Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Sasa ok na wewe umefanya hustle gan ambazo sio chai
 
Namba 2 namtetea mwenye uzi
Nimesoma shule ya msingi kwenye hiyo range ya mwaka 2010 uliyoitolea mfano wali maharage na nyama tulikua tunauziwa 200 na shule yetu ilikua imepakana na ya sekondari wote bei ya chakula ni hiyohiyo.
 
Namba 2 namtetea mwenye uzi
Nimesoma shule ya msingi kwenye hiyo range ya mwaka 2010 uliyoitolea mfano wali maharage na nyama tulikua tunauziwa 200 na shule yetu ilikua imepakana na ya sekondari wote bei ya chakula ni hiyohiyo.
Achana na Hawa madogo walioanza sekondari 2015
 
Ulikua wapi mkuu? Kama bahati mbaya nimechangia uzi wako na wewe umerudi jf.
Leo ndo nimeingia jf baada ya muda sana Nakuta notification za kutosha ya kwako ipo juu kabisa hapo😃, nilisafiri nje kidogo Kwa muda, mambo vipi lakini
 
Na hiyo shule ni Kibaha boys kwa sasa kaka mtoa story nahisi.....watu wanatumia akili nyingi kwny mambo ambayo yametokea kweli, miaka fulani kibaha waliwekwa mademu, wakianza kutolewa hawatolewi wote kwa pamoja....hata Azania kuna miaka waliwekwa wasichana kwa advance....mzee story iendelee
 
Namba 2 namtetea mwenye uzi
Nimesoma shule ya msingi kwenye hiyo range ya mwaka 2010 uliyoitolea mfano wali maharage na nyama tulikua tunauziwa 200 na shule yetu ilikua imepakana na ya sekondari wote bei ya chakula ni hiyohiyo.
Unanibishia mimi? Unajua mimi ni nani?
 
Leo ndo nimeingia jf baada ya muda sana Nakuta notification za kutosha ya kwako ipo juu kabisa hapo😃, nilisafiri nje kidogo Kwa muda, mambo vipi lakini
Mambo fresh, karibu tena.
 
Leo ndo nimeingia jf baada ya muda sana Nakuta notification za kutosha ya kwako ipo juu kabisa hapo😃, nilisafiri nje kidogo Kwa muda, mambo vipi lakini
Mwendelezo vp kiongozi?
 
Mtoa mada ametutapeli Milioni 42 Cassssh
Tumebakiwa na millon 8 Casssh
Tunaenda kuloga kesssho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…