Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndipo wengi hawapendi, each second of life passing imehakikiwa na Allah.Ya Mungu apewe Mungu..na ya Kaisari.....
Uongo au kweli?.Hahahaha acha tu kuna utalii mwingine raha sana. Haswa kama ni mtu mpenda magari
Wiki kadhaa zilizopita mdogo wangu kafanya utalii wa kuzunguka mikoa 22 ndani ya siku 13 kwa gari na mie nataka nimlipe
Kaanzia Mbeya-Tdm-Swanga-Mpanda-Kigoma-Bukoba-Chato-Geita-Mwanza-Shy-Nzega-Tabora..Then Tabora-Sgd-Babati-Arusha-Moshi-Tanga-Bagamoyo-Dar-Lindi-Mtr-Songea-Njombe-Makambako-Mbeya.
Mwisho wake mwaka huu nataka nilipe nipige mikoa yote ya bara na Mbuga zote za Tanzania kwa mwezi mmoja
Wazamiaji wa miaka ya 90Hiyo ya Mayotte mkuu em' nipe link
Tulia Mrembo I Know You KnowPotea zako bhana wewe.
Usinitishe.
Wewe nani mpaka nikuogope....
Narudia tena, punguza genye kwenye post za watu.
Na kama unataka kunitafuta karibu...
Niko verified member, najulikana.....afu sijali lolote.
Tusitishane.
Huwezi kuita mtu mpuuzi ilhali unamjua via keyboard.
Narudia tena...peleka shobo zako akhera, duniani tumejaa.
Ukiona nakuboa...ni-ignore babu weeee....kwani sh ngapi?
Karibu uwanjani....
Nima bando la mwezi mzima
Wakishua[emoji39][emoji39]Mie had nifight by hooks n crooks .bila hivyo hakuna kitu..mie mtu nayemwangalia kama mentor wangu ni dingilai..ukiskia mtu anapata hela akiwa amekaa anachek aljazeera ndo yule ..yaan kuna flow ya hela inaingia amekaa tu..nayataka hayo maisha!nimechoka sana kukimbizna na mibasi road[emoji24][emoji24][emoji24]! Kidg mwanga nauona ...najipa mwaka m1 nijitwe mkurugenzi....[emoji1787][emoji1787]! Itumie bahati hiyo vzr
Chezeya Mbongo na Ugwadu. Ki-Tanya kishapekechwa tayari anayetafutwa Sasa Tsoshipe sijui. Kombe uwanjani ataliwa mapema asubuhi!Duh, wewe kweli umepotea, yaani hicho kipengele hujakiona? Chibumbu cha Kanya tayari kilishapembuliwa zamani!
Nakubaliana na mdau SN.BARRY uzi ulikuwa mzuri sema kuna wajinga wamevamia watukana kila mtu, ujuaji mwingiiii, Kuna mmoja kila kitu anajua, kila kitu anacho Halafu kuna wanaojiuza kijanjaHana lolote mshamba tu atawababaisha washamba wenzie hana lolote tako gan la mabonde mabonde ukiwa mshamba kwel utashoboka kwanz na dawa yake inachemka acha aingie kwenye 18 hawez kuja kuharb Uzi kijinga
Wanamaombi tuko watamu balaaKanya kashapigwa miti..hakuna cha ulokole,uwimbaji kwaya wala nini..
Daah,aliye Juu atuhurumie sana.
Nipe na mimiWanamaombi tuko watamu balaa
Hiyo inajulikana...kesheni mkiombaHapo ndipo wengi hawapendi, each second of life passing imehakikiwa na Allah.
Uwiano wa mali ni matakwa yako ila Mungu ana nafasi yake in top of all.
No kaisari No some easy business.
Malengo tu mkuuUongo au kweli?.
Kama alifika mwanza kwa nini alishindwa kuingia musoma ili route itimie..?.
[emoji28][emoji28][emoji28] kwamba jamaa kaenda kumtafutaIla mamen mna kazi aise