Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Dubai UAE pesa still upo ukiwa na mtaji , Connection na uaminifu..
Biashara ya magari used,manunuzi ya scrap cars kukata na kuuza vipuri bado yanalipa bongo /Africa.
Kuna bidhaa nyingi Sana kule Abc ninazo ninasubiri kujilipua tuuuu...
Naomba details za hii biashara inbox ndugu, kama hutajali sana. Natamani sana kuifanya
 
Huu Uzi ushaanza Mambo ya kutinduana Basi kwa akili za ndugu zangu watz Yan zishahama kwenda kupambana nje ya nchi saiz wanaanza kuvuta picha wa mtako wa kanya wakimlinganisha yule Mdada mkali anekuja na chuma kikali kanisani Yan sie wajinga Sana Yan tunafia kwenye kidonda Kama inzi.

Kuna stori ya Mayotte humu wengi tuliapa tutakwenda kabla ya hapo Kuna ya Botswana walewale wa Mayotte ndo haohao wanaocoment wanataka waingie Botswana hao hao Leo S.A sie wengi humu hatujielewi ndomana wakenya wanafurah wakikuta wanacompit na mtanzania.

Tujipange kufanikiwa kwa vitendo sio maneno moyoni yaan kuzania
 
Mkuu Keagan Paul ukimaliza yako, nami nitasimulia mkasa ulionikuta kule Arabuni nilipopelekwa na waarabu kwenda kucheza shoo kwenye kumbi zao.
Sitasahau....[emoji3064][emoji22][emoji17][emoji3064][emoji22][emoji17][emoji3064][emoji22][emoji17]
Unitag
 
Mkuu Keagan Paul ukimaliza yako, nami nitasimulia mkasa ulionikuta kule Arabuni nilipopelekwa na waarabu kwenda kucheza shoo kwenye kumbi zao.
Sitasahau....[emoji3064][emoji22][emoji17][emoji3064][emoji22][emoji17][emoji3064][emoji22][emoji17]
Hahahahahahah si uanzishe Uzi tu mkuu tuje na huko
 
Haya maisha kila MTU ana taka kuwa mzigo wenye manufaa... Ungewachngamkia wote... Ukiteleza nao unapata nafuu hata ukikosa sehemu ingine fresh utarejea kujibebisha na madevu yako *****... Maisha nyoso sana
 
Kama unavyojua hakuna kipindi bila wadhini. Embu tuonyeshe huo mtako tuoone... Umenifanya niwaze mengi mno. (Show us your ass I know you got pictures... Explore your gallery)

Astaqhafirullah .
Sheikh swaum tusije tengua.
 
Hizo picha unani PM tu hakuna sgida
Kama unavyojua hakuna kipindi bila wadhini. Embu tuonyeshe huo mtako tuoone... Umenifanya niwaze mengi mno. (Show us your ass I know you got pictures... Explore your gallery)

Astaqhafirullah .
Sio makubwa bi mdada ni Mapenzi yangu kwako tu[emoji120]
Maombi yenu yamefika.
Nawatangulizia picha Pm.
Asa ole wenu mzisambaze...mtakula Ban wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…