Ngoja mimi niendelee wakati tunamsubiri
Keagan Paul
Wakati tumemaliza ibada kwenye muda wa saa 3 usiku, ikabidi wanakwaya tuanze safari ya kurudi kwenye hotel soo wakati tunapanda kwenye usafari bahati nzuri Tshespo akaja kukaa pembeni yangu .
Niseme ukweli Tshesipo alikuwa kachangamka sana na kuonesha ukaribu sana na mimi wakati bado tuko kwenye gari akaniomba Camera akawa anaangalia zile picha tulizopiga asubuhi kule mlimani na kuniuliza hii umeipenda?? Hii imetoka vizuri huku akitabasamu
Wakati tumekaribia kufika kwenye zile hotel pembeni kidogo kulikuwa na kama hoteli ambayo njee kulikuwa na restaurant ambayo watu walikuwa wakipata chakula vinywaji na mziki kidogo mara tshespo akasema sehemu nzuri sana kwa kupata chakula imetulia na mimi pia nikadakia nzuri sana akasema basi akasema tukifika kwenye hoteli tugeuze hapo kupata chakula.
Basi tuipofika pale hotelini nilienda room kwangu nikajiandaa fasta nikawa namsubiria Tshesipo huku nikiendelea kuscroll camera mdogo mdogo kuangalia picha za Tshespo. Baada ya dakika chache nikaona sms keagan toto la konda, toka njee
shuka chini hapa parking.
Daa kotoka njee nilivyomuona sikujua kama ndio Tshespo tulietoka nae kanisani maana alikuwa kabadiika haswa, hapa ndio niiona urembo aliokuwa kabarikiwa Tshesipo maana alikuwa kavaa skerti fubi inaishia magotini,,mahips na tako yalivyokuwa yamejaa ndani ya hile sketi plus ule mpasuo ungedhani sketi ile inachanika ndani ya dkk mbili
Nywele zlikuwa zimeangukia mgongoni, chuchu saa sita oclock, guu sasa ndio nilichoka asee, guu nilidhani ni paja la mange kimambi, nikasema hapa keagan lazima leo nimueleze hisia zangu, baada ya kufika pale akesema mbona unaniangalia sana, nikamwambia hapana umependeza sana akacheeka huku tukiongozana kwenda restaurant .