Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Serikali ufuatiliaji ulikuwa haupo, kama shule za private miaka hiyo kulikuwa kuna kupigishwa simu vyooni(tundu la choo) kwa njuka, unadhani kwa serikalini ilikuwaje? Washukuru wamesoma kwenye kipindi ambacho haki za binadamu na sheria za shule zinazingatiwa! Ilikuwa ni bora ukutane na mwalimu kuliko kiranja kwa mlingano wa adhabu
Huyo atakuwa ni wa miaka ya karibuni!!zamani miaka ya 90's kuna baadhi ya shule ile kumaliza tu form one ni sawa na kumaliza mafunzo ya ukomandoo!!wengi waliacha shule au kuhamia za day!!mimi jamaa alinifuma live nina weka sukari kwenye uji,akasema dogo usinitanie niwekee!!karibia kilo nzima yaani vijiko(60) vikubwa kwani lazima ulikuwa ujue ili bajeti yako iende vizuri!!alikuwa na kopo la KIMBO,limejaa uji niliweka hadi uji ukawa mweusi,jamaa linaonja linafoka dogo usinitaniee bado NASIKIA KWA MBALIIII"hadi nikaanza kulia,POPOTE ULIPO KALAMAZOO,Mungu akulaani.
 
Airtel sijui walikuwa na jina gani aisee, kabla hawajatulia na jina lao hili walikuwa wanabadili badili majina ya brand zao kila mara. Mambo ya buzz ni bomba aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nadhani ilikuwa ni Tritel kabla ya kuja kuwa Celtel
 
Huyo atakuwa ni wa miaka ya karibuni!!zamani miaka ya 90's kuna baadhi ya shule ile kumaliza tu form one ni sawa na kumaliza mafunzo ya ukomandoo!!wengi waliacha shule au kuhamia za day!!mimi jamaa alinifuma live nina weka sukari kwenye uji,akasema dogo usinitanie niwekee!!karibia kilo nzima yaani vijiko(60) vikubwa kwani lazima ulikuwa ujue ili bajeti yako iende vizuri!!alikuwa na kopo la KIMBO,limejaa uji niliweka hadi uji ukawa mweusi,jamaa linaonja linafoka dogo usinitaniee bado NASIKIA KWA MBALIIII"hadi nikaanza kulia,POPOTE ULIPO KALAMAZOO,Mungu akulaani.
Asilaaniwe mana tayari anaumwa kisukari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Fatilia ulikuwaje mwisho wa mabenki makubwa yaliyojihusisha na riba!!

Lazima anguko likukute tu hata kama itachukua muda mrefu. Hayo mabenki yakikumbwa na economic recession utayaonea huruma.
Hivi kuna benki inatoa mkopo kwa 0 interest kbs
 
Airtel sijui walikuwa na jina gani aisee, kabla hawajatulia na jina lao hili walikuwa wanabadili badili majina ya brand zao kila mara. Mambo ya buzz ni bomba aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Celtel,na yenyewe ilikuja kwa kuchelewa sana.
 
Labda sio Azania ,pugu na shule zinazofanana na hizo sisi simu ikiibwa hakuna ku report popote utajua namna ya kuitafuta,Kila mwanafunzi wa advance ruksa kuwa na simu,ikiita darasani teacher anachukua weka simu silence ,na o level waliokuwa hostel wanapitia mwanya huo kuwa na simu,hakuna kuhesabiwa,darasani kuingia ni hiari,pared wanahuhuria form six na form four wakiwa kwenye mitihani,Kila mwanafunzi utamkuta kwenye chimbo anapiga msuli(soma Kwa bidii),unapishana na teacher unaenda tution yeye anaingia shuleni ,Kuna wanafunzi wanakuja na magari wakitoka nyumbani haswa week end na wanayapaki karibu na gari la mkuu wa shule,naongelea 2000-2006
Hata Tambaza ilikua ruksa kuwa na simu
 
Huyo atakuwa ni wa miaka ya karibuni!!zamani miaka ya 90's kuna baadhi ya shule ile kumaliza tu form one ni sawa na kumaliza mafunzo ya ukomandoo!!wengi waliacha shule au kuhamia za day!!mimi jamaa alinifuma live nina weka sukari kwenye uji,akasema dogo usinitanie niwekee!!karibia kilo nzima yaani vijiko(60) vikubwa kwani lazima ulikuwa ujue ili bajeti yako iende vizuri!!alikuwa na kopo la KIMBO,limejaa uji niliweka hadi uji ukawa mweusi,jamaa linaonja linafoka dogo usinitaniee bado NASIKIA KWA MBALIIII"hadi nikaanza kulia,POPOTE ULIPO KALAMAZOO,Mungu akulaani.
Pole sana ndugu. Sema wababe wengi wa shule ukikutana nao sasa hivi wamechoka balaa... kuna jamaa tukiwa form III alienda kwenye chemba akachota mle ndoo nzima na kwenda kumwagia mwenzake wakati amelala... yaani chini ya muda wa dakika moja bweni nzima walitoka nje kwa ile harufu kali. Alifukuzwa shule lakini hadi leo aliyemwagia mwenzake kinyesi ana maisha magumu sana... ni mtu ambaye kila analoshika halishikiki.
 
Hongera sana Mr mutuu kwa kushare experience yako katika kuutafuta ukwasi, i hope saivi mambo yako yako poa kwa kuwa unajua mbinu za kutafuta hela[emoji109]

Binafsi nimefanya sana Biashara ya kuuza na kuchaji simu na vocha Bwenini punde nilivoanza A-level.

Nilivofika chuo nilikua najulikana hadi vyuo vya jirani kwa sababu ya madili niliyokua nafanya; mpaka namaliza third year nilikua tayari nina pesa za kutosha zilizonisaidia kufungua duka langu mwenyewe la kuuza simu hapa Kariakoo japo namimi nilitapeliwa pesa ndefu kidogo na Rafiki yangu wa karibu sana ila namshukuru Mungu niliweza kusimama kidete[emoji120]

kuanzia huko A-Level mpaka Chuo nimesoma na wanafunzi baadhi ambao kwao kuna ukwasi wa kutosha mpaka unaweza kujihisi wewe ulizaliwa tu bahati mbaya.
Tatizo letu wabongo tunajifanya wajuaji sana mwisho wa siku unatugharimu hata kwenye maisha ya kawaida, unakuta mtu hana progress yoyote kwa sababu ya ubishi na ufinyu wake wa fikra kwa kuamini kila fursa ni scam au kitu fulani hakiwezekani.

Kila mtu ana experience yake ya maisha, ndio maana matajiri wengi ambao wametolea jasho pesa zao wana tabia tunayoiita "roho mbaya".

Mleta uzi usiyumbishwe na hawa akina Tomaso, shusha vitu wengine tupo kujifunza vitu especially apo kwenye kutapeliwa maana hao watu sio poa kila kukicha wanabuni mbinu mpya za kuingia nazo vitani
 
Pesa inatengenezwa pale ambapo wengine hawawezi kudhani inawezekana.

Hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu ile over invoice ya ATCL kwenye uhalisia wa kawaida unaweza kudhani mtu/watu anaweza/wanaweza kuyafanya yale??

Nimeona hoja yako hapo juu labda nisaidie kumjibia mleta uzi.

2. Hiyo miaka ya 2010 alivyokuwa anauza Ipad kama wali ulikuwa 1,000 tena chuoni, unashindwaje kuamini miaka 7 au 8 nyuma wali kuwa 200 kwenye canteen za shule za sekondari??

4. Mimi nimesoma Private School, tena hapahapa Dar yenye kila aina ya usimamizi na nidhamu. Lakini nilifanya biashara ya kuuza pipi (Ivory) na vyakula kama Sambusa na Chipsi kwa miaka mitatu kuanzia Form Two mpaka Form Four bila hata kushtukiwa. Ile shule ilikuwa ukiruka tu ukuta uingie mtaani wale wa mtaani iwe raia au hata walinzi wa shule wakikukamata na wakakupeleka shuleni wanalipwa laki moja cash (kwa kulisema hili nadhani waliosoma ile shule kama wapo hapa watakuwa wameijua) ila kwa mazingira hayohayo magumu mimi na biashara yangu ilisurvive kwa miaka mitatu na ilikuwa lazima hii mizigo ifuatwe nje na ije kuuzwa shuleni. Kuna mbinu nyingi sana nilikuwa natumia, nilinunua viongozi wa dormitories pamoja na maprefects ikiwemo Head Boy, nilijenga urafiki na Patrons ingawa hawakujua ninachofanya. Nilifanya hivyo makusudi ili wale spies directly wasiweze kuwa threat kwangu sababu walijua wakienda either kwa maprefects au Patrons kunichongea lazima habari zitanifikia. So kwa upande wa jamaa tena shule za serikali ambazo walimu wapo busy na mambo yao sidhani kama inashindikana jamaa alichokifanya.

Kitu kinachotenganisha utajiri na umaskini ni UTHUBUTU tu. Maskini wamekariri njia rahisi na salama kupata pesa ila matajiri ni tofauti. Maskini ni muoga, anaogopa kupoteza alichonacho, tajiri yeye plan yake anaangalia atachopata kwanza sio alichonacho mkononi.​
Mkuu umesoma shule za mtembei??
 
Umesema kipindi hicho ilikuwa sahani ya wali unanunua 200, so 5k ya kipindi hicho ni kama 50k ya sasa

Halafu unamkopesha mtu elfu 5 (50k ya sasa) wakawa wanakulipa 15k (150k ya sasa) na biashara ikawa kubwa?

Yaani hapa ndipo nilipoishia kusoma hii story, hii ni chai ambayo haina sukari,.😂😂😂 Hiyo biashara ungefilisika baada ya muhula mmoja tu
Naongea haya kwa sababu nina experience na biashara ya kukopesha pia

Ukikoesha watu hela tena kwa riba kubwa bila kuwa na dhamana inayoweza kuuzwa kirahisi hapo jiandikishie kufilisika


Haya mnaoamini hii ni kweli nitoleeni povu
Hadi leo mashule mengi na hata mitaani kuna sahani za wali na chipsi za 200...
 
Huyo atakuwa ni wa miaka ya karibuni!!zamani miaka ya 90's kuna baadhi ya shule ile kumaliza tu form one ni sawa na kumaliza mafunzo ya ukomandoo!!wengi waliacha shule au kuhamia za day!!mimi jamaa alinifuma live nina weka sukari kwenye uji,akasema dogo usinitanie niwekee!!karibia kilo nzima yaani vijiko(60) vikubwa kwani lazima ulikuwa ujue ili bajeti yako iende vizuri!!alikuwa na kopo la KIMBO,limejaa uji niliweka hadi uji ukawa mweusi,jamaa linaonja linafoka dogo usinitaniee bado NASIKIA KWA MBALIIII"hadi nikaanza kulia,POPOTE ULIPO KALAMAZOO,Mungu akulaani.
🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣
Mkuu ilikuwa hatari!!jamaa alichonifanyia kipindi kile sukari ya kutumia nusu mwezi mtu unamuwekea kwenye kopo moja tu,na bado anakwambia nasikia kwa mbali!!ule ulikuwa ni UGAIDI!!!
Shule ina kuwa kama kambi ya watalibani!!na ole wako ukashitaki jamaa atakuwa suspended lakini haliendi kwao linabakia kijijini hapo usiku linakuja linakuvunja mguu,au kiuno,ndio linaenda kwao!!!mzee mmoja alimleta mtoto wake akawa amefika jioni sana hivyo ikabidi apewe sehemu alale na mwanaye hadi kesho ndipo zoezi la kupokelewa lifanyike!!bnana usiku mtoto ,baba walitembezewa kichapo!!kesho mzee akaairisha kimuachq mtoto wake akaondoka naye akasema hii sio shule!!!eti Mungu anamakusudi yeke hili kutokea,kumbe "mwanangu alikuwa anaenda kufa"
 
Duh huyo jamaa alikuwa katili sana😂
Mkuu ilikuwa hatari!!jamaa alichonifanyia kipindi kile sukari ya kutumia nusu mwezi mtu unamuwekea kwenye kopo moja tu,na bado anakwambia nasikia kwa mbali!!ule ulikuwa ni UGAIDI!!!
Shule ina kuwa kama kambi ya watalibani!!na ole wako ukashitaki jamaa atakuwa suspended lakini haliendi kwao linabakia kijijini hapo usiku linakuja linakuvunja mguu,au kiuno,ndio linaenda kwao!!!mzee mmoja alimleta mtoto wake akawa amefika jioni sana hivyo ikabidi apewe sehemu alale na mwanaye hadi kesho ndipo zoezi la kupokelewa lifanyike!!bnana usiku mtoto ,baba walitembezewa kichapo!!kesho mzee akaairisha kimuachq mtoto wake akaondoka naye akasema hii sio shule!!!eti Mungu anamakusudi yeke hili kutokea,kumbe "mwanangu alikuwa anaenda kufa"
 
Back
Top Bottom