Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tena advance kulikuwa na kariakoo ...wali 200Kama mpaka leo unapata wali buku, 2010 ukose wali wa mia mbili enzi hizo kuna note ya 500?
Kuhusu mkopo ameelezea alikuwa yuko selective kwa watu wa kuwakopesha.
Kuhusu simu shule niliyo soma mimi simu kuita darasani ilikuwa kawaida na mwalimu anafundisha anakuambia uzime, shule za boys usnitch huwa sio sana nadhan ameanza kufanya hiyo biashara ya simu form3 shule ikiwa boys tu.
Lastly haina haja ya kukaa ku-critcise kama ni chai nikupoteza mda wako wasomaji wengi hapa tunasoma kujiburudisha tu hatujali kama ni chai or whatever.
Dr. Huo mlima udzungwa hapo nyuma upo 360• degrees [emoji56]
hahahaha mwenyewe nimesoma kipindi hicho hicho cha lucas...mmasai yule na ile pick up yake[emoji23]Itakuwa kasoma Matthew huyu mkuu, tumefanya sana biashara na kutengeneza pesa sana pale.. kipindi cha Lucas.
pamoja sana hata me nilikuwa hapo ila nikitokea st.marks kwa watukutu zaidi..usafiri wetu ulikuwa canter dereva aliitwa ugeni [emoji23][emoji23] madada zenu wa hapo mathew walituzimikia balaa life style yetuYes mkuu
Tulisuswa ndughivi episode 2 Iko page ya ngapi maana naona watu ni kukomenti kwenda mbele...
🤣🤣Hii stori uongo 50% na ukweli 50%
Daaah..nimecheka sana🤣🤣Mkuu ilikuwa hatari!!jamaa alichonifanyia kipindi kile sukari ya kutumia nusu mwezi mtu unamuwekea kwenye kopo moja tu,na bado anakwambia nasikia kwa mbali!!ule ulikuwa ni UGAIDI!!!
Shule ina kuwa kama kambi ya watalibani!!na ole wako ukashitaki jamaa atakuwa suspended lakini haliendi kwao linabakia kijijini hapo usiku linakuja linakuvunja mguu,au kiuno,ndio linaenda kwao!!!mzee mmoja alimleta mtoto wake akawa amefika jioni sana hivyo ikabidi apewe sehemu alale na mwanaye hadi kesho ndipo zoezi la kupokelewa lifanyike!!bnana usiku mtoto ,baba walitembezewa kichapo!!kesho mzee akaairisha kimuachq mtoto wake akaondoka naye akasema hii sio shule!!!eti Mungu anamakusudi yeke hili kutokea,kumbe "mwanangu alikuwa anaenda kufa"
Mkuu ilikuwa hatari sanaa!! Hakuna mtoto wa kizazi hiki angeweza kusoma shule hizo.Daaah..nimecheka sana🤣🤣
Daah.mwamba white wizard nimecheka sana aiseeMkuu ilikuwa hatari sanaa!! Hakuna mtoto wa kizazi hiki angeweza kusoma shule hizo.