Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Hao wanaigeria ujuaji wao unawacost kila sehemu hawakubaliki kutokana na tabia zao za kishenzi,utapeli,wizi etc
Kinachosababisha wakimbie kwao ni umasikini na kwa sasa nchi yao hali ya kisiasa sio nzuri muda wowote kitawaka
Hii mentality unatoa wapi boss? Hakuna anaekimbia utajiri kwao
ni kama huwajui/ulifanya kusikia tu kijiweni, pamoja na ushenzi unaousemea lakini bado ni wamoja
 

true bro
 
Hii mentality unatoa wapi boss? Hakuna anaekimbia utajiri kwao
ni kama huwajui/ulifanya kusikia tu kijiweni, pamoja na ushenzi unaousemea lakini bado ni wamoja
Nimeishi nao...nimefanya nao kazi ...kuna wanaija walikamatwa mkoa X Wakaswekwa lupango... Waliokuwa kumi na 6 ...mshkaji wangu (mnaija mwenzao) yeye yupo njema kifedha ...katika hai kumi na 6 sita pekee ndo aliokuwa anawafahamu Ila alipambana mpaka wote wakarudishwa makwao...
Kila siku anawapelekea msosi.. asubuhi mchana jioni..
Anaenda mahakamani...
Lastly Igbos wote walijiunga kuhakikisha majamaa wanarudishw kwao.
Wana umoja Sana..
 
Wapo mkuu...
Wanafuata raw materials..
Madini ...
Huku Kuna bidhaa kutoka China wanigeria wengi wanaimport ....
Kuna wachina pia..
Pakistanis
Indians...ndo usiseme ...pesa bongo ipoooo
Yani kama Shant Town Moshi wazungu ni wengi Sana wanaishi huko, pia maeneo ya double road wahindi wanamaduka makubwa haswa na migahawa (mfano Milan's restaurant) ya mhindi mmoja ni ndogo lkn wateja ni wengi sana tena watu wazito [emoji91][emoji91]
 

Unataka kunambia kuna wanaijeria wengi hapa bongo? Makazi yao hasa ni wapi? Na wanajishughulisha na nini wengi wao?
 
kwanini una m-preempt, si usubiri?
 
Hii mentality unatoa wapi boss? Hakuna anaekimbia utajiri kwao
ni kama huwajui/ulifanya kusikia tu kijiweni, pamoja na ushenzi unaousemea lakini bado ni wamoja
Nimeishi nao nawajua vizuri sio hao tu,asilimia kubwa ya west African kupata viza ya Europe au USA ect ni ngumu sababu ya tabia zao,unasema ni wamoja wanabagua sana kama hujui
 
Inasemekana Wanaijeria kama milioni 35 wapo nje ya nchi
 
Ndio advantahe yao akishaanza kutpa doggy style zq kitanga uko majuu wazungu wanapagawa na nilichp gundua mademu wa bongo wazur sn kwa shape hata sura wazungu bado sn wenyewe wanaota english figure sisi huku midambwandq kwendq mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…