Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Mtoto wa muheshimiwa Keagen Paul

Lengo siyo kuona mapungufu wala kukwazana lkn kwa kuwa tunapaswa kujifunza sio mbaya tukaambiana ukweli wote

Ilikuwaje ukapita mpakani kwenda Lethoso wakati passport yako ilionyesha umezidisha muda wa kukaa SA ( sawa uliweka Rand 300) hauoni kwamba hapo ni issue ya mfumo na nafikiri kuna database ya uhamiaji ktk nchi husika kwa wageni wanao ingia na kutoka ( system) pia si inatakiwa kujazwa taarifa ktk hiyo database au ni suala la kugonga muhuri tu ktk passport bila taarifa zako kuwa stored ktk database yao? Hao ma afisa wa uhamiaji wanawezaje ku ‘manipulate’ na ku u ‘fix’ huo mfumo kwa kiwango hicho

Ingeleta maana ukisema ulitumia labda kama zile karatasi za zamani kama hauna passport (sijui mpaka miaka hii) kwa mtu kuingia kama EA unapata mpakani mfano Namanga unalipa na hauonyeshi passport na kwa kigezo wewe ni Raia wa kutoka ukanda/ nchi hizo na hapo hata sijui ulirudi vipi tena na ukaweza kuingia SA kutoka Lethoso

Sijatembea nchi za bara letu hili pendwa na labda kuna kiwango kikubwa cha rushwa mpaka tuna zi ‘fix system’ ila kwa nchi chache nilizoenda nje ya Afrika hicho kitu hakiwezekani eti umezidisha muda wa kukaa wa nchi husika afu unaenda dirisha la uhamiaji na sijui uweke $ mambo yaishe ni ngumu sana hiyo

Najua hamu ya kusimuliwa kwa wengi wetu ilivyo kubwa lkn hapa tunatakiwa kupata maelezo kidogo ili tujifunze kutoka kwa Muheshimiwa kama ataona inampendeza na ni hiari tu kutoka kwake

All in all hongera sana kwa uzoefu unaotupa ktk simulizi hii
Hapa nami aliniacha,sikutaka tu kuonekana naharibu story.
 
Mkuu mie unafiki huwa siuwezi, wewe unge-clear tu doubts zetu then ukaendelea kuleta stori. Haya mambo ya watu kuogopa kuuliza maswali ndio sababu hata nchi yetu imefikia hapa ilipo. Watanzania tulio wengi hatujiamini ndio maana viongozi wetu wanatuendesha wanavyotaka, yaani tuna taifa la ndio mzee hata kama kunahitajika maelezo. Kitu kama hakijakaa sawa wewe kitolee ufafanuzi. Kuna vitu hatuwezi kukubishia kwa sababu kweli kila mtu ana experience yake ila mkuu kuna vitu very technical huwezi kusema kila mtu ana experience yake pia, kuna baadhi vitu lazima viwe common kwa kila mtu. Mfano ni hili la kuoverstay haliwezi kumalizwa kwa rushwa ya rand 300 na likaisha completely kwa sababu ni issue ya usalama wa nchi na system iko linked nchi nzima kuanzia makao makuu ya immigration hadi idara zote zinazohusika na maswala ya uhamiaji. So wakiscan tu passport yako hapo boarder au sehemu yoyote inayohusika na mfumo wa passport control taarifa zako zinaonekana hadi makao makuu ya immigration kuwa kuna mtu kaoverstay anahitajika kukamatwa au kulipa fine whatever the case may be. Sasa huyo immigration officer atakusaidiaje hapo? Hiyo fine atakulipia? maana hiyo fine ni zaidi ya rand 4,000. Na hiyo fine inakuwa registered kwenye system mpaka uilipe ndio iwe cleared la sivyo unakuwa black listed kukanyaga nchini kwao for the next five years. Kwa hiyo hoja kama hii unatakiwa uitolee maelezo ili twende sawa. Kuna watu humu wanafurahia tu stori na vitu kama hivi wanavioverlook kwa sababu either hawavijui kama vipo au wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. Halafu hata issue ya kupewa hifadhi na kanisa na yenyewe kuna utata kidogo kama hutajali pia itolee maelezo. South africa inajulikana kwa ujambazi na mauaji hivyo kwa mtazamo wangu sio rahisi viongozi wa dini wakupe hifadhi bila kujiridhisha kama wewe ni mtu salama au la. As a reasonable person nilikuwa nategemea wangekuhoji kwa kina kuhusu uhalali wako wa kuwepo nchini kabla ya kukupa hifadhi, lazima wangekuulizia documents zako kama upo nchini kihalali. Kumbuka hilo ni kanisa na linatakiwa kuheshimu sheria za nchi, hivyo hawawezi kurisk kumhifadhi mtu ambaye anavunja sheria maana ungekamatwa wangeonekana wanahifadhi wahalifu hivyo ingepelekea kanisa kuingia mgogoro na mamlaka za kiserikali na ingepelekea hatari ya kufutiwa usajili wa kanisa lao, mind you Mindrands ni makazi ya watu wenye hela kwa hiyo ni watu wenye uelewa mpana. Samahani wasomaji kama nawaharibia stori yenu ila nimeamua kutokuwa mnafiki kwa kuuliza haya maswali critical.

Oya Mzee Ndio umeishi South Africa Sawa tuachie sisi story iendelee bhana mbona una kisabengo Mzee.
 
Mkuu mie unafiki huwa siuwezi, wewe unge-clear tu doubts zetu then ukaendelea kuleta stori. Haya mambo ya watu kuogopa kuuliza maswali ndio sababu hata nchi yetu imefikia hapa ilipo. Watanzania tulio wengi hatujiamini ndio maana viongozi wetu wanatuendesha wanavyotaka, yaani tuna taifa la ndio mzee hata kama kunahitajika maelezo. Kitu kama hakijakaa sawa wewe kitolee ufafanuzi. Kuna vitu hatuwezi kukubishia kwa sababu kweli kila mtu ana experience yake ila mkuu kuna vitu very technical huwezi kusema kila mtu ana experience yake pia, kuna baadhi vitu lazima viwe common kwa kila mtu. Mfano ni hili la kuoverstay haliwezi kumalizwa kwa rushwa ya rand 300 na likaisha completely kwa sababu ni issue ya usalama wa nchi na system iko linked nchi nzima kuanzia makao makuu ya immigration hadi idara zote zinazohusika na maswala ya uhamiaji. So wakiscan tu passport yako hapo boarder au sehemu yoyote inayohusika na mfumo wa passport control taarifa zako zinaonekana hadi makao makuu ya immigration kuwa kuna mtu kaoverstay anahitajika kukamatwa au kulipa fine whatever the case may be. Sasa huyo immigration officer atakusaidiaje hapo? Hiyo fine atakulipia? maana hiyo fine ni zaidi ya rand 4,000. Na hiyo fine inakuwa registered kwenye system mpaka uilipe ndio iwe cleared la sivyo unakuwa black listed kukanyaga nchini kwao for the next five years. Kwa hiyo hoja kama hii unatakiwa uitolee maelezo ili twende sawa. Kuna watu humu wanafurahia tu stori na vitu kama hivi wanavioverlook kwa sababu either hawavijui kama vipo au wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. Halafu hata issue ya kupewa hifadhi na kanisa na yenyewe kuna utata kidogo kama hutajali pia itolee maelezo. South africa inajulikana kwa ujambazi na mauaji hivyo kwa mtazamo wangu sio rahisi viongozi wa dini wakupe hifadhi bila kujiridhisha kama wewe ni mtu salama au la. As a reasonable person nilikuwa nategemea wangekuhoji kwa kina kuhusu uhalali wako wa kuwepo nchini kabla ya kukupa hifadhi, lazima wangekuulizia documents zako kama upo nchini kihalali. Kumbuka hilo ni kanisa na linatakiwa kuheshimu sheria za nchi, hivyo hawawezi kurisk kumhifadhi mtu ambaye anavunja sheria maana ungekamatwa wangeonekana wanahifadhi wahalifu hivyo ingepelekea kanisa kuingia mgogoro na mamlaka za kiserikali na ingepelekea hatari ya kufutiwa usajili wa kanisa lao, mind you Mindrands ni makazi ya watu wenye hela kwa hiyo ni watu wenye uelewa mpana. Samahani wasomaji kama nawaharibia stori yenu ila nimeamua kutokuwa mnafiki kwa kuuliza haya maswali critical.
Konda wa Khumbu vipi Kanisa hajasema limemuhifhadhi ila Kanya ndie aliyemuomba Mghana awe anaishi kwake na Mghana ndie aliyepewa hifadhi na Kanisa una hoja ila hujasoma story kuipenda so wewe umesoma kutafuta maswali tu... i heard watanzania walioishi south Tabia zao hugeuka kuwa wezi tu na maisha ya ujanja ujanja tu na wakirejea TZ ni majanga matupu ukikosea tu anakuliza hata uwe ndugu wa damu...
 
Mkuu mie unafiki huwa siuwezi, wewe unge-clear tu doubts zetu then ukaendelea kuleta stori. Haya mambo ya watu kuogopa kuuliza maswali ndio sababu hata nchi yetu imefikia hapa ilipo. Watanzania tulio wengi hatujiamini ndio maana viongozi wetu wanatuendesha wanavyotaka, yaani tuna taifa la ndio mzee hata kama kunahitajika maelezo. Kitu kama hakijakaa sawa wewe kitolee ufafanuzi. Kuna vitu hatuwezi kukubishia kwa sababu kweli kila mtu ana experience yake ila mkuu kuna vitu very technical huwezi kusema kila mtu ana experience yake pia, kuna baadhi vitu lazima viwe common kwa kila mtu. Mfano ni hili la kuoverstay haliwezi kumalizwa kwa rushwa ya rand 300 na likaisha completely kwa sababu ni issue ya usalama wa nchi na system iko linked nchi nzima kuanzia makao makuu ya immigration hadi idara zote zinazohusika na maswala ya uhamiaji. So wakiscan tu passport yako hapo boarder au sehemu yoyote inayohusika na mfumo wa passport control taarifa zako zinaonekana hadi makao makuu ya immigration kuwa kuna mtu kaoverstay anahitajika kukamatwa au kulipa fine whatever the case may be. Sasa huyo immigration officer atakusaidiaje hapo? Hiyo fine atakulipia? maana hiyo fine ni zaidi ya rand 4,000. Na hiyo fine inakuwa registered kwenye system mpaka uilipe ndio iwe cleared la sivyo unakuwa black listed kukanyaga nchini kwao for the next five years. Kwa hiyo hoja kama hii unatakiwa uitolee maelezo ili twende sawa. Kuna watu humu wanafurahia tu stori na vitu kama hivi wanavioverlook kwa sababu either hawavijui kama vipo au wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. Halafu hata issue ya kupewa hifadhi na kanisa na yenyewe kuna utata kidogo kama hutajali pia itolee maelezo. South africa inajulikana kwa ujambazi na mauaji hivyo kwa mtazamo wangu sio rahisi viongozi wa dini wakupe hifadhi bila kujiridhisha kama wewe ni mtu salama au la. As a reasonable person nilikuwa nategemea wangekuhoji kwa kina kuhusu uhalali wako wa kuwepo nchini kabla ya kukupa hifadhi, lazima wangekuulizia documents zako kama upo nchini kihalali. Kumbuka hilo ni kanisa na linatakiwa kuheshimu sheria za nchi, hivyo hawawezi kurisk kumhifadhi mtu ambaye anavunja sheria maana ungekamatwa wangeonekana wanahifadhi wahalifu hivyo ingepelekea kanisa kuingia mgogoro na mamlaka za kiserikali na ingepelekea hatari ya kufutiwa usajili wa kanisa lao, mind you Mindrands ni makazi ya watu wenye hela kwa hiyo ni watu wenye uelewa mpana. Samahani wasomaji kama nawaharibia stori yenu ila nimeamua kutokuwa mnafiki kwa kuuliza haya maswali critical.
Tuliza makende wewe. Mbona uzi wako wa Khumbu hatukuletea vurugu?😀 Fuseki...Msunu wakho.
 
Tujamaa twa JF bwana! Eti vinajidai vyote vilishafika South nimebaki mimi tu! Ukigusa kwenye magari twote tunamiliki mikoko ya hatari! Njoo kwenye usoni utafikri twote tuna ma-PhD ya hatareeee! Kazi kweli
 
Konda Experience za maisha ya nje ya Bongo zipo tofauti sana usi conclude moja kwa Moja utakosea, Kila mtu ana experience yake na namna alivyopambana kuikabiri hiyo changamoto. Unaweza Ku Overstay, Ukatoa kitu kidogo Passport yako ikawa cleared na Maisha mengine yakaendelea. Na SA ukarudi kwa Passport ile ile. Tumeshafanya ivo sana. Kikubwa jipe nafasi ya kujifunza zaidi.

Tunaomba Sana tena Sana keagan heshimu mamia ya wafatiliaji wa huu uzi wako kwa kuendelea ulipo ishia
 
Mkuu mie unafiki huwa siuwezi, wewe unge-clear tu doubts zetu then ukaendelea kuleta stori. Haya mambo ya watu kuogopa kuuliza maswali ndio sababu hata nchi yetu imefikia hapa ilipo. Watanzania tulio wengi hatujiamini ndio maana viongozi wetu wanatuendesha wanavyotaka, yaani tuna taifa la ndio mzee hata kama kunahitajika maelezo. Kitu kama hakijakaa sawa wewe kitolee ufafanuzi. Kuna vitu hatuwezi kukubishia kwa sababu kweli kila mtu ana experience yake ila mkuu kuna vitu very technical huwezi kusema kila mtu ana experience yake pia, kuna baadhi vitu lazima viwe common kwa kila mtu. Mfano ni hili la kuoverstay haliwezi kumalizwa kwa rushwa ya rand 300 na likaisha completely kwa sababu ni issue ya usalama wa nchi na system iko linked nchi nzima kuanzia makao makuu ya immigration hadi idara zote zinazohusika na maswala ya uhamiaji. So wakiscan tu passport yako hapo boarder au sehemu yoyote inayohusika na mfumo wa passport control taarifa zako zinaonekana hadi makao makuu ya immigration kuwa kuna mtu kaoverstay anahitajika kukamatwa au kulipa fine whatever the case may be. Sasa huyo immigration officer atakusaidiaje hapo? Hiyo fine atakulipia? maana hiyo fine ni zaidi ya rand 4,000. Na hiyo fine inakuwa registered kwenye system mpaka uilipe ndio iwe cleared la sivyo unakuwa black listed kukanyaga nchini kwao for the next five years. Kwa hiyo hoja kama hii unatakiwa uitolee maelezo ili twende sawa. Kuna watu humu wanafurahia tu stori na vitu kama hivi wanavioverlook kwa sababu either hawavijui kama vipo au wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite. Halafu hata issue ya kupewa hifadhi na kanisa na yenyewe kuna utata kidogo kama hutajali pia itolee maelezo. South africa inajulikana kwa ujambazi na mauaji hivyo kwa mtazamo wangu sio rahisi viongozi wa dini wakupe hifadhi bila kujiridhisha kama wewe ni mtu salama au la. As a reasonable person nilikuwa nategemea wangekuhoji kwa kina kuhusu uhalali wako wa kuwepo nchini kabla ya kukupa hifadhi, lazima wangekuulizia documents zako kama upo nchini kihalali. Kumbuka hilo ni kanisa na linatakiwa kuheshimu sheria za nchi, hivyo hawawezi kurisk kumhifadhi mtu ambaye anavunja sheria maana ungekamatwa wangeonekana wanahifadhi wahalifu hivyo ingepelekea kanisa kuingia mgogoro na mamlaka za kiserikali na ingepelekea hatari ya kufutiwa usajili wa kanisa lao, mind you Mindrands ni makazi ya watu wenye hela kwa hiyo ni watu wenye uelewa mpana. Samahani wasomaji kama nawaharibia stori yenu ila nimeamua kutokuwa mnafiki kwa kuuliza haya maswali critical.
Mzee acha uzi utembee wewe mbona ulituletea picha ya Khumbu ya uongo?
 
Boss achana nae uyo tupo wengi tu ambao tunaishi SA kila mtu ana jinsi alvopamban kutoka kimaisha.

Tuangushie EPISODE zlizobak [emoji120]
Mnalipa gharama ya kukubali kudemka ngoma ya konda msafi badala ya kumfukuza hapa akamalizie story yake kule.Konda Msafi ni hopeless populist anaetafuta umaarufu kwa mgongo wa watu wengine ambae anataka kudanganya na kuaminisha uma kuwa Afrika kusini kila kitu kinafanana na maisha ambayo aliyoishi yeye kitu ambacho ni non-sense.Mlipaswa kumpuuza mapema sana.Kama ni mtu wa maana ungekuta alishamalizia story yake kule.
 
Kwan keegan mwenyewe anasemaje[emoji36][emoji36]
Amepigwa under the belt na mkuu sana Konda Msafi hatarudi tena! Kumbe mambo mengi alikuwa anatudanganya hata South Africa hajawahi kufika yuko Mbagala kwa Mtogole. Amefanya kuyapakua mtandaoni, sasa wakawa wa South Africa walipotia timu ikabidi akimbie!
 
Mnalipa gharama ya kukubali kudemka ngoma ya konda msafi badala ya kumfukuza hapa akamalizie story yake kule.Konda Msafi ni hopeless populist anaetafuta umaarufu kwa mgongo wa watu wengine ambae anataka kudanganya na kuaminisha uma kuwa Afrika kusini kila kitu kinafanana na maisha ambayo aliyoishi yeye kitu ambacho ni non-sense.Mlipaswa kumpuuza mapema sana.Kama ni mtu wa maana ungekuta alishamalizia story yake kule.
Konda msafi kapiga knock out moja ya hatari Keagan Paula chali!
 
Back
Top Bottom