Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Mleta mada unazingua
bluepixelanimations-r4.jpg
 
Kama mpaka leo unapata wali buku, 2010 ukose wali wa mia mbili enzi hizo kuna note ya 500?
Kuhusu mkopo ameelezea alikuwa yuko selective kwa watu wa kuwakopesha.
Kuhusu simu shule niliyo soma mimi simu kuita darasani ilikuwa kawaida na mwalimu anafundisha anakuambia uzime, shule za boys usnitch huwa sio sana nadhan ameanza kufanya hiyo biashara ya simu form3 shule ikiwa boys tu.
Lastly haina haja ya kukaa ku-critcise kama ni chai nikupoteza mda wako wasomaji wengi hapa tunasoma kujiburudisha tu hatujali kama ni chai or whatever.
Sisi tena advance kulikuwa na kariakoo ...wali 200
 
Jamaa anabet tu sahv [emoji1787][emoji1787][emoji1787], aliona huu uzi ungembania fursa nyingi kwa jinsi alivyojibrag
 
INAENDELEA PART 2




.....
 

Attachments

  • instagram_1682419887449.mp4
    345.4 KB
Mkuu ilikuwa hatari!!jamaa alichonifanyia kipindi kile sukari ya kutumia nusu mwezi mtu unamuwekea kwenye kopo moja tu,na bado anakwambia nasikia kwa mbali!!ule ulikuwa ni UGAIDI!!!
Shule ina kuwa kama kambi ya watalibani!!na ole wako ukashitaki jamaa atakuwa suspended lakini haliendi kwao linabakia kijijini hapo usiku linakuja linakuvunja mguu,au kiuno,ndio linaenda kwao!!!mzee mmoja alimleta mtoto wake akawa amefika jioni sana hivyo ikabidi apewe sehemu alale na mwanaye hadi kesho ndipo zoezi la kupokelewa lifanyike!!bnana usiku mtoto ,baba walitembezewa kichapo!!kesho mzee akaairisha kimuachq mtoto wake akaondoka naye akasema hii sio shule!!!eti Mungu anamakusudi yeke hili kutokea,kumbe "mwanangu alikuwa anaenda kufa"
Daaah..nimecheka sana🤣🤣
 
Back
Top Bottom