Mchele kwa wingi huo wali hauna bei...mfano kuna mahali 2010 wali maharage sh 600 tena wa kushiba wali nyama Buku
Sasa unashangaa nini wali kuwa 200 miaka labda mitano nyuma??
 
Shida ya watz unakuta unaishi labda singida basi unahisi kuwa maisha ya Singida ndo Tz Nzimaa

Maeneo ambyao wanalima Mchele kwa wingi huo wali hauna bei...mfano kuna mahali 2010 wali maharage sh 600 tena wa kushiba wali nyama Buku
Sasa unashangaa nini wali kuwa 200 miaka labda mitano nyuma??
Haiwekezani,, labda uwe unaongelea huko matakoni mwa Tanzania(kusini),, sisi wa kanda ya ziwa ndo walimaji wazuri wa mpunga,, na huwezi kupata wali sahani 200 hata kwa miaka 15 nyuma
 
Haiwekezani,, labda uwe unaongelea huko matakoni mwa Tanzania(kusini),, sisi wa kanda ya ziwa ndo walimaji wazuri wa mpunga,, na huwezi kupata wali sahani 200 hata kwa miaka 15 nyuma
 
Haiwekezani,, labda uwe unaongelea huko matakoni mwa Tanzania(kusini),, sisi wa kanda ya ziwa ndo walimaji wazuri wa mpunga,, na huwezi kupata wali sahani 200 hata kwa miaka 15 nyuma
Mkuu nilienda kyela mwaka 2006 nilikula wali maharage kwa 150.
 
Haiwekezani,, labda uwe unaongelea huko matakoni mwa Tanzania(kusini),, sisi wa kanda ya ziwa ndo walimaji wazuri wa mpunga,, na huwezi kupata wali sahani 200 hata kwa miaka 15 nyuma
Chuo kikuu cha Dar es Salaam main campus wali maharage (RB) ulikuwa unauzwa Tshs. 800/- mwaka 2016 ktk cafeteria za wanafunzi. Chini ya mwaka 2010 ulikuwa unauzwa Tsh. 600/-.

It's possible chakula kuuzwa Tshs. 200/- kama target customer group lako ni wanafunzi wa sekondari tena shule za bweni za serikali chini ya miaka ya 2010. Hili ni kundi lenye kipato kidogo huwa wanauziwa vyakula vyenye grade ya chini.
 
Chuo kikuu cha Dar es Salaam main campus wali maharage (RB) ulikuwa unauzwa Tshs. 800/- mwaka 2016 ktk cafeteria za wanafunzi. Chini ya mwaka 2010 ulikuwa unauzwa Tsh. 600/-.

It's possible chakula kuuzwa Tshs. 200/- kama target customer group lako ni wanafunzi wa sekondari tena shule za bweni za serikali chini ya miaka ya 2010. Hili ni kundi lenye kipato kidogo huwa wanauziwa vyakula vyenye grade ya chini.
Aisee RB imetuokoa sana pale mlimani, 600 tu soda ilikuwa 350

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Umesema kipindi hicho ilikuwa sahani ya wali unanunua 200, so 5k ya kipindi hicho ni kama 50k ya sasa

Halafu unamkopesha mtu elfu 5 (50k ya sasa) wakawa wanakulipa 15k (150k ya sasa) na biashara ikawa kubwa?

Yaani hapa ndipo nilipoishia kusoma hii story, hii ni chai ambayo haina sukari,.[emoji23][emoji23][emoji23] Hiyo biashara ungefilisika baada ya muhula mmoja tu
Naongea haya kwa sababu nina experience na biashara ya kukopesha pia

Ukikoesha watu hela tena kwa riba kubwa bila kuwa na dhamana inayoweza kuuzwa kirahisi hapo jiandikishie kufilisika


Haya mnaoamini hii ni kweli nitoleeni povu
Naunga mkono hoja
 
Hiyo 30k kuwa 300k ni makadirio yangu kutokana na bei ya chakula ukoyotaja

Biashara ya kukopesha kwa ambao tumewahi kufanya na tunaifanya hadi sasa, ukimkoesha mwanafunzi wa form one 5k akulipe 15k ambayo ndio ilikuwa kama pocket money yao kipindi hicho, huku akiwa hana asset ya maana, tena shuleni, ingekupelekea kupoteza hela, migogoro kufika kwa uongozi wa shule sababu hakuna ambaye angekulipa

Naona unatuketea story za kwenye movies za mafia unafanya eti bongo .[emoji23][emoji23]
Kwa bei ya tshs 200/- kwa sahani ya wali ndondo, hiyo ni miaka 2003-2006 fulani hivi. Nakumbuka mwaka 2004 shuleni kwetu kulikuwa na simu moja tu SIEMEN fulani hivi yenye antenna.
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninautangazia umma kuwa huu uzi ni chai... tuusome kwa kujifurahisha tu hakuna uhalisia wowote hapa.

1. Form one alienda akiwa hajui kama shule haina wanafunzi wa kike. Wasichana kutokuwa admitted ni badiliko kubwa sana ambalo huwa sio la siri. Chai no. 1
2. Chakula Tsh 200 canteen. Kama alisoma wakati wa iPad zinatoka ni kwamba sio miaka mingi iliyopita. Kukadiria ni kama 2010 kuendelea. Vyuoni misosi ilikua Tsh 1000 na zaidi. Hakukuwa na uwezekano upate kwa Tsh 200 wali maharage hata kwa shule za sekondari. Au ilikuwa ni Ihefu sec school? Chai no.2
3. Biashara ya mkopo kwenda smoothly bila mgogoro wowote ni Chai no.3 kwenye biashara ya mikopo lazima watokee wasumbufu. Labda kama wateja ni malaika.
4. Kumiliki simu 4 maalum kwa kutazama porn shuleni ni Chai no.4 hii isingeweza kuwa siri kwa vyovyote vile lazima lingemfikia mwalimu wa nidhamu. Katika wanafunzi kuna wenye maadili wasingelifumbia macho. Kuna wenye wivu na pesa unazopiga wasingekaa kimya. Kimsingi hustles za ndugu mwandishi wakati wa secondary zimetawaliwa na chai.

Kwa hustles za Chuo sina tatizo nazo maana angalau zinawezekana.
Kwa shule nilizosoma mie TABORA BOYS na SENGEREMA SECONDARY. Hii biashara ya mwamba ilikuwa haiwezi kudumu kwa siku 3. Unakuwa ushakamatwa kitambo
 
Boss nimesoma Govt kuanzia msingi hadi chuo. Form 1 & 6 nimesoma bweni shule tofauti 3 zote za serikali. Hakuna utakachoniambia kuhusu shule za serikali. Niko Form one mwaka 1999 shule nzima hakuna mwenye simu. Mimi nitaendelea tu kusoma uzi wako mwingine kama burudani tu ila sio kuamini ulichoandika.
Tulikuwa form one mwaka mmoja shekhe wangu. Shuleni kwetu form 1-6, hakuna aliyekuwa na simu. Nilipoenda Form five kuna jamaa mmoja (Kenedy) alikuja na simu SIEMEN fulani hivi yenye antenna. Ofcourse, during those time, wali ndondo ulikuwa tshs 150 -200/-
 
Tulikuwa form one mwaka mmoja shekhe wangu. Shuleni kwetu form 1-6, hakuna aliyekuwa na simu. Nilipoenda Form five kuna jamaa mmoja (Kenedy) alikuja na simu SIEMEN fulani hivi yenye antenna. Ofcourse, during those time, wali ndondo ulikuwa tshs 150 -200/-
Kwa miaka ile ni sawa. Hata mimi nimekula wali Tsh 200
 
Back
Top Bottom