πππ Lazima waone donge wanadanga miaka nenda rudi hawapati hata kuolewa wewe umeolewa tena na the king himself na wanao watatuπππaisee,, hongera mwaego best Itabidi nije piyemu unifunde ya kitangaAsante. Nilisema watoto wangu siwaachi. Hao watu wanaosema eti wanawake tunapenda wanaume wenye pesa huwa nawatazama kwa dharau. Saivi wale walionidharau na kuninyanyasa wanaona wivu
Sent from my moto g power using JamiiForums mobile app
Halafu ana stori yake kule aliiacha part one.Badala ya kwenda kumalizia story yake kule anakuja kukomaa kuwa expert huku!WTF!!!πkonda msafi tulia.saivi ni zamu ya kanya
Hahahaha hongera kwa kuwa na muda mzuri wa kusomaMimi napenda sana story, kwanza nimechelewa kuiona kumbe ilianza toka jpili? Nimesoma ndani ya lisaa na nimemaliza yote.
Hapa kweli unapata hata fedha ya kulipa pango kweli manake naona vitu vichache!!??Kwa sasa nina ofisi mbili. Moja ipo Smit Street na Clein na nyingine ipo Edenvile hapa hapa J'burg. Mtaji wa mtu ni akili yake mwenyew, sio kila aishie kaburu ni muuza bangi au unga. Karibuni mapocho pocho wakubwa
View attachment 1757913
sawaHapana
Hana lolote mshamba tu atawababaisha washamba wenzie hana lolote tako gan la mabonde mabonde ukiwa mshamba kwel utashoboka kwanz na dawa yake inachemka acha aingie kwenye 18 hawez kuja kuharb Uzi kijingaWewe humfahamu Madame B ni moto wq kuotea mbali ,wema akiamua kukutunuku ni mtamu asali ikasome .long live Madame B
Nikiwa na pacha Evelyn SaltWewe wa kuogopa haya, sijui kwanini waliondoa JKW kule nilikua nakufaidi sana wewe bibiye, hebu zama PM haraka.
Lakini si tumekubaliana tabia ya kusutana ni ya kike umekua KE tena .Makahaba wenzio ndio wanajazana huko usiseme wanaume wote kuwa na heshima beba mkoba wako muda wa kazin umefika sijui Leo utatega wap
Sasa max anataka k tuzionee wapi lakini
Kutokana na hali ya corona, sasa hivi huwa hatujazi vitu wala watu. Unakuja tunakufungia unachotaka, afu unatembeaHapa kweli unapata hata fedha ya kulipa pango kweli manake naona vitu vichache!!??
au ndio kwa nyuma unauza sembe
Potea zako bhana wewe.Ww jifanye mjuaji hivyo hivyo ipo siku chamoto utakiona maana humu JF unaifanya kama wote ni watoto wenzio narudia endelea kuropoka ujinga wako hivyo siku yenyew utajua kwann mtaa umetulea
Mkuu sisi wengine tumekulia uswahilin makahaba kama hili ukiliacha likutukane ukae kimya litakuzoea tunapiga kote tarud badae kidogo muda wa yanga umefikaLakini si tumekubaliana tabia ya kusutana ni ya kike umekua KE tena .
Aiseeeukisoma comments humu utagundua hii nchi ilitakiwa iwe shamba kama mashamba mengine yaan unatoka south na jembe unakuja tz kulima jion unageuza unarud bondeni