mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Ni kweli mkuu Mimi hiyo njia ya Zambia to south nimepita zaidi ya Mara 200 tena siyo upande mmoja.@konda msafi nadhani bado hajakumbana na changamato za kwenye Maboda, kwa hiyo hawezi kuelewa hii michezo, ila kikubwa mtu mzuri ni yule anayejipa nafasi ya kujifunza na sio kujifanya unajua kila kitu
Kila mwezi napita hapo,,either nakwenda au narudi.
Najuwa njia yote na matatizo ya njia mzima kwa sisi watanzania.
Zambia kupitia Bulawayo to south.
Zambia via harare to south.
Border Swaziland to south.
Border Lesotho to south
Malawi to Mozambique to south.
Kuna siku nitafunguwa uzi humu,,
siku mbwa wa police alipolikamata begi langu na kuhusushwa na madawa ya kulevya hapo beit bridge( Zimbabwe na south)
So mkuu safari ni experience,, tena sio inchi moja.