Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Oya stori inaendelea telegram huko 1000 tu
 
Kwenye hii stori kwa kweli kuna vitu vingi sana vya kujifunza hasa kwa wale wenye ndoto za kwenda Afika ya kusini kusaka maisha, kuna watu wanachukulia kama hadithi ya kimapenzi mapenzi lakini katika uhalisia KPaul ametoa muongozo mzuri kwa wenye nia ya kwenda huko kuanzia toka Tanzania, taratibu za uhamiaji kwenye mipakani ya nchi unazopitia mpaka kufika Afrika kusini. Kuna watu wengine walioko huko SA na ambao walishawahi kufika huko naona hawakubaliani na mambo mengine ambayo KPaul ameyapitia. Mimi ushauri wangu naona bora tungemuacha KPaul amalize stori yake ndipo tuanze kujadili mambo ambayo yana ulakini kwa wengine waliofika huko, kuliko kuyajadili mambo hayo wakati stori bado inaendelea, maana inaweza kumkata stimu akapotea mazima yakabaki mabishano tu. Hata shuleni kwenye vitabu vya hadithi maswali yanafuata baada ya hadithi kuisha.
 
Inawezekana ila ni maisha magumu sana. Huwezi kufanya kazi halali..ukiona tu polisi au immigration wanapita presha inaanza kupanda. Ukipata shida huwezi kwenda polisi maama watajua wewe mhamiaji haramu.. sio kitu rahisi.

Tangia lini maisha yakawa rahisi kwa mpambanaji ni lazima ujitoe kweli kweli bila nidhamu ya hofu
 

Kusoma vitabu jinsi ya kuishi south Afrika na kuishi fisical ni tofauti kabisa endelea kusoma vitabu mkuu tuache sisi tutumie elimu ya kitaa! Ni kama mtu anavyokwambia haiwezekani mtu kuwa na passport 3 za nchi tofauti na usikamatwe huwa nasema hiiii! Watoto wa mama bado hawajakutana na changamoto za Dunia hii
 
Sasa wewe naona unataka kubishana, binafsi siwezi kubishana. So acha tuishie hapa mkuu.
Mkuu hivi SA kuna hizi m pesa,tigo pesa kama huku kwetu bongo au watu wanatoa pesa kupitia huduma za bank
 
Mambo ya HongKong enzi hiyo...sijui kama hadi sasa hii michezo ipo...

Maana wabeba ngada wameharibu sana taswira ya Wabongo
Pigia msitari hio sentensi ya mwisho.
Walioharibu taswira ya nchi yetu kwanza kabisa ni uhamiaji, wanawanyima paspoti wanaostahili, i.e. wanaokwenda nje kihalali, na wanawapa wauza ngada. Sasa wauza ngada wanachojali ni pesa na sio kulinda jina la nchi. Wameharibu pakubwa sana
 

Utanyimwa vipi passport mkuu!?,tatizo ukipenda kuwapa maelezo watu wanaotaka pesa utaishia kusaga soli!mkuu passport ukiwa nayo serious unaipata kabla hata jua halijazama kesho yake unatembea
 
Utanyimwa vipi passport mkuu!?,tatizo ukipenda kuwapa maelezo watu wanaotaka pesa utaishia kusaga soli!mkuu passport ukiwa nayo serious unaipata kabla hata jua halijazama kesho yake unatembea
🤣 🤣 🤣 🤣 ushamaliza hapo kwenye PESA. Means bila rushwa hujapata gamba
 
Nchi zilizoendelea kiuchumi kama SA kazi za kuajiriwa huwa ni chache sana ,ila mzunguko wa hela huwa mkubwa sana kama ukijishughulisha .Kibaya zaidi miji mikubwa kama Pretoria na Johanesburg maisha yapo tight sana kwa kuwa watu wa kipato cha juu na cha kati ndio wengi maeneo hayo.
 
Daaahh asee hili ni bonge la mkasa mzee
 
Mzee hebu tupe muendelezo wa mahusiana kati ya mjeda na mchumba wa kitanga yaliendeleaje
 
Ningekuwa mod ningefuta huu Uzi..
Huu Uzi hauendelei Tena ndo umeishia hapo!!!
 
We jamaa ka comment kwenye thread yako ukooo....acha tulishwe matango pori tu.wengine tuna soma kusogeza mda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…