Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tambaza ya mwaka gani hiyo?Hata Tambaza ilikua ruksa kuwa na simu
Ilikuwa ni shule ya ufundi bila Shaka.Haha Kuna watu mnakua wajuaji pasipo sababu
1) nishaelezea kua joining instruction hazikubadilishwa hivyo Kule walikua wameweka mpaka maelekezo ya wasichana waende na Nini, hivyo nilijua ni shule mchanganyiko
2) unafahamu kua inachukua takribani miaka Sita kuanzia form 1 mpaka kufika chuo??
3) hakuna sehemu nimesema ilikua smooth business, sasa ulitaka niweke details zote huku Uzi ningeandika siku nzima sasa
4) aisee kwa aliyesoma shule za gvt miaka Hio anaweza kuelewa, ukuda wa kijinga ulikua haupo
2006Tambaza ya mwaka gani hiyo?
Itakuwa kasoma Matthew huyu mkuu, tumefanya sana biashara na kutengeneza pesa sana pale.. kipindi cha Lucas.Mkuu umesoma shule za mtembei??
itakuwa ya Kaaya!Tambaza ya mwaka gani hiyo?
celtel,zain na sasa airtelAirtel enzi hizo ni celtel jamani hahahhahahaha
Mkuu wewe unafanya biashara ya Dhahabu??Nimeona mbali sana hadi natamani niwe wrong.
Looks like kuna mtu anajijengea CV hapa.
In a day kuna uzi wa mtu anataka guide ya biashara ya dhahabu na huyo ni new ID, huku nako kuna uzi wa hustler mmoja in a new ID, huyo hustler pia kwenye uzi wa dhahabu yupo in the same ID anaongelea investment ya kuingia porini kwa 10m wakati mie nmeingia kwa 1m na naona return nzr. Anyway this is just my analysis that's why I wish that I'm wrong
[emoji23] [emoji23]Mkuu ilikuwa hatari!!jamaa alichonifanyia kipindi kile sukari ya kutumia nusu mwezi mtu unamuwekea kwenye kopo moja tu,na bado anakwambia nasikia kwa mbali!!ule ulikuwa ni UGAIDI!!!
Shule ina kuwa kama kambi ya watalibani!!na ole wako ukashitaki jamaa atakuwa suspended lakini haliendi kwao linabakia kijijini hapo usiku linakuja linakuvunja mguu,au kiuno,ndio linaenda kwao!!!mzee mmoja alimleta mtoto wake akawa amefika jioni sana hivyo ikabidi apewe sehemu alale na mwanaye hadi kesho ndipo zoezi la kupokelewa lifanyike!!bnana usiku mtoto ,baba walitembezewa kichapo!!kesho mzee akaairisha kimuachq mtoto wake akaondoka naye akasema hii sio shule!!!eti Mungu anamakusudi yeke hili kutokea,kumbe "mwanangu alikuwa anaenda kufa"
mkuu Mimi nilikuwa tofaut kidogo, nilikuwa naiba magodoro ya bweni naenda kuwauzia mafundi sofa,Hongera sana Mr mutuu kwa kushare experience yako katika kuutafuta ukwasi, i hope saivi mambo yako yako poa kwa kuwa unajua mbinu za kutafuta hela[emoji109]
Binafsi nimefanya sana Biashara ya kuuza na kuchaji simu na vocha Bwenini punde nilivoanza A-level.
Nilivofika chuo nilikua najulikana hadi vyuo vya jirani kwa sababu ya madili niliyokua nafanya; mpaka namaliza third year nilikua tayari nina pesa za kutosha zilizonisaidia kufungua duka langu mwenyewe la kuuza simu hapa Kariakoo japo namimi nilitapeliwa pesa ndefu kidogo na Rafiki yangu wa karibu sana ila namshukuru Mungu niliweza kusimama kidete[emoji120]
kuanzia huko A-Level mpaka Chuo nimesoma na wanafunzi baadhi ambao kwao kuna ukwasi wa kutosha mpaka unaweza kujihisi wewe ulizaliwa tu bahati mbaya.
Tatizo letu wabongo tunajifanya wajuaji sana mwisho wa siku unatugharimu hata kwenye maisha ya kawaida, unakuta mtu hana progress yoyote kwa sababu ya ubishi na ufinyu wake wa fikra kwa kuamini kila fursa ni scam au kitu fulani hakiwezekani.
Kila mtu ana experience yake ya maisha, ndio maana matajiri wengi ambao wametolea jasho pesa zao wana tabia tunayoiita "roho mbaya".
Mleta uzi usiyumbishwe na hawa akina Tomaso, shusha vitu wengine tupo kujifunza vitu especially apo kwenye kutapeliwa maana hao watu sio poa kila kukicha wanabuni mbinu mpya za kuingia nazo vitani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu Mimi nilikuwa tofaut kidogo, nilikuwa naiba magodoro ya bweni naenda kuwauzia mafundi sofa,
Yes mkuuMkuu umesoma shule za mtembei??
Tritel haikudumu kabisa ,, chap wakaita celtel ndo wakasambaza sasa minara kwingi mnoo
JF kuna wajuaji sana si kila kitu lazima uelewe au ukipinge wanaosema ni chai sijui uji waambie watuelezee hustlin zao wengine wapo hapa JF hawajawahi hata kurisk laki moja wala hawajui biashara ni nini me nlishawahi poteza mill 24 kwenye kangomba na nilipoteza kizembe sana, kwahiyo naelewa achana nao hawa wakatisha tamaa.