meaganita
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 439
- 645
Benki hazipo salama au sioAm waiting ila mwendo uliumaliza mara baada ya kujihusisha na biashara ya kidhalimu ya kukopesha kwa riba!! Riba haijawahi kumuacha mtu salama .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Benki hazipo salama au sioAm waiting ila mwendo uliumaliza mara baada ya kujihusisha na biashara ya kidhalimu ya kukopesha kwa riba!! Riba haijawahi kumuacha mtu salama .
St Mathews ama St Anne Marie ssPesa inatengenezwa pale ambapo wengine hawawezi kudhani inawezekana.
Hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu ile over invoice ya ATCL kwenye uhalisia wa kawaida unaweza kudhani mtu/watu anaweza/wanaweza kuyafanya yale??
Nimeona hoja yako hapo juu labda nisaidie kumjibia mleta uzi.
2. Hiyo miaka ya 2010 alivyokuwa anauza Ipad kama wali ulikuwa 1,000 tena chuoni, unashindwaje kuamini miaka 7 au 8 nyuma wali kuwa 200 kwenye canteen za shule za sekondari??
4. Mimi nimesoma Private School, tena hapahapa Dar yenye kila aina ya usimamizi na nidhamu. Lakini nilifanya biashara ya kuuza pipi (Ivory) na vyakula kama Sambusa na Chipsi kwa miaka mitatu kuanzia Form Two mpaka Form Four bila hata kushtukiwa. Ile shule ilikuwa ukiruka tu ukuta uingie mtaani wale wa mtaani iwe raia au hata walinzi wa shule wakikukamata na wakakupeleka shuleni wanalipwa laki moja cash (kwa kulisema hili nadhani waliosoma ile shule kama wapo hapa watakuwa wameijua) ila kwa mazingira hayohayo magumu mimi na biashara yangu ilisurvive kwa miaka mitatu na ilikuwa lazima hii mizigo ifuatwe nje na ije kuuzwa shuleni. Kuna mbinu nyingi sana nilikuwa natumia, nilinunua viongozi wa dormitories pamoja na maprefects ikiwemo Head Boy, nilijenga urafiki na Patrons ingawa hawakujua ninachofanya. Nilifanya hivyo makusudi ili wale spies directly wasiweze kuwa threat kwangu sababu walijua wakienda either kwa maprefects au Patrons kunichongea lazima habari zitanifikia. So kwa upande wa jamaa tena shule za serikali ambazo walimu wapo busy na mambo yao sidhani kama inashindikana jamaa alichokifanya.
Kitu kinachotenganisha utajiri na umaskini ni UTHUBUTU tu. Maskini wamekariri njia rahisi na salama kupata pesa ila matajiri ni tofauti. Maskini ni muoga, anaogopa kupoteza alichonacho, tajiri yeye plan yake anaangalia atachopata kwanza sio alichonacho mkononi.
O level nimeuza sana Mandazi,Samaki wa Kukaanga,Kitimoto,Ndizi za kuroast,pombe kali za viroba + bangi(japo sikuwa mlevi wala mvutaji)Pesa inatengenezwa pale ambapo wengine hawawezi kudhani inawezekana.
Hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu ile over invoice ya ATCL kwenye uhalisia wa kawaida unaweza kudhani mtu/watu anaweza/wanaweza kuyafanya yale??
Nimeona hoja yako hapo juu labda nisaidie kumjibia mleta uzi.
2. Hiyo miaka ya 2010 alivyokuwa anauza Ipad kama wali ulikuwa 1,000 tena chuoni, unashindwaje kuamini miaka 7 au 8 nyuma wali kuwa 200 kwenye canteen za shule za sekondari??
4. Mimi nimesoma Private School, tena hapahapa Dar yenye kila aina ya usimamizi na nidhamu. Lakini nilifanya biashara ya kuuza pipi (Ivory) na vyakula kama Sambusa na Chipsi kwa miaka mitatu kuanzia Form Two mpaka Form Four bila hata kushtukiwa. Ile shule ilikuwa ukiruka tu ukuta uingie mtaani wale wa mtaani iwe raia au hata walinzi wa shule wakikukamata na wakakupeleka shuleni wanalipwa laki moja cash (kwa kulisema hili nadhani waliosoma ile shule kama wapo hapa watakuwa wameijua) ila kwa mazingira hayohayo magumu mimi na biashara yangu ilisurvive kwa miaka mitatu na ilikuwa lazima hii mizigo ifuatwe nje na ije kuuzwa shuleni. Kuna mbinu nyingi sana nilikuwa natumia, nilinunua viongozi wa dormitories pamoja na maprefects ikiwemo Head Boy, nilijenga urafiki na Patrons ingawa hawakujua ninachofanya. Nilifanya hivyo makusudi ili wale spies directly wasiweze kuwa threat kwangu sababu walijua wakienda either kwa maprefects au Patrons kunichongea lazima habari zitanifikia. So kwa upande wa jamaa tena shule za serikali ambazo walimu wapo busy na mambo yao sidhani kama inashindikana jamaa alichokifanya.
Kitu kinachotenganisha utajiri na umaskini ni UTHUBUTU tu. Maskini wamekariri njia rahisi na salama kupata pesa ila matajiri ni tofauti. Maskini ni muoga, anaogopa kupoteza alichonacho, tajiri yeye plan yake anaangalia atachopata kwanza sio alichonacho mkononi.
Kuna fundi sofa alikuwa ananunua magodoro 10k [emoji3][emoji3]tulikuwa tunaona ni hela nyingii vibaya sanaaaaaaamkuu Mimi nilikuwa tofaut kidogo, nilikuwa naiba magodoro ya bweni naenda kuwauzia mafundi sofa,
Shida ya watz unakuta unaishi labda singida basi unahisi kuwa maisha ya Singida ndo Tz Nzimaa[emoji23][emoji23], hii bei ya Wali sh 200 ni miaka ya 90,labda kukopesha kaanza akiwa chuo kikuu, miaka ya 2000
Haiwekezani,, labda uwe unaongelea huko matakoni mwa Tanzania(kusini),, sisi wa kanda ya ziwa ndo walimaji wazuri wa mpunga,, na huwezi kupata wali sahani 200 hata kwa miaka 15 nyumaShida ya watz unakuta unaishi labda singida basi unahisi kuwa maisha ya Singida ndo Tz Nzimaa
Maeneo ambyao wanalima Mchele kwa wingi huo wali hauna bei...mfano kuna mahali 2010 wali maharage sh 600 tena wa kushiba wali nyama Buku
Sasa unashangaa nini wali kuwa 200 miaka labda mitano nyuma??
Haiwekezani,, labda uwe unaongelea huko matakoni mwa Tanzania(kusini),, sisi wa kanda ya ziwa ndo walimaji wazuri wa mpunga,, na huwezi kupata wali sahani 200 hata kwa miaka 15 nyuma
Haiwekezani,, labda uwe unaongelea huko matakoni mwa Tanzania(kusini),, sisi wa kanda ya ziwa ndo walimaji wazuri wa mpunga,, na huwezi kupata wali sahani 200 hata kwa miaka 15 nyuma
Mkuu nilienda kyela mwaka 2006 nilikula wali maharage kwa 150.
Chuo kikuu cha Dar es Salaam main campus wali maharage (RB) ulikuwa unauzwa Tshs. 800/- mwaka 2016 ktk cafeteria za wanafunzi. Chini ya mwaka 2010 ulikuwa unauzwa Tsh. 600/-.Haiwekezani,, labda uwe unaongelea huko matakoni mwa Tanzania(kusini),, sisi wa kanda ya ziwa ndo walimaji wazuri wa mpunga,, na huwezi kupata wali sahani 200 hata kwa miaka 15 nyuma
Aisee RB imetuokoa sana pale mlimani, 600 tu soda ilikuwa 350Chuo kikuu cha Dar es Salaam main campus wali maharage (RB) ulikuwa unauzwa Tshs. 800/- mwaka 2016 ktk cafeteria za wanafunzi. Chini ya mwaka 2010 ulikuwa unauzwa Tsh. 600/-.
It's possible chakula kuuzwa Tshs. 200/- kama target customer group lako ni wanafunzi wa sekondari tena shule za bweni za serikali chini ya miaka ya 2010. Hili ni kundi lenye kipato kidogo huwa wanauziwa vyakula vyenye grade ya chini.
Naunga mkono hojaUmesema kipindi hicho ilikuwa sahani ya wali unanunua 200, so 5k ya kipindi hicho ni kama 50k ya sasa
Halafu unamkopesha mtu elfu 5 (50k ya sasa) wakawa wanakulipa 15k (150k ya sasa) na biashara ikawa kubwa?
Yaani hapa ndipo nilipoishia kusoma hii story, hii ni chai ambayo haina sukari,.[emoji23][emoji23][emoji23] Hiyo biashara ungefilisika baada ya muhula mmoja tu
Naongea haya kwa sababu nina experience na biashara ya kukopesha pia
Ukikoesha watu hela tena kwa riba kubwa bila kuwa na dhamana inayoweza kuuzwa kirahisi hapo jiandikishie kufilisika
Haya mnaoamini hii ni kweli nitoleeni povu
Kwa bei ya tshs 200/- kwa sahani ya wali ndondo, hiyo ni miaka 2003-2006 fulani hivi. Nakumbuka mwaka 2004 shuleni kwetu kulikuwa na simu moja tu SIEMEN fulani hivi yenye antenna.Hiyo 30k kuwa 300k ni makadirio yangu kutokana na bei ya chakula ukoyotaja
Biashara ya kukopesha kwa ambao tumewahi kufanya na tunaifanya hadi sasa, ukimkoesha mwanafunzi wa form one 5k akulipe 15k ambayo ndio ilikuwa kama pocket money yao kipindi hicho, huku akiwa hana asset ya maana, tena shuleni, ingekupelekea kupoteza hela, migogoro kufika kwa uongozi wa shule sababu hakuna ambaye angekulipa
Naona unatuketea story za kwenye movies za mafia unafanya eti bongo .[emoji23][emoji23]
Kwa shule nilizosoma mie TABORA BOYS na SENGEREMA SECONDARY. Hii biashara ya mwamba ilikuwa haiwezi kudumu kwa siku 3. Unakuwa ushakamatwa kitamboKwa mamlaka niliyojipa ninautangazia umma kuwa huu uzi ni chai... tuusome kwa kujifurahisha tu hakuna uhalisia wowote hapa.
1. Form one alienda akiwa hajui kama shule haina wanafunzi wa kike. Wasichana kutokuwa admitted ni badiliko kubwa sana ambalo huwa sio la siri. Chai no. 1
2. Chakula Tsh 200 canteen. Kama alisoma wakati wa iPad zinatoka ni kwamba sio miaka mingi iliyopita. Kukadiria ni kama 2010 kuendelea. Vyuoni misosi ilikua Tsh 1000 na zaidi. Hakukuwa na uwezekano upate kwa Tsh 200 wali maharage hata kwa shule za sekondari. Au ilikuwa ni Ihefu sec school? Chai no.2
3. Biashara ya mkopo kwenda smoothly bila mgogoro wowote ni Chai no.3 kwenye biashara ya mikopo lazima watokee wasumbufu. Labda kama wateja ni malaika.
4. Kumiliki simu 4 maalum kwa kutazama porn shuleni ni Chai no.4 hii isingeweza kuwa siri kwa vyovyote vile lazima lingemfikia mwalimu wa nidhamu. Katika wanafunzi kuna wenye maadili wasingelifumbia macho. Kuna wenye wivu na pesa unazopiga wasingekaa kimya. Kimsingi hustles za ndugu mwandishi wakati wa secondary zimetawaliwa na chai.
Kwa hustles za Chuo sina tatizo nazo maana angalau zinawezekana.
Tulikuwa form one mwaka mmoja shekhe wangu. Shuleni kwetu form 1-6, hakuna aliyekuwa na simu. Nilipoenda Form five kuna jamaa mmoja (Kenedy) alikuja na simu SIEMEN fulani hivi yenye antenna. Ofcourse, during those time, wali ndondo ulikuwa tshs 150 -200/-Boss nimesoma Govt kuanzia msingi hadi chuo. Form 1 & 6 nimesoma bweni shule tofauti 3 zote za serikali. Hakuna utakachoniambia kuhusu shule za serikali. Niko Form one mwaka 1999 shule nzima hakuna mwenye simu. Mimi nitaendelea tu kusoma uzi wako mwingine kama burudani tu ila sio kuamini ulichoandika.
Kwa miaka ile ni sawa. Hata mimi nimekula wali Tsh 200Tulikuwa form one mwaka mmoja shekhe wangu. Shuleni kwetu form 1-6, hakuna aliyekuwa na simu. Nilipoenda Form five kuna jamaa mmoja (Kenedy) alikuja na simu SIEMEN fulani hivi yenye antenna. Ofcourse, during those time, wali ndondo ulikuwa tshs 150 -200/-