Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Sahihi utapewa kila unachostahili
 
Alleluiya Ministry International kwa Alph Lukau
 
basi kata taratibu kii.. ray van mtu mzuri.
 
Mkuu, endelea kutuwekea link za episodes pale juu kama ulivyofanya awali. Tunapata shida kutafuta muendelezo
 
Hao wanaigeria ujuaji wao unawacost kila sehemu hawakubaliki kutokana na tabia zao za kishenzi,utapeli,wizi etc
Kinachosababisha wakimbie kwao ni umasikini na kwa sasa nchi yao hali ya kisiasa sio nzuri muda wowote kitawaka
😂😂😂 Kwamba tz Ni tajiri ndo maana hamtoki kwa wingi km Nigeria, au mna mienendo poa sana🤔 ni Kama matajiri huku kitaa wanaitwa mafreemanson, ndo akili yako ilivyo na wewe,

Halafu si wanaigeria wote Ni matapeli, kubali tu wametuacha mbali katika kurisk kiutafutaji fursa za maisha
 
Mkuu Nimecheka Lakini Nakufurahia Sana Comments zako... Kuna kitu unanijenga... Aisee na huu uzee Wangu Huku Kigoma Kasulu Ndani Ndani Huku Kijiji Cha Muyegera Nimetamani Sana Kujilipua. Hapa leo hi naelekea Uhamiaji kuangalia Utaratibu wa Gamba.... Asante Sana
 
naomba namba yako plse
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…