Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Thanks Mkuu.... This Year..... Lazima nivuke Boda Kadhaa
 
Wakuu eeh mnawafahamu wasomali...
Umoja wao mnaufahamu?
Umeshawahi onalife lao?
Wanaishi mtaa mmoja..
Wanachukuana kwao kila siku...
Tatizo wanalibeba wote...
Pia nao kwa kujilipua so haba ..border hapa karibu kila siku wanavushwa kwenda Sa ...Baada ya muda wanarudi walionyookewa na maisha wanakuja kuchukua wenzao.. l
Kama wasomali wa hapa border dah Mshikamano wao nimeipenda.

Wabongo tuache ungese
 
Sasa pamoja na kubana kote huko "kwa RAIA wote wanaostahili" bado wakapewa "Wasiokua RAIA" unadhani ni approach sahihi???

Kwani wanaouaza madawa ya kule vya hapa hapa Tanzania wana passport?? Yaan passport haishusiani na madawa ya kulevya kwanini waihusishe??? Hapo ndo kuna tatizo ni mawazo ya kizamani sana

Okay kama Passport ni document mpaka uwe na safari Ingekua inadumu kwa hiyo safari moja uliyoombea tu halafu inaexpaya. Mtu aliyesafir mara moja tu kihalali anakua nayo kwa miaka 10 kwanini kila mtu anayehitaji asiwe nayo standby?? Mtu akishaomba manaake ana mpango wa safari na ni haki yake apewe. Makosa yatakayofanyika akiwa na hiyo passport atahukumiwa kwa aliyotenda kwann umnyime kwa kudhania "eti" atafanyia uhalifu

Muhalifu ni muhalifu tu akiamua hata asipokua nayo atasafiri tu......
 
Ila tuache Utani JF Ni Raha Sana Yaani Mpaka unakuwa Addicted kabisa Bila Kuingia JF unaona siku haijaenda Kabisa
Mimi (Keagan Paul) nikiwa na akili zangu timamu, naapa kwamba nitasimulia kila kitu kama nilivyoahidi kwa mujibu wa sheria iliyowekwa.

Na kwamba nitasimulia mwanzo hadi mwisho bila kuingiwa na tamaa za kuhamia telegram.

Ee mnyaazi Mungu nisaidie.
 

Hata Mimi majina ya kina Thomas nilip wahi kukutana nao ni watu kama huyo jamaa wana tabia za kujisikia na kususa susa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…