Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Kwa mamlaka niliyojipa ninautangazia umma kuwa huu uzi ni chai... tuusome kwa kujifurahisha tu hakuna uhalisia wowote hapa.

1. Form one alienda akiwa hajui kama shule haina wanafunzi wa kike. Wasichana kutokuwa admitted ni badiliko kubwa sana ambalo huwa sio la siri. Chai no. 1
2. Chakula Tsh 200 canteen. Kama alisoma wakati wa iPad zinatoka ni kwamba sio miaka mingi iliyopita. Kukadiria ni kama 2010 kuendelea. Vyuoni misosi ilikua Tsh 1000 na zaidi. Hakukuwa na uwezekano upate kwa Tsh 200 wali maharage hata kwa shule za sekondari. Au ilikuwa ni Ihefu sec school? Chai no.2
3. Biashara ya mkopo kwenda smoothly bila mgogoro wowote ni Chai no.3 kwenye biashara ya mikopo lazima watokee wasumbufu. Labda kama wateja ni malaika.
4. Kumiliki simu 4 maalum kwa kutazama porn shuleni ni Chai no.4 hii isingeweza kuwa siri kwa vyovyote vile lazima lingemfikia mwalimu wa nidhamu. Katika wanafunzi kuna wenye maadili wasingelifumbia macho. Kuna wenye wivu na pesa unazopiga wasingekaa kimya. Kimsingi hustles za ndugu mwandishi wakati wa secondary zimetawaliwa na chai.

Kwa hustles za Chuo sina tatizo nazo maana angalau zinawezekana.
Sasa ok na wewe umefanya hustle gan ambazo sio chai
 
Kwa mamlaka niliyojipa ninautangazia umma kuwa huu uzi ni chai... tuusome kwa kujifurahisha tu hakuna uhalisia wowote hapa.

1. Form one alienda akiwa hajui kama shule haina wanafunzi wa kike. Wasichana kutokuwa admitted ni badiliko kubwa sana ambalo huwa sio la siri. Chai no. 1
2. Chakula Tsh 200 canteen. Kama alisoma wakati wa iPad zinatoka ni kwamba sio miaka mingi iliyopita. Kukadiria ni kama 2010 kuendelea. Vyuoni misosi ilikua Tsh 1000 na zaidi. Hakukuwa na uwezekano upate kwa Tsh 200 wali maharage hata kwa shule za sekondari. Au ilikuwa ni Ihefu sec school? Chai no.2
3. Biashara ya mkopo kwenda smoothly bila mgogoro wowote ni Chai no.3 kwenye biashara ya mikopo lazima watokee wasumbufu. Labda kama wateja ni malaika.
4. Kumiliki simu 4 maalum kwa kutazama porn shuleni ni Chai no.4 hii isingeweza kuwa siri kwa vyovyote vile lazima lingemfikia mwalimu wa nidhamu. Katika wanafunzi kuna wenye maadili wasingelifumbia macho. Kuna wenye wivu na pesa unazopiga wasingekaa kimya. Kimsingi hustles za ndugu mwandishi wakati wa secondary zimetawaliwa na chai.

Kwa hustles za Chuo sina tatizo nazo maana angalau zinawezekana.
Namba 2 namtetea mwenye uzi
Nimesoma shule ya msingi kwenye hiyo range ya mwaka 2010 uliyoitolea mfano wali maharage na nyama tulikua tunauziwa 200 na shule yetu ilikua imepakana na ya sekondari wote bei ya chakula ni hiyohiyo.
 
Namba 2 namtetea mwenye uzi
Nimesoma shule ya msingi kwenye hiyo range ya mwaka 2010 uliyoitolea mfano wali maharage na nyama tulikua tunauziwa 200 na shule yetu ilikua imepakana na ya sekondari wote bei ya chakula ni hiyohiyo.
Achana na Hawa madogo walioanza sekondari 2015
 
Ulikua wapi mkuu? Kama bahati mbaya nimechangia uzi wako na wewe umerudi jf.
Leo ndo nimeingia jf baada ya muda sana Nakuta notification za kutosha ya kwako ipo juu kabisa hapo😃, nilisafiri nje kidogo Kwa muda, mambo vipi lakini
 
Na hiyo shule ni Kibaha boys kwa sasa kaka mtoa story nahisi.....watu wanatumia akili nyingi kwny mambo ambayo yametokea kweli, miaka fulani kibaha waliwekwa mademu, wakianza kutolewa hawatolewi wote kwa pamoja....hata Azania kuna miaka waliwekwa wasichana kwa advance....mzee story iendelee
 
Namba 2 namtetea mwenye uzi
Nimesoma shule ya msingi kwenye hiyo range ya mwaka 2010 uliyoitolea mfano wali maharage na nyama tulikua tunauziwa 200 na shule yetu ilikua imepakana na ya sekondari wote bei ya chakula ni hiyohiyo.
Unanibishia mimi? Unajua mimi ni nani?
 
Leo ndo nimeingia jf baada ya muda sana Nakuta notification za kutosha ya kwako ipo juu kabisa hapo😃, nilisafiri nje kidogo Kwa muda, mambo vipi lakini
Mambo fresh, karibu tena.
 
Mtoa mada ametutapeli Milioni 42 Cassssh
Tumebakiwa na millon 8 Casssh
Tunaenda kuloga kesssho
 
Back
Top Bottom