Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Wajinga Sana, vi much know Sana maringo mengi,malaya malaya,vitisho Sasa[emoji849] sie wa mipakani wanatuonea Sana na pua zetu ndefu mi kunipa gamba ilibidi kwenda kuwaonyesha kaburi la babu mzaa babu upande wa baba, ovyo kabisa Yani wanakwamisha watu wengi mno kuvuka mipaka kwenda nje kusaka maisha, wanataka tubanane humu tunuke kana kunguni[emoji57][emoji57] kuwakomoa niliondoka na wawili walifutwa kazi.
Una asili ya Asia?
 
Mleta uzi ana id zaid ya moja,kuna muda alijichanganya akajibu kutumia id ya nyngne.Msanii tu hana lolote.
KwA hiyo shida yako nini? Kuna hela kakudhulumu? Mambo mengine chukulia simple tu.

Hii simulizi chukulia kama burudani ila kwa sisi tuliofika huko tunajua 99% ni ukweli.
 
Kesho asubh Kegan Paul ataenda church.So,time za mchana atatupia episode mbili.Ameniagiza niwatake radhi mana alitingwa na majukumu kias hakuweza hat kuingia Jf
 
Sehem ya kumi na saba iko page ya ng

Oya mkuu kwahiyo sehemu ya 9 ndiyo mwisho...!?[emoji848] mbona hujamalizia vizuri sijaelewa baada ya kutelekezwa hapo nje ya saloon ya jamaa wa Tz nini kilifuata...!? Please malizia uzi wako ni mtamu sana kuna jambo najifunza kupitia kwako mkuu [emoji847] natanguliza shukrani.[emoji120]
Kitu imegoma kuanzia 16...we ndo bado umeishia 9🤣
 
Sehemu Mpya ya 17 narahisha kidogo ili iishe Wana jf Muende kazini maana mmegoma kuondoka humu...

Muda kidogo nyuma, nilikuwa naishi south Africa katika jiji la Gauteng (Pretoria) mitaa ya Moreleta Park, nje kidogo ya Pretoria town.

Mitaa fulani ya kishua kwa hapo Pretoria. Hii mitaa 70% wanaoishi wazungu na blacks kiasi.

Ukiishi maeneo hayo uwe na shughuli maalum vinginevyo patakushinda kuishi huko. Ni very expensive. Was Like 6000 rands per month kwa kipindi hicho.

Shughuli zangu na mishe mishe zangu ilikuwa ni down town, Brown Street.

Huo mtaa ndiyo mtaa wenye mambo yote yote ya kishenzi mfano simu za wizi, drugs, stolen properties, bunduki. nk; kukabwa hadharani ni kawaida. Wezi wa kila aina wapo hapo, so nilikuwa na network fulani ya kununuwa vitu hivyo.

Hivyo basi asubuhi ni lazima nakwenda town napiga mishe, jioni tunarudi zetu home na homeboys wangu fulani tulikuwa tunaishi wote humo kwenye flat.

Tulikuwa tunamiliki gari moja aina ya Audi ili kutusaidia katika shughuli zetu za kila siku; so mara kwa Mara huwa tunarudi wote na kuondoka wote home kutumia gari letu binafsi.

Siku moja jamaa zangu walitangulia kurudi home na gari, mimi ilikuwa bado namalizana na jamaa fulani wezi wa Simu. Nilipomaliza kununuwa zile simu like 20 pieces hivi.

Kwakuwa ilikuwa usiku kama saa mbili hivi, nikaamua kuziweka zile simu sehemu fulani hapo hapo downtown kwa usalama zaidi ili kesho yake nizipitie maana south sio sehemu ya kutembea na mafurushi barabarani, ni too risk. Muda wowote unasachiwa na police.

Nilitafuta tax(daladala) nikaanza safari ya moreleta. Ni mwendo kama wa dk 45 nikashuka stand, sio mbali na home kwa kutembea; ni kama dk 2 hivi.

Niliposhuka stand nikavuka upande wa pili wa barabara nikawa natembea kuelekea nyumbani. Wakati nashuka pale kituoni kwa mbali niliona gari ya police imesimama kama inamsubiri mtu. Nadhani na wao waliniona, wakaamua kunisubiri waone wapi naelekea.

Mimi sikujali sababu sikuwa na chochote kibaya kinachoweza kunisababishia nikamatwe.

Ikabidi nikatembea kidogo hadi nikaipita nyumba niliyokuwa nakaa.

Maana kwa south ukiona una mashaka na gari fulani au watu fulani, basi huwa tunapitiliza nyumba unayokaa ili wasije wakaja humo ndani ikawa msala maana nyumba zenyewe tunaishi na vitu vyote vile serikali haitaki. Stolen phones, tvs, laptops nk..

Basi wakati napiga hatua kadhaa kuipita nyumba ninayoishi nikashangaa nimefungiwa brake miguuni mwangu na gari ya police aina ya golf. Tena ikiwa na police 5 wa kizungu.

Duu!! Jamaa walikuwa wamepanda hewani halafu wamevaa vikaptula vya Jeshi. Wakanimulika taa za usoni, wakanambiya hands up.
Jamaa wakaanza kuniuliza nakwenda wapi na nafanya nini maeneo yale ya moreleta kwa usiku ule. Kabla sijajibu chochote, wale police wakaomba ID yangu ili wajiridhishe Mimi ni mtu wa aina gani.

Wakanikaguwa, wakakuta nina passport, phone, ambayo ndy niliyokuwa natumia pamoja na wallet ambalo lilikuwa na rands 2600 hivi.

Police mmoja akaingia ndani ya ile golf, akafunguwa laptop flani hivi mle ndani, nadhani alikwenda kuikaguwa passport yangu kama nina kosa lolote la jinai.

Unajuwa south ni inchi yenye system kali sana katika mambo ya kihalifu na records zote za watu wake.

Raia wake wote wapo ktk system za alama za vidole, na hata mgeni anapongia south kama umetumia njia za kihalali lazima watakuweka ktk system zao za uhamiaji, na kama mtu yeyote raia au sio raia atafanya uhalifu popote pale, police huchukuwa alama za vidole kwenye tukio na kuanza kuzifuatilia katika system zao.

basi police ni lazima wachukuwe alama za vidole na kuzihifadhi.

Hata kama ni miaka 20 ipite,,mradi tu,,kosa ulilofanya liwe limesha hukumiwa mahakamani.

Kama kosa bado halijakwisha na alama zako za vidole bado zipo police, itakuletea shida sana, siku ukikamatwa na kukutwa makosa yako basi utapelekwa ulikofunguliwa mashitaka.

Na sometimes kunakuwa na road blocks barabarani kutafuta wahalifu wa makosa mbalimbali na waliokimbia kesi zao police.

Basi yule police baada kama ya dk 5 kupitia ile laptop akasema kwa sauti kubwa sana "He is a criminal. He has drugs case"

Pale pale nikapigwa pingu. Waligunduwa nilikuwa na case ya madawa, lakini sikuwa na hayo madawa, ni police waliniwekea hayo madawa kwa lengo la kunipora pesa zangu.

Mwaka mmoja nyuma niliwahi kukamatwa na pesa mtaa fulani unaitwa Jacob maree, hapo hapo Pretoria. Nilikuwa kama na rands 18000 hivi nawafata wezi nikanunuwe Simu walizokuwa nazo kama kawaida yetu.

Kumbe wale wezi hawakuwa na Simu, wala chochote cha kuuza bali walikuwa wamekamatwa na police. Sasa waliwataka wamtaje boss wao ili wawaachie. Ikabidi waandae mtego kama wana mali wanauza ili niende kuwafata.

Nilipofika nikakuta wapo na police weusi 2 kizulu na kikhosa 1. Police wa mtaani ni cold drink tu, rands 100 au 200 kesi kwisha.
Hivyo sikuwahofia sana na ukizingatia sina kitu zaidi ya pesa.

Nilipofika wakanirukia. Duu!! waliponisachi wakakuta nina pesa hizo rands 18000. Duu!! roho zikawaruka.

South African wengi hawajazoea kuona pesa cash, wengi hutumia card za bank maisha yao yote.

Mshahara unaingia bank na hutumia card katika matumizi yao,,suala la kuona cash rands 18000 liliwavuruga sana wale police weusi. Mmoja akasema kwa sauti, "You are a prime suspect. We have been chasing you for years, at last we got you"

Nilishangaa sana. Lengo la hawa police kufanya hivi ni kutaka kunipora zile pesa. South African police, especially blacks police ni zaidi ya majambazi. Mambo ya kupora wageni pesa na mali zao, hiyo ni kawaida yao.

Basi wale police wakaachana na wale wezi wakaniweka lock up mimi kwenye gari yao ya police, safari kituoni.

Nilidhani watanipeleka central police, kituoni kikuu karibu na nilipokamatiwa, lakini haikuwa hivyo. Walizunguka na mm kama masaa 2 mpaka nikawa nashangaa. Nilipokamatiwa sio mbali na kituoni, sasa nikajiuliza hawa jamaa wamenipangia nn?

Kumbe muda wote wanazunguka na mimi, wanatengeneza plan jinsi gani watanifungulia kesi na wao wapore zile pesa zangu.
Baada ya mizunguko ya masaa 2, hatimaye nafika kituoni. Lakini si kituo kile la eneo la tukio.

Walinipeleka sehemu ingine kabisa ambapo wao wanafanyia kazi,,walinipeleka sunny side police station. Kufika pale nikafunguliwa kesi ya kukutwa na kete 20 za drags,,na sio mambo ya kukutwa na pesa tena kama ilivyokuwa. Na zile pesa walishazificha muda mrefu na kugawana.

Nililala kituoni. The next day nikatoka mahakamani kwa dhamana lakini ya ujanja ujanja.

Alikuja Lawyer fulani wabongo tunapenda sn kumtumia, akapewa rands 3000 huko nje na jamaa zng, nikatoka bila hakimu kuniona.
Nikatoka nikiwa lock up mahakamani bila kufuta record zangu za vidole.

Hyo case ndy ilinipelekea wale police wa kizungu walionikamata hapo moreleta kugunduwa mm nina case ya madawa ya kulevya. Vidole vyangu bado vipo police kama mtuhumiwa wa madawa,na nimekimbia kesi, hata leo havijafutika.

Narudi kwenye story. Wale police wa kizungu walipogunduwa Mimi ni drugs criminal, nikapigwa pingu tena karibu kabisa na flat ninayokaa. Wakaanza kuniuliza maswali, "What are doing by this time in Moreleta? We don't ask you twice. Just cooperate"

Nilishangaa napigwa ngumi moja ya tumbo. Nusu nitapike piza niliyokula saa moja iliyopita.

Nikawajibu, "I'am going home. I come from my girl friend's house. I am looking for taxi to Sunny side"

Nikawadanganya nakaa Sunnyside, eneo fulani downtown ambapo wageni wengi huishi huko, na muda wowote unaweza kutembea nje bila shida. Niliwaambia vile wale police kwa kujuwa kwamba hawana uwezo wa kunitoa sehemu yao ya kazi na kunipeleka eneo jingine.

Wenzetu kila police ana area yake ya kazi, huruhusiwi kwenda kufanya upekuzi au kukamata mtu bila kufika kituoni husika na kujitambulisha. Nikashikilia msimamo wangu kwamba sikai huku, mm naishi Sunnyside.

Nilijuwa nikiwapeleka home hawa police tumekwisha. Home tulikuwa na phones zaidi ya 40, laptops na flat TV's nyingi tu sizikumbuki, na mbaya zaidi nilikuwa na cash kama 45000 rands, zangu mm binafsi, ukichanganya na jamaa zng zitakuwa ni pesa nyingi sana japokuwa sikujuwa wenzangu wana kiasi gani, lakini tunajuwana kwamba pesa hatuweki bank.

Pesa tunaweka ndani, nikisema naishi hapa moreleta, basi safari ya kusachi nyumbani itafuata.

Pia nitaonekana kama snitch fulani hivi mbele ya wabongo wenzangu, na vyeo vyote vya kikomandoo nilivyonavyo vitashushwa kama nitawapeleka police nyumbani. Ngoja nikomae nao mwenyewe.

Police: Can you take us to your girlfriend's house?

Nikawajibu: This is my first time to come at moreleta park. I can't remember where she lives.

Police: Get in the car. We will drive with you the whole night. Show us the place or you die.

Wakati tupo kwenye gari la police tunaelekea nisipopajua mara jamaa yangu mmoja tunayekaa wote hapo home, ananipigia simu.
Muda wote simu yangu wanayo police. Baada ya simu kusumbuwa sana, police akanipa simu akanambiya ongea kwa loud speaker tusikie.

Jamaa yangu anapiga simu mfululizo kwenye simu yangu. Police akanipa simu niongee kwa sauti.

Police: "Take your phone. Put him on loud speaker"

Duu!! Aisee! Nikasema hapa lazima nijiongeze nijue jinsi ya kumjibu jamaa.

Home boy: "Oyaa, babu uko wapi muda huu? Kinatoka cha ugali na kuku mwanangu"

Akimaanisha anapika ugali na kuku. Hapo hapo nikamzidi story nikamwambia, nikamjibu kwa Kiswahili, "Nipo na wajomba wamening' oa hapa mtaani safari Sunnyside"

Pale pale nikapigwa bonge la Kofi ata Simu ilianguka chini ikiwa bado ipo hewani. Nikaokota nikaongea English kwamba, "I'am coming there to Sunny side, I'm on my way"

Nilidanganya hivyo sababu nilipoongea Kiswahili kulikuwa na neno Sunnyside kwahyo wakaamini nilimaanisha hivyo hapo mwanzo.

Na huku South police tunawaita wajomba, au wageni au wazee. Lakini hilo neno la wazee wanalijua kwa sasa.

So ukitaka kuwasema kama kuna police, usitumie wazee mbele yao, sema wajomba au wageni hao. Tunatambuwa ni police.
Nilitaka nimfahamishe yule homeboy awe na tahadhari.

Basi wale police walizunguka na mimi kama dk 45 hivi, kila nyumba na mtaa wakijaribu kuniuliza nikumbuke nyumba ya girlfriend wangu niliyotoka. Bado nika-pretend siikumbuki hiyo nyumba wala mtaa

Mmoja akapata wazo akasema: "Do you have her phone number?"

Kabla sijajibu na mwingine akauliza, "Do you have a family in South Africa?"

Nikaona jibu rahisi ni kumjibu huyu mwanadada wa kizungu ambaye ni police miongoni mwao.

Hizo ni technique za kigaidi unapokutana na mahojiano ya police, haswa wakikuuliza maswali kwa pamoja. Unapaswa uchaguwe ya kujibu rahisi yale maswali magumu ni kama unayapotezea kwa kujipa muda kuyatafakari.

Nikajibu, "Yes, I have a girlfriend with my 2 kids in Jo'burg. We are a happy family"

Police akasema, "You live in Jo'burg or Sunnyside?"

Nikajibu, Sunnyside naishi na friends lakini Jo'burg ndiyo my home with my family. Nikabadilisha tena ninapoishi.

Nilitaka kuwavuruga hivyo ili tusiende huko Sunnyside.

Sikujuwa nikifika huko nitawapeleka nyumba ya nani. Police wa South wakifika kwanza flat wanauliza, huyu anakaa humu? Kabla ya kuingia na wewe ndani, wenzio wakisema hakai humu, lazima uonyeshe unapokaa, kwa lazima.

Lakini kama police ni wale wezi, hawajali kitu mradi wewe unayeishi ni mgeni, basi lazima waje wakuchukulie kila kitu, hata kama hukai humo. Nikaona kitendo cha kupeleka police flat za watu wengine pia sio vyema. Nikaona niseme naishi Jo'burg kupoteza muda, pengine nitaaachiwa.

Jo'burg huko ni mji mwingine kabisa. Ni kama 15 minutes kwa train ya Umeme, na 45 minutes kwa gari binafsi kutoka Pretoria.

Kuna umbali kiasi, ni sawa na mwendo wa Dar to Mlandizi. So niliona hakuna wa kunipeleka Jo'burg kwa kosa lisilo na maana. Mara nyingi tukikutana na police akikuuliza unaishi wapi? Ukimtajia Jo'burg anaishiwa nguvu, ila ukimtajia mjini hapo Pretoria, lazima akupeleke home kusachi. So nikawaambia naishi Jo'burg na girlfriend wangu na watoto 2.

Police wa South wanaogopa sana mgeni Mwenye mwanamke raia wa pale. Kwa hofu kwamba ikitokea chochote mwanamke atakuwa ngao yako kukutetea katika sheria. So muda wote yule police mwanamke anakaguwa simu yangu, kuanzia picha hadi calls.

Aliona picha za wanangu wadogo wa huku Tanzania, lakini nikamwambia hao ndiyo wanangu na wapo hapo Jo'burg. Alionyesha hali fulani ya huruma kidogo akaniangalia sana usoni hadi nikahisi nimependwa na huyu mtoto wa kizungu police.

Ghafla, yule police wa mwanzo akauliza tena, "Do you have her phone number?"

Anataka namba ya yule girlfriend wangu niliyesema nimetoka kwake pale moreleta na nimesahau nyumba anayoishi.

Nikajibu, "Yes I do"

Nikawapa namba yangu ya simu nyingine ambayo siitumii wakaipiga ikawa haiiti. Walichukia sana. Wakajadiliana kwa muda, mwishowe gari ikawasha kuzidi kuelekea nisipopajuwa.

Tulitembea umbali mref hadi nikawa sioni gari yeyote nyuma wala mbele, tukaingia njia ya vumbi. Giza tupu. Mwishowe gari ikasimama ndani ya msitu fulani mzito, bila kujuwa nipo wapi. Wale police wanakambiya shuka ndani ya gari. Huku nikiwa na pingu mikononi kwa nyuma.

Niliposhuka kwenye gari, nikaona kila mmoja kati ya wale police wanaume wanavaa gloves mikononi kama wanajambo kubwa la kujikinga na kuumiza mikono yao.

Mmoja akanambia, "Do you know where you are?"

Nikajibu, "No, officer."

Police akasema, "This is a grave yard. We used to kill people and burn them here"

Nilitetemeka nikaona sasa nachungulia kifo.

Nipo msituni na police makaburu 5, wanaume 4, mwanamke 1.

Nipo nimefungwa pingu za mikono kuzungushiwa kwa mgongoni.

"You know where you are?" Police mmoja aliniuliza?

Nikasema, "I don't know where I am officer"

Police akasema, "This is the grave yard, We used to kill people and burn them here"

Wakuu nilitetemeka, nikaona sasa ndy mwisho wa maisha yangu. Usiombe mkuu, mtu akutamkia hapa leo tunakuua. Nilikuwa kwenye wakati mgumu sana ktk maisha yangu ya kutafuta. Lakini nilijiuliza kwamba hawa police, lengo lao la kutaka kunidhuru ni kitu gani?

Hivi wamenikuta na hatia gani? Au nimewakosea nini hawa police?

Wakati najiuliza maswali kichwani mwangu, nikashtukia namwagiwa pepper spray ya macho ili wani blind for moment.
Nisiweze kuona wanachonifanyia. Ile pepper spray, iliingia sawia machoni mwangu, nikawa kama kipofu kwa muda.

Pepper spray, ni pilipili maalum iliyotengenezwa kwenye chupa mfano wa chupa ya perfume au body spray kwa lengo la self defense, ambazo zinauzwa madukani south Africa.

Na zipo maalum kwa ajili ya police zimeandikwa (SWAT) ambazo ndy kali na zinapalia kama bomu la machozi. Mara nyingi hutumika kutuliza ghasia au kama wamekuja kwako na hutaki kufunguwa mlango. Wakiipenyeza hiyo spray lazima ufunguwe mlango.

Basi nilihangaika sana, na maumivu ya ile pepper spray ya machoni. Kabla sijakaa sawa ndy nikaanza kuchezea ngumi, mateke, mikanda ya police. Kwa kifupi nilipigwa kila sehem ya mwili wangu bila ya kujitetea, wala msaada.

Nililia sana, nikawauliza: "Why do you want to kill me? What crime did I commit? Why you want to kill an innocent person? Or because I am black?"

Quiet! Quiet! Wanasema, quiet!

Wakaona hawaridhiki,,nikaona nimeangushwa chini, nikafungwa kwenye blanket mithili ya chapati. Hadi kikabaki kichwa tu. Mwili wote upo ndani ya blanket, hapo nililazwa chini nikiwa naangalia juu, wakanikalia kifuani, wakaniweka mfuko wa plastic kichwani, wakafunga uso wangu na mfuko, wakapuliza tena pepper spray ndani ya mfuko; huku wakininyima hewa.

Nilihangaika sana, sana.

Mwishowe wakanifunguwa lile blanket na pingu, huku nina damu mwili mzima, nikawa kama nimepoteza fahamu. Ni kama nilikuwa nawasikia kwa mbali wanalumbana jambo fulani.

Waliponiona nimezinduka, mmoja akanambia: "Now you are free. Run from here, and never look back!"

Nilipowaangalia wale police kwa taabu sana, maana hata macho yalikuwa hayaoni vzr kwa kupofuliwa na pepper spray.

Nikaona kama wanajadili jambo, halafu yule police wa kike kama anawasihi jambo. Nikahisi ni hatari zaidi kukimbia kuliko kubaki eneo lile. Nikakata shauri nibaki nao wale police hadi mwisho wa uhai wangu. Na najua jambo lililokuwa linawasumbua mbele yao.

Police wa South Africa haruhusiwi kumjeruhi mtuhumiwa na ikitokea umempiga na kumjeruhi, kuna hatari kubwa ya kushitakiwa. Hivyo kitendo cha wao kuniumiza mimi bila sababu za msingi.

Kiliwaumiza sana, maana hakuna police station yeyote itakayonipokea Mimi ktk hali ya damu nyingi na kuvimba usoni kiasi kile.

Nikahisi walipanga jambo baya zaidi kunifanyia. Pengine kunimaliza kabisa uhai wangu. Lakini yule police mwanamke anawazuia.

Wakisema kimbia yule dada anasema, "No, don't run."

Nikahisi Hawa jamaa wanataka kuniua, sasa ngoja na mimi niwatese kisaikologia.

Naandika nikiwa natokwa na machozi, wakuu nimekumbuka mbali sana.

Ni miaka 6 imepita tangu tukio linitokee ila kuelezea tukio kumenifanya niumie upya.

Basi yule police wa kike akanambia, "Don't ever try to run, my bra."

Huku wale police wengine wa kiume wakisema, "You! you! run! run!"

Mimi nikawaambia tena kwa maneno ya kijasiri kabisa, nikasema: "Msiwe waoga, kama mnataka kuniua mniue mkiniangalia. Mimi sikimbii" (If you wanna kill me, face me face to face. Don't be cowards, you white officers")

Nikaanza kukoroma hapo, sababu nilishaelewa yule mwanamke hawapo nae ktk nia yao ovu. Pia kukimbia ni kujitakia kupigwa risasi ya mgongoni.

Halafu wasingizie nilitaka kukimbia, so mimi sikimbii nabaki nife nao.

Nikasema kwa sauti: "Why did you beat me like this? You spoiled my face like this? Why ? But why?" huku nalia sana kwa uchungu.

"Why? Why? Is this how you treat foreigners?"

"Now I have made my decision. This is my destiny. I am not afraid of you no more"

"If you kill me now, I will wait for you in the next world. I will be there waiting for you."

"Kill me now! Kill me now!"

Aisee!! Jamaa wakaanza kugwaya, wakakaa kama kamati waamue cha kufanya. Mwishowe wakaingia ndani ya gari lao, tayari kuondoka na mm waniache kule porini. Nikaona hilo pia ni tatizo kubwa, sababu sijuwi nipo pori gani. Nikaenda mbele ya gari yao police nikawa nimesimama mbele kuzuia gari isiende. Nilishabadilika wakuu, niliona heri nife kishujaa kuliko kudhalilika zaidi.

Nawaambiya waniue kabisa nimechoka kuishi. Kwanini wanitese na sina kosa lolote?

Wakuu nilikuwa na hasira sana, nikasema kwann nikubali kudhalilishwa kama hivi

Sometimes people fight for respect. Not for money or woman. Nikajipa matumaini kama hivyo. Bora nidhalilike nikiwa mfu kuliko kunifanya vile. I will fight for my respect.

Basi wale police wakabaki kwenye ile gari yao kwa kama dk 10 mwishowe yule police mwanamke akashuka akanifata akanambiya, "So sorry, my bra"

"Listen to me now. Clean your face. Get in the car"

Nikamuuliza, "Where are you taking me?"

Police akasema, "We will take you home"

Nikamwambia, "All this time you have been with me, tortured me, now you talk about taking me home?"

Akasema, "We are sorry, please get in the car"

Mimi nikamwambiya sababu mmenipiga na kuniumiza, lazima mtakuwa na sababu iliyowafanya mnipige.

Sasa naomba mnipeleke police station. Jambo hilo ilikuwa gumu sana kwao.

Mwishowe nikapatwa na akili, nikasema kuendelea kubishana na hawa police, wishowe wanaweza kuniua kweli huku porini.

Nikakubali kuingia ndani ya gari, lakini sina uhakika wapi napelekwa.

Nikaingia kwenye gari la police, tukiwa tumekaa nyuma wanne mbele wawili.

Yule police wa kike alikuwa pembeni yangu kulia Na police mwingine wa kiume yupo kushoto kwangu.

Gari inaelekea nisipopajua. Basi, yule mdada aliniangalia sana, hadi nikahisi kuna kitu zaidi ya huruma juu yangu. Akaanza kunisemesha.

Police: "You said you have 2 daughters?"

Nikajibu, "Yes, I do."

Akanionyesha kwenye screen saver ya simu yangu. Niliweka picha za watoto wangu. Kumbe wale watoto ndy waliomfanya yule police mwanamke kunikingia kifua nisiuawe.

Akasema, "Are these the ones?"

Nikajibu ndiyo

Akasema, "You have cute daughters"

Nikajibu, "Thanks."

Yote najua ni katika kuniweka sawa, nirudi ktk mood yangu ya kawaida.

Akanambia, "I am a mother of 2 daughters too. I am also a parent. Try to be a good father"

Akasema hivi ilikuwaje ukawa involved katika drugs case?

Nikamjibu kwamba "I committed nothing concerning drugs. I was framed by police"

Nikawahadithia ile story ya police kunichukulia pesa zangu na kunipa case ya drugs. Basi yule police mwanamke aliniangalia sana.

Nilimuona akinihurumia sana, hata wale police wengine walijiona wamenikosea sana.

Gari ipo speed, kwa mbali nikaanza kuona taa za mji na kuanza kupishana na gari moja moja.

Yule police wa kike ikawa ndiyo kama waliyemteua kuongea na mimi, mara zote kama kuna jambo ndiyo yeye ananieleza.

Wakati tunakaribia kufika barabara kuu ndy nikakumbuka hawa jamaa walinipeleka wapi. Picha ya mji ikaanza kunijia nilipo.

Jamaa walinipeleka njia ya Jo'burg, huko wauliwapo watu na kutupwa hata mwezi maiti zisipatikane. Nikasema leo ilikiwa nakufa.

Nilipoona naingia barabara kuu, nikapata matumaini mapya ya uhai. Yule police akanipa passport, simu, wallet, akanambia hesabu pesa zako. Vyote vilikuwa salama. Zote rands 2600 haikupungua hata moja.

Yule Dada police akanibinya mkono wangu wa kulia, akanambia, "Sorry, we were wrong."

Tulipofika barabara ya Mainline all, wakanambia nishuke kwenye gari. Wakaondoka kwa kasi kubwa sana kuelekea nisipopajua.

Niliposhuka kituoni palikuwa na baadhi ya blacks South Africans wakaniuliza, "What happened, bra?

Nikawapa fully story kuhusu wale police wakasema Nina bahati sana kuachwa mzima.

"You are so lucky, my bra. Many people have been killed by the police in that forest"

Duu! nilijiona nina bahati ya kukutana na nyuki, kuambulia manundu. Nikampigia simu homeboy wangu kule home, akanifuata pale nilipo.

Kufika home kila mtu alinishangaa san tu. Sikuweza kujikaguwa sana jinsi nilivyoumia maana usiku sikuwa powa sana.

Asubuhi ndiyo nilijiangalia katika kioo, kwakweli niliumia sana.

Uso ulivimba nikawa kama nina vichwa viwili kama nyoka wa vitabuni. Nililia sana.

Niliishi kwa miezi kadhaa, nikarudi zangu Bongo nikaanza harakati za kuingia katika siasa zetu na sasa hivi mimi ni Mweshimiwa Mbunge mtarajiwa.
 
Sehemu Mpya ya 17 narahisha kidogo ili iishe Wana jf Muende kazini maana mmegoma kuondoka humu...

Muda kidogo nyuma, nilikuwa naishi south Africa katika jiji la Gauteng (Pretoria) mitaa ya Moreleta Park, nje kidogo ya Pretoria town.

Mitaa fulani ya kishua kwa hapo Pretoria. Hii mitaa 70% wanaoishi wazungu na blacks kiasi.

Ukiishi maeneo hayo uwe na shughuli maalum vinginevyo patakushinda kuishi huko. Ni very expensive. Was Like 6000 rands per month kwa kipindi hicho.

Shughuli zangu na mishe mishe zangu ilikuwa ni down town, Brown Street.

Huo mtaa ndiyo mtaa wenye mambo yote yote ya kishenzi mfano simu za wizi, drugs, stolen properties, bunduki. nk; kukabwa hadharani ni kawaida. Wezi wa kila aina wapo hapo, so nilikuwa na network fulani ya kununuwa vitu hivyo.

Hivyo basi asubuhi ni lazima nakwenda town napiga mishe, jioni tunarudi zetu home na homeboys wangu fulani tulikuwa tunaishi wote humo kwenye flat.

Tulikuwa tunamiliki gari moja aina ya Audi ili kutusaidia katika shughuli zetu za kila siku; so mara kwa Mara huwa tunarudi wote na kuondoka wote home kutumia gari letu binafsi.

Siku moja jamaa zangu walitangulia kurudi home na gari, mimi ilikuwa bado namalizana na jamaa fulani wezi wa Simu. Nilipomaliza kununuwa zile simu like 20 pieces hivi.

Kwakuwa ilikuwa usiku kama saa mbili hivi, nikaamua kuziweka zile simu sehemu fulani hapo hapo downtown kwa usalama zaidi ili kesho yake nizipitie maana south sio sehemu ya kutembea na mafurushi barabarani, ni too risk. Muda wowote unasachiwa na police.

Nilitafuta tax(daladala) nikaanza safari ya moreleta. Ni mwendo kama wa dk 45 nikashuka stand, sio mbali na home kwa kutembea; ni kama dk 2 hivi.

Niliposhuka stand nikavuka upande wa pili wa barabara nikawa natembea kuelekea nyumbani. Wakati nashuka pale kituoni kwa mbali niliona gari ya police imesimama kama inamsubiri mtu. Nadhani na wao waliniona, wakaamua kunisubiri waone wapi naelekea.

Mimi sikujali sababu sikuwa na chochote kibaya kinachoweza kunisababishia nikamatwe.

Ikabidi nikatembea kidogo hadi nikaipita nyumba niliyokuwa nakaa.

Maana kwa south ukiona una mashaka na gari fulani au watu fulani, basi huwa tunapitiliza nyumba unayokaa ili wasije wakaja humo ndani ikawa msala maana nyumba zenyewe tunaishi na vitu vyote vile serikali haitaki. Stolen phones, tvs, laptops nk..

Basi wakati napiga hatua kadhaa kuipita nyumba ninayoishi nikashangaa nimefungiwa brake miguuni mwangu na gari ya police aina ya golf. Tena ikiwa na police 5 wa kizungu.

Duu!! Jamaa walikuwa wamepanda hewani halafu wamevaa vikaptula vya Jeshi. Wakanimulika taa za usoni, wakanambiya hands up.
Jamaa wakaanza kuniuliza nakwenda wapi na nafanya nini maeneo yale ya moreleta kwa usiku ule. Kabla sijajibu chochote, wale police wakaomba ID yangu ili wajiridhishe Mimi ni mtu wa aina gani.

Wakanikaguwa, wakakuta nina passport, phone, ambayo ndy niliyokuwa natumia pamoja na wallet ambalo lilikuwa na rands 2600 hivi.

Police mmoja akaingia ndani ya ile golf, akafunguwa laptop flani hivi mle ndani, nadhani alikwenda kuikaguwa passport yangu kama nina kosa lolote la jinai.

Unajuwa south ni inchi yenye system kali sana katika mambo ya kihalifu na records zote za watu wake.

Raia wake wote wapo ktk system za alama za vidole, na hata mgeni anapongia south kama umetumia njia za kihalali lazima watakuweka ktk system zao za uhamiaji, na kama mtu yeyote raia au sio raia atafanya uhalifu popote pale, police huchukuwa alama za vidole kwenye tukio na kuanza kuzifuatilia katika system zao.

basi police ni lazima wachukuwe alama za vidole na kuzihifadhi.

Hata kama ni miaka 20 ipite,,mradi tu,,kosa ulilofanya liwe limesha hukumiwa mahakamani.

Kama kosa bado halijakwisha na alama zako za vidole bado zipo police, itakuletea shida sana, siku ukikamatwa na kukutwa makosa yako basi utapelekwa ulikofunguliwa mashitaka.

Na sometimes kunakuwa na road blocks barabarani kutafuta wahalifu wa makosa mbalimbali na waliokimbia kesi zao police.

Basi yule police baada kama ya dk 5 kupitia ile laptop akasema kwa sauti kubwa sana "He is a criminal. He has drugs case"

Pale pale nikapigwa pingu. Waligunduwa nilikuwa na case ya madawa, lakini sikuwa na hayo madawa, ni police waliniwekea hayo madawa kwa lengo la kunipora pesa zangu.

Mwaka mmoja nyuma niliwahi kukamatwa na pesa mtaa fulani unaitwa Jacob maree, hapo hapo Pretoria. Nilikuwa kama na rands 18000 hivi nawafata wezi nikanunuwe Simu walizokuwa nazo kama kawaida yetu.

Kumbe wale wezi hawakuwa na Simu, wala chochote cha kuuza bali walikuwa wamekamatwa na police. Sasa waliwataka wamtaje boss wao ili wawaachie. Ikabidi waandae mtego kama wana mali wanauza ili niende kuwafata.

Nilipofika nikakuta wapo na police weusi 2 kizulu na kikhosa 1. Police wa mtaani ni cold drink tu, rands 100 au 200 kesi kwisha.
Hivyo sikuwahofia sana na ukizingatia sina kitu zaidi ya pesa.

Nilipofika wakanirukia. Duu!! waliponisachi wakakuta nina pesa hizo rands 18000. Duu!! roho zikawaruka.

South African wengi hawajazoea kuona pesa cash, wengi hutumia card za bank maisha yao yote.

Mshahara unaingia bank na hutumia card katika matumizi yao,,suala la kuona cash rands 18000 liliwavuruga sana wale police weusi. Mmoja akasema kwa sauti, "You are a prime suspect. We have been chasing you for years, at last we got you"

Nilishangaa sana. Lengo la hawa police kufanya hivi ni kutaka kunipora zile pesa. South African police, especially blacks police ni zaidi ya majambazi. Mambo ya kupora wageni pesa na mali zao, hiyo ni kawaida yao.

Basi wale police wakaachana na wale wezi wakaniweka lock up mimi kwenye gari yao ya police, safari kituoni.

Nilidhani watanipeleka central police, kituoni kikuu karibu na nilipokamatiwa, lakini haikuwa hivyo. Walizunguka na mm kama masaa 2 mpaka nikawa nashangaa. Nilipokamatiwa sio mbali na kituoni, sasa nikajiuliza hawa jamaa wamenipangia nn?

Kumbe muda wote wanazunguka na mimi, wanatengeneza plan jinsi gani watanifungulia kesi na wao wapore zile pesa zangu.
Baada ya mizunguko ya masaa 2, hatimaye nafika kituoni. Lakini si kituo kile la eneo la tukio.

Walinipeleka sehemu ingine kabisa ambapo wao wanafanyia kazi,,walinipeleka sunny side police station. Kufika pale nikafunguliwa kesi ya kukutwa na kete 20 za drags,,na sio mambo ya kukutwa na pesa tena kama ilivyokuwa. Na zile pesa walishazificha muda mrefu na kugawana.

Nililala kituoni. The next day nikatoka mahakamani kwa dhamana lakini ya ujanja ujanja.

Alikuja Lawyer fulani wabongo tunapenda sn kumtumia, akapewa rands 3000 huko nje na jamaa zng, nikatoka bila hakimu kuniona.
Nikatoka nikiwa lock up mahakamani bila kufuta record zangu za vidole.

Hyo case ndy ilinipelekea wale police wa kizungu walionikamata hapo moreleta kugunduwa mm nina case ya madawa ya kulevya. Vidole vyangu bado vipo police kama mtuhumiwa wa madawa,na nimekimbia kesi, hata leo havijafutika.

Narudi kwenye story. Wale police wa kizungu walipogunduwa Mimi ni drugs criminal, nikapigwa pingu tena karibu kabisa na flat ninayokaa. Wakaanza kuniuliza maswali, "What are doing by this time in Moreleta? We don't ask you twice. Just cooperate"

Nilishangaa napigwa ngumi moja ya tumbo. Nusu nitapike piza niliyokula saa moja iliyopita.

Nikawajibu, "I'am going home. I come from my girl friend's house. I am looking for taxi to Sunny side"

Nikawadanganya nakaa Sunnyside, eneo fulani downtown ambapo wageni wengi huishi huko, na muda wowote unaweza kutembea nje bila shida. Niliwaambia vile wale police kwa kujuwa kwamba hawana uwezo wa kunitoa sehemu yao ya kazi na kunipeleka eneo jingine.

Wenzetu kila police ana area yake ya kazi, huruhusiwi kwenda kufanya upekuzi au kukamata mtu bila kufika kituoni husika na kujitambulisha. Nikashikilia msimamo wangu kwamba sikai huku, mm naishi Sunnyside.

Nilijuwa nikiwapeleka home hawa police tumekwisha. Home tulikuwa na phones zaidi ya 40, laptops na flat TV's nyingi tu sizikumbuki, na mbaya zaidi nilikuwa na cash kama 45000 rands, zangu mm binafsi, ukichanganya na jamaa zng zitakuwa ni pesa nyingi sana japokuwa sikujuwa wenzangu wana kiasi gani, lakini tunajuwana kwamba pesa hatuweki bank.

Pesa tunaweka ndani, nikisema naishi hapa moreleta, basi safari ya kusachi nyumbani itafuata.

Pia nitaonekana kama snitch fulani hivi mbele ya wabongo wenzangu, na vyeo vyote vya kikomandoo nilivyonavyo vitashushwa kama nitawapeleka police nyumbani. Ngoja nikomae nao mwenyewe.

Police: Can you take us to your girlfriend's house?

Nikawajibu: This is my first time to come at moreleta park. I can't remember where she lives.

Police: Get in the car. We will drive with you the whole night. Show us the place or you die.

Wakati tupo kwenye gari la police tunaelekea nisipopajua mara jamaa yangu mmoja tunayekaa wote hapo home, ananipigia simu.
Muda wote simu yangu wanayo police. Baada ya simu kusumbuwa sana, police akanipa simu akanambiya ongea kwa loud speaker tusikie.

Jamaa yangu anapiga simu mfululizo kwenye simu yangu. Police akanipa simu niongee kwa sauti.

Police: "Take your phone. Put him on loud speaker"

Duu!! Aisee! Nikasema hapa lazima nijiongeze nijue jinsi ya kumjibu jamaa.

Home boy: "Oyaa, babu uko wapi muda huu? Kinatoka cha ugali na kuku mwanangu"

Akimaanisha anapika ugali na kuku. Hapo hapo nikamzidi story nikamwambia, nikamjibu kwa Kiswahili, "Nipo na wajomba wamening' oa hapa mtaani safari Sunnyside"

Pale pale nikapigwa bonge la Kofi ata Simu ilianguka chini ikiwa bado ipo hewani. Nikaokota nikaongea English kwamba, "I'am coming there to Sunny side, I'm on my way"

Nilidanganya hivyo sababu nilipoongea Kiswahili kulikuwa na neno Sunnyside kwahyo wakaamini nilimaanisha hivyo hapo mwanzo.

Na huku South police tunawaita wajomba, au wageni au wazee. Lakini hilo neno la wazee wanalijua kwa sasa.

So ukitaka kuwasema kama kuna police, usitumie wazee mbele yao, sema wajomba au wageni hao. Tunatambuwa ni police.
Nilitaka nimfahamishe yule homeboy awe na tahadhari.

Basi wale police walizunguka na mimi kama dk 45 hivi, kila nyumba na mtaa wakijaribu kuniuliza nikumbuke nyumba ya girlfriend wangu niliyotoka. Bado nika-pretend siikumbuki hiyo nyumba wala mtaa

Mmoja akapata wazo akasema: "Do you have her phone number?"

Kabla sijajibu na mwingine akauliza, "Do you have a family in South Africa?"

Nikaona jibu rahisi ni kumjibu huyu mwanadada wa kizungu ambaye ni police miongoni mwao.

Hizo ni technique za kigaidi unapokutana na mahojiano ya police, haswa wakikuuliza maswali kwa pamoja. Unapaswa uchaguwe ya kujibu rahisi yale maswali magumu ni kama unayapotezea kwa kujipa muda kuyatafakari.

Nikajibu, "Yes, I have a girlfriend with my 2 kids in Jo'burg. We are a happy family"

Police akasema, "You live in Jo'burg or Sunnyside?"

Nikajibu, Sunnyside naishi na friends lakini Jo'burg ndiyo my home with my family. Nikabadilisha tena ninapoishi.

Nilitaka kuwavuruga hivyo ili tusiende huko Sunnyside.

Sikujuwa nikifika huko nitawapeleka nyumba ya nani. Police wa South wakifika kwanza flat wanauliza, huyu anakaa humu? Kabla ya kuingia na wewe ndani, wenzio wakisema hakai humu, lazima uonyeshe unapokaa, kwa lazima.

Lakini kama police ni wale wezi, hawajali kitu mradi wewe unayeishi ni mgeni, basi lazima waje wakuchukulie kila kitu, hata kama hukai humo. Nikaona kitendo cha kupeleka police flat za watu wengine pia sio vyema. Nikaona niseme naishi Jo'burg kupoteza muda, pengine nitaaachiwa.

Jo'burg huko ni mji mwingine kabisa. Ni kama 15 minutes kwa train ya Umeme, na 45 minutes kwa gari binafsi kutoka Pretoria.

Kuna umbali kiasi, ni sawa na mwendo wa Dar to Mlandizi. So niliona hakuna wa kunipeleka Jo'burg kwa kosa lisilo na maana. Mara nyingi tukikutana na police akikuuliza unaishi wapi? Ukimtajia Jo'burg anaishiwa nguvu, ila ukimtajia mjini hapo Pretoria, lazima akupeleke home kusachi. So nikawaambia naishi Jo'burg na girlfriend wangu na watoto 2.

Police wa South wanaogopa sana mgeni Mwenye mwanamke raia wa pale. Kwa hofu kwamba ikitokea chochote mwanamke atakuwa ngao yako kukutetea katika sheria. So muda wote yule police mwanamke anakaguwa simu yangu, kuanzia picha hadi calls.

Aliona picha za wanangu wadogo wa huku Tanzania, lakini nikamwambia hao ndiyo wanangu na wapo hapo Jo'burg. Alionyesha hali fulani ya huruma kidogo akaniangalia sana usoni hadi nikahisi nimependwa na huyu mtoto wa kizungu police.

Ghafla, yule police wa mwanzo akauliza tena, "Do you have her phone number?"

Anataka namba ya yule girlfriend wangu niliyesema nimetoka kwake pale moreleta na nimesahau nyumba anayoishi.

Nikajibu, "Yes I do"

Nikawapa namba yangu ya simu nyingine ambayo siitumii wakaipiga ikawa haiiti. Walichukia sana. Wakajadiliana kwa muda, mwishowe gari ikawasha kuzidi kuelekea nisipopajuwa.

Tulitembea umbali mref hadi nikawa sioni gari yeyote nyuma wala mbele, tukaingia njia ya vumbi. Giza tupu. Mwishowe gari ikasimama ndani ya msitu fulani mzito, bila kujuwa nipo wapi. Wale police wanakambiya shuka ndani ya gari. Huku nikiwa na pingu mikononi kwa nyuma.

Niliposhuka kwenye gari, nikaona kila mmoja kati ya wale police wanaume wanavaa gloves mikononi kama wanajambo kubwa la kujikinga na kuumiza mikono yao.

Mmoja akanambia, "Do you know where you are?"

Nikajibu, "No, officer."

Police akasema, "This is a grave yard. We used to kill people and burn them here"

Nilitetemeka nikaona sasa nachungulia kifo.

Nipo msituni na police makaburu 5, wanaume 4, mwanamke 1.

Nipo nimefungwa pingu za mikono kuzungushiwa kwa mgongoni.

"You know where you are?" Police mmoja aliniuliza?

Nikasema, "I don't know where I am officer"

Police akasema, "This is the grave yard, We used to kill people and burn them here"

Wakuu nilitetemeka, nikaona sasa ndy mwisho wa maisha yangu. Usiombe mkuu, mtu akutamkia hapa leo tunakuua. Nilikuwa kwenye wakati mgumu sana ktk maisha yangu ya kutafuta. Lakini nilijiuliza kwamba hawa police, lengo lao la kutaka kunidhuru ni kitu gani?

Hivi wamenikuta na hatia gani? Au nimewakosea nini hawa police?

Wakati najiuliza maswali kichwani mwangu, nikashtukia namwagiwa pepper spray ya macho ili wani blind for moment.
Nisiweze kuona wanachonifanyia. Ile pepper spray, iliingia sawia machoni mwangu, nikawa kama kipofu kwa muda.

Pepper spray, ni pilipili maalum iliyotengenezwa kwenye chupa mfano wa chupa ya perfume au body spray kwa lengo la self defense, ambazo zinauzwa madukani south Africa.

Na zipo maalum kwa ajili ya police zimeandikwa (SWAT) ambazo ndy kali na zinapalia kama bomu la machozi. Mara nyingi hutumika kutuliza ghasia au kama wamekuja kwako na hutaki kufunguwa mlango. Wakiipenyeza hiyo spray lazima ufunguwe mlango.

Basi nilihangaika sana, na maumivu ya ile pepper spray ya machoni. Kabla sijakaa sawa ndy nikaanza kuchezea ngumi, mateke, mikanda ya police. Kwa kifupi nilipigwa kila sehem ya mwili wangu bila ya kujitetea, wala msaada.

Nililia sana, nikawauliza: "Why do you want to kill me? What crime did I commit? Why you want to kill an innocent person? Or because I am black?"

Quiet! Quiet! Wanasema, quiet!

Wakaona hawaridhiki,,nikaona nimeangushwa chini, nikafungwa kwenye blanket mithili ya chapati. Hadi kikabaki kichwa tu. Mwili wote upo ndani ya blanket, hapo nililazwa chini nikiwa naangalia juu, wakanikalia kifuani, wakaniweka mfuko wa plastic kichwani, wakafunga uso wangu na mfuko, wakapuliza tena pepper spray ndani ya mfuko; huku wakininyima hewa.

Nilihangaika sana, sana.

Mwishowe wakanifunguwa lile blanket na pingu, huku nina damu mwili mzima, nikawa kama nimepoteza fahamu. Ni kama nilikuwa nawasikia kwa mbali wanalumbana jambo fulani.

Waliponiona nimezinduka, mmoja akanambia: "Now you are free. Run from here, and never look back!"

Nilipowaangalia wale police kwa taabu sana, maana hata macho yalikuwa hayaoni vzr kwa kupofuliwa na pepper spray.

Nikaona kama wanajadili jambo, halafu yule police wa kike kama anawasihi jambo. Nikahisi ni hatari zaidi kukimbia kuliko kubaki eneo lile. Nikakata shauri nibaki nao wale police hadi mwisho wa uhai wangu. Na najua jambo lililokuwa linawasumbua mbele yao.

Police wa South Africa haruhusiwi kumjeruhi mtuhumiwa na ikitokea umempiga na kumjeruhi, kuna hatari kubwa ya kushitakiwa. Hivyo kitendo cha wao kuniumiza mimi bila sababu za msingi.

Kiliwaumiza sana, maana hakuna police station yeyote itakayonipokea Mimi ktk hali ya damu nyingi na kuvimba usoni kiasi kile.

Nikahisi walipanga jambo baya zaidi kunifanyia. Pengine kunimaliza kabisa uhai wangu. Lakini yule police mwanamke anawazuia.

Wakisema kimbia yule dada anasema, "No, don't run."

Nikahisi Hawa jamaa wanataka kuniua, sasa ngoja na mimi niwatese kisaikologia.

Naandika nikiwa natokwa na machozi, wakuu nimekumbuka mbali sana.

Ni miaka 6 imepita tangu tukio linitokee ila kuelezea tukio kumenifanya niumie upya.

Basi yule police wa kike akanambia, "Don't ever try to run, my bra."

Huku wale police wengine wa kiume wakisema, "You! you! run! run!"

Mimi nikawaambia tena kwa maneno ya kijasiri kabisa, nikasema: "Msiwe waoga, kama mnataka kuniua mniue mkiniangalia. Mimi sikimbii" (If you wanna kill me, face me face to face. Don't be cowards, you white officers")

Nikaanza kukoroma hapo, sababu nilishaelewa yule mwanamke hawapo nae ktk nia yao ovu. Pia kukimbia ni kujitakia kupigwa risasi ya mgongoni.

Halafu wasingizie nilitaka kukimbia, so mimi sikimbii nabaki nife nao.

Nikasema kwa sauti: "Why did you beat me like this? You spoiled my face like this? Why ? But why?" huku nalia sana kwa uchungu.

"Why? Why? Is this how you treat foreigners?"

"Now I have made my decision. This is my destiny. I am not afraid of you no more"

"If you kill me now, I will wait for you in the next world. I will be there waiting for you."

"Kill me now! Kill me now!"

Aisee!! Jamaa wakaanza kugwaya, wakakaa kama kamati waamue cha kufanya. Mwishowe wakaingia ndani ya gari lao, tayari kuondoka na mm waniache kule porini. Nikaona hilo pia ni tatizo kubwa, sababu sijuwi nipo pori gani. Nikaenda mbele ya gari yao police nikawa nimesimama mbele kuzuia gari isiende. Nilishabadilika wakuu, niliona heri nife kishujaa kuliko kudhalilika zaidi.

Nawaambiya waniue kabisa nimechoka kuishi. Kwanini wanitese na sina kosa lolote?

Wakuu nilikuwa na hasira sana, nikasema kwann nikubali kudhalilishwa kama hivi

Sometimes people fight for respect. Not for money or woman. Nikajipa matumaini kama hivyo. Bora nidhalilike nikiwa mfu kuliko kunifanya vile. I will fight for my respect.

Basi wale police wakabaki kwenye ile gari yao kwa kama dk 10 mwishowe yule police mwanamke akashuka akanifata akanambiya, "So sorry, my bra"

"Listen to me now. Clean your face. Get in the car"

Nikamuuliza, "Where are you taking me?"

Police akasema, "We will take you home"

Nikamwambia, "All this time you have been with me, tortured me, now you talk about taking me home?"

Akasema, "We are sorry, please get in the car"

Mimi nikamwambiya sababu mmenipiga na kuniumiza, lazima mtakuwa na sababu iliyowafanya mnipige.

Sasa naomba mnipeleke police station. Jambo hilo ilikuwa gumu sana kwao.

Mwishowe nikapatwa na akili, nikasema kuendelea kubishana na hawa police, wishowe wanaweza kuniua kweli huku porini.

Nikakubali kuingia ndani ya gari, lakini sina uhakika wapi napelekwa.

Nikaingia kwenye gari la police, tukiwa tumekaa nyuma wanne mbele wawili.

Yule police wa kike alikuwa pembeni yangu kulia Na police mwingine wa kiume yupo kushoto kwangu.

Gari inaelekea nisipopajua. Basi, yule mdada aliniangalia sana, hadi nikahisi kuna kitu zaidi ya huruma juu yangu. Akaanza kunisemesha.

Police: "You said you have 2 daughters?"

Nikajibu, "Yes, I do."

Akanionyesha kwenye screen saver ya simu yangu. Niliweka picha za watoto wangu. Kumbe wale watoto ndy waliomfanya yule police mwanamke kunikingia kifua nisiuawe.

Akasema, "Are these the ones?"

Nikajibu ndiyo

Akasema, "You have cute daughters"

Nikajibu, "Thanks."

Yote najua ni katika kuniweka sawa, nirudi ktk mood yangu ya kawaida.

Akanambia, "I am a mother of 2 daughters too. I am also a parent. Try to be a good father"

Akasema hivi ilikuwaje ukawa involved katika drugs case?

Nikamjibu kwamba "I committed nothing concerning drugs. I was framed by police"

Nikawahadithia ile story ya police kunichukulia pesa zangu na kunipa case ya drugs. Basi yule police mwanamke aliniangalia sana.

Nilimuona akinihurumia sana, hata wale police wengine walijiona wamenikosea sana.

Gari ipo speed, kwa mbali nikaanza kuona taa za mji na kuanza kupishana na gari moja moja.

Yule police wa kike ikawa ndiyo kama waliyemteua kuongea na mimi, mara zote kama kuna jambo ndiyo yeye ananieleza.

Wakati tunakaribia kufika barabara kuu ndy nikakumbuka hawa jamaa walinipeleka wapi. Picha ya mji ikaanza kunijia nilipo.

Jamaa walinipeleka njia ya Jo'burg, huko wauliwapo watu na kutupwa hata mwezi maiti zisipatikane. Nikasema leo ilikiwa nakufa.

Nilipoona naingia barabara kuu, nikapata matumaini mapya ya uhai. Yule police akanipa passport, simu, wallet, akanambia hesabu pesa zako. Vyote vilikuwa salama. Zote rands 2600 haikupungua hata moja.

Yule Dada police akanibinya mkono wangu wa kulia, akanambia, "Sorry, we were wrong."

Tulipofika barabara ya Mainline all, wakanambia nishuke kwenye gari. Wakaondoka kwa kasi kubwa sana kuelekea nisipopajua.

Niliposhuka kituoni palikuwa na baadhi ya blacks South Africans wakaniuliza, "What happened, bra?

Nikawapa fully story kuhusu wale police wakasema Nina bahati sana kuachwa mzima.

"You are so lucky, my bra. Many people have been killed by the police in that forest"

Duu! nilijiona nina bahati ya kukutana na nyuki, kuambulia manundu. Nikampigia simu homeboy wangu kule home, akanifuata pale nilipo.

Kufika home kila mtu alinishangaa san tu. Sikuweza kujikaguwa sana jinsi nilivyoumia maana usiku sikuwa powa sana.

Asubuhi ndiyo nilijiangalia katika kioo, kwakweli niliumia sana.

Uso ulivimba nikawa kama nina vichwa viwili kama nyoka wa vitabuni. Nililia sana.

Niliishi kwa miezi kadhaa, nikarudi zangu Bongo nikaanza harakati za kuingia katika siasa zetu na sasa hivi mimi ni Mweshimiwa Mbunge mtarajiwa.

Coppy & Paste.

kuwa na mshipa wa aibu mkuu hiki kisa kilishaletwa humu, unatafuta umaarufu kwa migongo ya wengine.

Utaliwa mkuu, Mamamaaeee
 
Pole sana wakuu mnaoteseka huko nje ya Mataifa ya watu mkisaka maisha . Lakini shukran sana kwani mmekuwa walimu wazuri pia kwetu....ila jambo ninalolishanga...mbona huku kwetu TZ wageni tunaishi nao kawaida wengine tunao hadi vijijini wanalima, wanavuna na kula sijawahi kuona wanapatwa na misukosuko km ilivyo huko nje? Naomba mwenye uelewa zaidi juu ya mifumo na sera zetu kuhusu wageni anisaidie
 
Sehemu Mpya ya 17 narahisha kidogo ili iishe Wana jf Muende kazini maana mmegoma kuondoka humu...

Muda kidogo nyuma, nilikuwa naishi south Africa katika jiji la Gauteng (Pretoria) mitaa ya Moreleta Park, nje kidogo ya Pretoria town.

Mitaa fulani ya kishua kwa hapo Pretoria. Hii mitaa 70% wanaoishi wazungu na blacks kiasi.

Ukiishi maeneo hayo uwe na shughuli maalum vinginevyo patakushinda kuishi huko. Ni very expensive. Was Like 6000 rands per month kwa kipindi hicho.

Shughuli zangu na mishe mishe zangu ilikuwa ni down town, Brown Street.

Huo mtaa ndiyo mtaa wenye mambo yote yote ya kishenzi mfano simu za wizi, drugs, stolen properties, bunduki. nk; kukabwa hadharani ni kawaida. Wezi wa kila aina wapo hapo, so nilikuwa na network fulani ya kununuwa vitu hivyo.

Hivyo basi asubuhi ni lazima nakwenda town napiga mishe, jioni tunarudi zetu home na homeboys wangu fulani tulikuwa tunaishi wote humo kwenye flat.

Tulikuwa tunamiliki gari moja aina ya Audi ili kutusaidia katika shughuli zetu za kila siku; so mara kwa Mara huwa tunarudi wote na kuondoka wote home kutumia gari letu binafsi.

Siku moja jamaa zangu walitangulia kurudi home na gari, mimi ilikuwa bado namalizana na jamaa fulani wezi wa Simu. Nilipomaliza kununuwa zile simu like 20 pieces hivi.

Kwakuwa ilikuwa usiku kama saa mbili hivi, nikaamua kuziweka zile simu sehemu fulani hapo hapo downtown kwa usalama zaidi ili kesho yake nizipitie maana south sio sehemu ya kutembea na mafurushi barabarani, ni too risk. Muda wowote unasachiwa na police.

Nilitafuta tax(daladala) nikaanza safari ya moreleta. Ni mwendo kama wa dk 45 nikashuka stand, sio mbali na home kwa kutembea; ni kama dk 2 hivi.

Niliposhuka stand nikavuka upande wa pili wa barabara nikawa natembea kuelekea nyumbani. Wakati nashuka pale kituoni kwa mbali niliona gari ya police imesimama kama inamsubiri mtu. Nadhani na wao waliniona, wakaamua kunisubiri waone wapi naelekea.

Mimi sikujali sababu sikuwa na chochote kibaya kinachoweza kunisababishia nikamatwe.

Ikabidi nikatembea kidogo hadi nikaipita nyumba niliyokuwa nakaa.

Maana kwa south ukiona una mashaka na gari fulani au watu fulani, basi huwa tunapitiliza nyumba unayokaa ili wasije wakaja humo ndani ikawa msala maana nyumba zenyewe tunaishi na vitu vyote vile serikali haitaki. Stolen phones, tvs, laptops nk..

Basi wakati napiga hatua kadhaa kuipita nyumba ninayoishi nikashangaa nimefungiwa brake miguuni mwangu na gari ya police aina ya golf. Tena ikiwa na police 5 wa kizungu.

Duu!! Jamaa walikuwa wamepanda hewani halafu wamevaa vikaptula vya Jeshi. Wakanimulika taa za usoni, wakanambiya hands up.
Jamaa wakaanza kuniuliza nakwenda wapi na nafanya nini maeneo yale ya moreleta kwa usiku ule. Kabla sijajibu chochote, wale police wakaomba ID yangu ili wajiridhishe Mimi ni mtu wa aina gani.

Wakanikaguwa, wakakuta nina passport, phone, ambayo ndy niliyokuwa natumia pamoja na wallet ambalo lilikuwa na rands 2600 hivi.

Police mmoja akaingia ndani ya ile golf, akafunguwa laptop flani hivi mle ndani, nadhani alikwenda kuikaguwa passport yangu kama nina kosa lolote la jinai.

Unajuwa south ni inchi yenye system kali sana katika mambo ya kihalifu na records zote za watu wake.

Raia wake wote wapo ktk system za alama za vidole, na hata mgeni anapongia south kama umetumia njia za kihalali lazima watakuweka ktk system zao za uhamiaji, na kama mtu yeyote raia au sio raia atafanya uhalifu popote pale, police huchukuwa alama za vidole kwenye tukio na kuanza kuzifuatilia katika system zao.

basi police ni lazima wachukuwe alama za vidole na kuzihifadhi.

Hata kama ni miaka 20 ipite,,mradi tu,,kosa ulilofanya liwe limesha hukumiwa mahakamani.

Kama kosa bado halijakwisha na alama zako za vidole bado zipo police, itakuletea shida sana, siku ukikamatwa na kukutwa makosa yako basi utapelekwa ulikofunguliwa mashitaka.

Na sometimes kunakuwa na road blocks barabarani kutafuta wahalifu wa makosa mbalimbali na waliokimbia kesi zao police.

Basi yule police baada kama ya dk 5 kupitia ile laptop akasema kwa sauti kubwa sana "He is a criminal. He has drugs case"

Pale pale nikapigwa pingu. Waligunduwa nilikuwa na case ya madawa, lakini sikuwa na hayo madawa, ni police waliniwekea hayo madawa kwa lengo la kunipora pesa zangu.

Mwaka mmoja nyuma niliwahi kukamatwa na pesa mtaa fulani unaitwa Jacob maree, hapo hapo Pretoria. Nilikuwa kama na rands 18000 hivi nawafata wezi nikanunuwe Simu walizokuwa nazo kama kawaida yetu.

Kumbe wale wezi hawakuwa na Simu, wala chochote cha kuuza bali walikuwa wamekamatwa na police. Sasa waliwataka wamtaje boss wao ili wawaachie. Ikabidi waandae mtego kama wana mali wanauza ili niende kuwafata.

Nilipofika nikakuta wapo na police weusi 2 kizulu na kikhosa 1. Police wa mtaani ni cold drink tu, rands 100 au 200 kesi kwisha.
Hivyo sikuwahofia sana na ukizingatia sina kitu zaidi ya pesa.

Nilipofika wakanirukia. Duu!! waliponisachi wakakuta nina pesa hizo rands 18000. Duu!! roho zikawaruka.

South African wengi hawajazoea kuona pesa cash, wengi hutumia card za bank maisha yao yote.

Mshahara unaingia bank na hutumia card katika matumizi yao,,suala la kuona cash rands 18000 liliwavuruga sana wale police weusi. Mmoja akasema kwa sauti, "You are a prime suspect. We have been chasing you for years, at last we got you"

Nilishangaa sana. Lengo la hawa police kufanya hivi ni kutaka kunipora zile pesa. South African police, especially blacks police ni zaidi ya majambazi. Mambo ya kupora wageni pesa na mali zao, hiyo ni kawaida yao.

Basi wale police wakaachana na wale wezi wakaniweka lock up mimi kwenye gari yao ya police, safari kituoni.

Nilidhani watanipeleka central police, kituoni kikuu karibu na nilipokamatiwa, lakini haikuwa hivyo. Walizunguka na mm kama masaa 2 mpaka nikawa nashangaa. Nilipokamatiwa sio mbali na kituoni, sasa nikajiuliza hawa jamaa wamenipangia nn?

Kumbe muda wote wanazunguka na mimi, wanatengeneza plan jinsi gani watanifungulia kesi na wao wapore zile pesa zangu.
Baada ya mizunguko ya masaa 2, hatimaye nafika kituoni. Lakini si kituo kile la eneo la tukio.

Walinipeleka sehemu ingine kabisa ambapo wao wanafanyia kazi,,walinipeleka sunny side police station. Kufika pale nikafunguliwa kesi ya kukutwa na kete 20 za drags,,na sio mambo ya kukutwa na pesa tena kama ilivyokuwa. Na zile pesa walishazificha muda mrefu na kugawana.

Nililala kituoni. The next day nikatoka mahakamani kwa dhamana lakini ya ujanja ujanja.

Alikuja Lawyer fulani wabongo tunapenda sn kumtumia, akapewa rands 3000 huko nje na jamaa zng, nikatoka bila hakimu kuniona.
Nikatoka nikiwa lock up mahakamani bila kufuta record zangu za vidole.

Hyo case ndy ilinipelekea wale police wa kizungu walionikamata hapo moreleta kugunduwa mm nina case ya madawa ya kulevya. Vidole vyangu bado vipo police kama mtuhumiwa wa madawa,na nimekimbia kesi, hata leo havijafutika.

Narudi kwenye story. Wale police wa kizungu walipogunduwa Mimi ni drugs criminal, nikapigwa pingu tena karibu kabisa na flat ninayokaa. Wakaanza kuniuliza maswali, "What are doing by this time in Moreleta? We don't ask you twice. Just cooperate"

Nilishangaa napigwa ngumi moja ya tumbo. Nusu nitapike piza niliyokula saa moja iliyopita.

Nikawajibu, "I'am going home. I come from my girl friend's house. I am looking for taxi to Sunny side"

Nikawadanganya nakaa Sunnyside, eneo fulani downtown ambapo wageni wengi huishi huko, na muda wowote unaweza kutembea nje bila shida. Niliwaambia vile wale police kwa kujuwa kwamba hawana uwezo wa kunitoa sehemu yao ya kazi na kunipeleka eneo jingine.

Wenzetu kila police ana area yake ya kazi, huruhusiwi kwenda kufanya upekuzi au kukamata mtu bila kufika kituoni husika na kujitambulisha. Nikashikilia msimamo wangu kwamba sikai huku, mm naishi Sunnyside.

Nilijuwa nikiwapeleka home hawa police tumekwisha. Home tulikuwa na phones zaidi ya 40, laptops na flat TV's nyingi tu sizikumbuki, na mbaya zaidi nilikuwa na cash kama 45000 rands, zangu mm binafsi, ukichanganya na jamaa zng zitakuwa ni pesa nyingi sana japokuwa sikujuwa wenzangu wana kiasi gani, lakini tunajuwana kwamba pesa hatuweki bank.

Pesa tunaweka ndani, nikisema naishi hapa moreleta, basi safari ya kusachi nyumbani itafuata.

Pia nitaonekana kama snitch fulani hivi mbele ya wabongo wenzangu, na vyeo vyote vya kikomandoo nilivyonavyo vitashushwa kama nitawapeleka police nyumbani. Ngoja nikomae nao mwenyewe.

Police: Can you take us to your girlfriend's house?

Nikawajibu: This is my first time to come at moreleta park. I can't remember where she lives.

Police: Get in the car. We will drive with you the whole night. Show us the place or you die.

Wakati tupo kwenye gari la police tunaelekea nisipopajua mara jamaa yangu mmoja tunayekaa wote hapo home, ananipigia simu.
Muda wote simu yangu wanayo police. Baada ya simu kusumbuwa sana, police akanipa simu akanambiya ongea kwa loud speaker tusikie.

Jamaa yangu anapiga simu mfululizo kwenye simu yangu. Police akanipa simu niongee kwa sauti.

Police: "Take your phone. Put him on loud speaker"

Duu!! Aisee! Nikasema hapa lazima nijiongeze nijue jinsi ya kumjibu jamaa.

Home boy: "Oyaa, babu uko wapi muda huu? Kinatoka cha ugali na kuku mwanangu"

Akimaanisha anapika ugali na kuku. Hapo hapo nikamzidi story nikamwambia, nikamjibu kwa Kiswahili, "Nipo na wajomba wamening' oa hapa mtaani safari Sunnyside"

Pale pale nikapigwa bonge la Kofi ata Simu ilianguka chini ikiwa bado ipo hewani. Nikaokota nikaongea English kwamba, "I'am coming there to Sunny side, I'm on my way"

Nilidanganya hivyo sababu nilipoongea Kiswahili kulikuwa na neno Sunnyside kwahyo wakaamini nilimaanisha hivyo hapo mwanzo.

Na huku South police tunawaita wajomba, au wageni au wazee. Lakini hilo neno la wazee wanalijua kwa sasa.

So ukitaka kuwasema kama kuna police, usitumie wazee mbele yao, sema wajomba au wageni hao. Tunatambuwa ni police.
Nilitaka nimfahamishe yule homeboy awe na tahadhari.

Basi wale police walizunguka na mimi kama dk 45 hivi, kila nyumba na mtaa wakijaribu kuniuliza nikumbuke nyumba ya girlfriend wangu niliyotoka. Bado nika-pretend siikumbuki hiyo nyumba wala mtaa

Mmoja akapata wazo akasema: "Do you have her phone number?"

Kabla sijajibu na mwingine akauliza, "Do you have a family in South Africa?"

Nikaona jibu rahisi ni kumjibu huyu mwanadada wa kizungu ambaye ni police miongoni mwao.

Hizo ni technique za kigaidi unapokutana na mahojiano ya police, haswa wakikuuliza maswali kwa pamoja. Unapaswa uchaguwe ya kujibu rahisi yale maswali magumu ni kama unayapotezea kwa kujipa muda kuyatafakari.

Nikajibu, "Yes, I have a girlfriend with my 2 kids in Jo'burg. We are a happy family"

Police akasema, "You live in Jo'burg or Sunnyside?"

Nikajibu, Sunnyside naishi na friends lakini Jo'burg ndiyo my home with my family. Nikabadilisha tena ninapoishi.

Nilitaka kuwavuruga hivyo ili tusiende huko Sunnyside.

Sikujuwa nikifika huko nitawapeleka nyumba ya nani. Police wa South wakifika kwanza flat wanauliza, huyu anakaa humu? Kabla ya kuingia na wewe ndani, wenzio wakisema hakai humu, lazima uonyeshe unapokaa, kwa lazima.

Lakini kama police ni wale wezi, hawajali kitu mradi wewe unayeishi ni mgeni, basi lazima waje wakuchukulie kila kitu, hata kama hukai humo. Nikaona kitendo cha kupeleka police flat za watu wengine pia sio vyema. Nikaona niseme naishi Jo'burg kupoteza muda, pengine nitaaachiwa.

Jo'burg huko ni mji mwingine kabisa. Ni kama 15 minutes kwa train ya Umeme, na 45 minutes kwa gari binafsi kutoka Pretoria.

Kuna umbali kiasi, ni sawa na mwendo wa Dar to Mlandizi. So niliona hakuna wa kunipeleka Jo'burg kwa kosa lisilo na maana. Mara nyingi tukikutana na police akikuuliza unaishi wapi? Ukimtajia Jo'burg anaishiwa nguvu, ila ukimtajia mjini hapo Pretoria, lazima akupeleke home kusachi. So nikawaambia naishi Jo'burg na girlfriend wangu na watoto 2.

Police wa South wanaogopa sana mgeni Mwenye mwanamke raia wa pale. Kwa hofu kwamba ikitokea chochote mwanamke atakuwa ngao yako kukutetea katika sheria. So muda wote yule police mwanamke anakaguwa simu yangu, kuanzia picha hadi calls.

Aliona picha za wanangu wadogo wa huku Tanzania, lakini nikamwambia hao ndiyo wanangu na wapo hapo Jo'burg. Alionyesha hali fulani ya huruma kidogo akaniangalia sana usoni hadi nikahisi nimependwa na huyu mtoto wa kizungu police.

Ghafla, yule police wa mwanzo akauliza tena, "Do you have her phone number?"

Anataka namba ya yule girlfriend wangu niliyesema nimetoka kwake pale moreleta na nimesahau nyumba anayoishi.

Nikajibu, "Yes I do"

Nikawapa namba yangu ya simu nyingine ambayo siitumii wakaipiga ikawa haiiti. Walichukia sana. Wakajadiliana kwa muda, mwishowe gari ikawasha kuzidi kuelekea nisipopajuwa.

Tulitembea umbali mref hadi nikawa sioni gari yeyote nyuma wala mbele, tukaingia njia ya vumbi. Giza tupu. Mwishowe gari ikasimama ndani ya msitu fulani mzito, bila kujuwa nipo wapi. Wale police wanakambiya shuka ndani ya gari. Huku nikiwa na pingu mikononi kwa nyuma.

Niliposhuka kwenye gari, nikaona kila mmoja kati ya wale police wanaume wanavaa gloves mikononi kama wanajambo kubwa la kujikinga na kuumiza mikono yao.

Mmoja akanambia, "Do you know where you are?"

Nikajibu, "No, officer."

Police akasema, "This is a grave yard. We used to kill people and burn them here"

Nilitetemeka nikaona sasa nachungulia kifo.

Nipo msituni na police makaburu 5, wanaume 4, mwanamke 1.

Nipo nimefungwa pingu za mikono kuzungushiwa kwa mgongoni.

"You know where you are?" Police mmoja aliniuliza?

Nikasema, "I don't know where I am officer"

Police akasema, "This is the grave yard, We used to kill people and burn them here"

Wakuu nilitetemeka, nikaona sasa ndy mwisho wa maisha yangu. Usiombe mkuu, mtu akutamkia hapa leo tunakuua. Nilikuwa kwenye wakati mgumu sana ktk maisha yangu ya kutafuta. Lakini nilijiuliza kwamba hawa police, lengo lao la kutaka kunidhuru ni kitu gani?

Hivi wamenikuta na hatia gani? Au nimewakosea nini hawa police?

Wakati najiuliza maswali kichwani mwangu, nikashtukia namwagiwa pepper spray ya macho ili wani blind for moment.
Nisiweze kuona wanachonifanyia. Ile pepper spray, iliingia sawia machoni mwangu, nikawa kama kipofu kwa muda.

Pepper spray, ni pilipili maalum iliyotengenezwa kwenye chupa mfano wa chupa ya perfume au body spray kwa lengo la self defense, ambazo zinauzwa madukani south Africa.

Na zipo maalum kwa ajili ya police zimeandikwa (SWAT) ambazo ndy kali na zinapalia kama bomu la machozi. Mara nyingi hutumika kutuliza ghasia au kama wamekuja kwako na hutaki kufunguwa mlango. Wakiipenyeza hiyo spray lazima ufunguwe mlango.

Basi nilihangaika sana, na maumivu ya ile pepper spray ya machoni. Kabla sijakaa sawa ndy nikaanza kuchezea ngumi, mateke, mikanda ya police. Kwa kifupi nilipigwa kila sehem ya mwili wangu bila ya kujitetea, wala msaada.

Nililia sana, nikawauliza: "Why do you want to kill me? What crime did I commit? Why you want to kill an innocent person? Or because I am black?"

Quiet! Quiet! Wanasema, quiet!

Wakaona hawaridhiki,,nikaona nimeangushwa chini, nikafungwa kwenye blanket mithili ya chapati. Hadi kikabaki kichwa tu. Mwili wote upo ndani ya blanket, hapo nililazwa chini nikiwa naangalia juu, wakanikalia kifuani, wakaniweka mfuko wa plastic kichwani, wakafunga uso wangu na mfuko, wakapuliza tena pepper spray ndani ya mfuko; huku wakininyima hewa.

Nilihangaika sana, sana.

Mwishowe wakanifunguwa lile blanket na pingu, huku nina damu mwili mzima, nikawa kama nimepoteza fahamu. Ni kama nilikuwa nawasikia kwa mbali wanalumbana jambo fulani.

Waliponiona nimezinduka, mmoja akanambia: "Now you are free. Run from here, and never look back!"

Nilipowaangalia wale police kwa taabu sana, maana hata macho yalikuwa hayaoni vzr kwa kupofuliwa na pepper spray.

Nikaona kama wanajadili jambo, halafu yule police wa kike kama anawasihi jambo. Nikahisi ni hatari zaidi kukimbia kuliko kubaki eneo lile. Nikakata shauri nibaki nao wale police hadi mwisho wa uhai wangu. Na najua jambo lililokuwa linawasumbua mbele yao.

Police wa South Africa haruhusiwi kumjeruhi mtuhumiwa na ikitokea umempiga na kumjeruhi, kuna hatari kubwa ya kushitakiwa. Hivyo kitendo cha wao kuniumiza mimi bila sababu za msingi.

Kiliwaumiza sana, maana hakuna police station yeyote itakayonipokea Mimi ktk hali ya damu nyingi na kuvimba usoni kiasi kile.

Nikahisi walipanga jambo baya zaidi kunifanyia. Pengine kunimaliza kabisa uhai wangu. Lakini yule police mwanamke anawazuia.

Wakisema kimbia yule dada anasema, "No, don't run."

Nikahisi Hawa jamaa wanataka kuniua, sasa ngoja na mimi niwatese kisaikologia.

Naandika nikiwa natokwa na machozi, wakuu nimekumbuka mbali sana.

Ni miaka 6 imepita tangu tukio linitokee ila kuelezea tukio kumenifanya niumie upya.

Basi yule police wa kike akanambia, "Don't ever try to run, my bra."

Huku wale police wengine wa kiume wakisema, "You! you! run! run!"

Mimi nikawaambia tena kwa maneno ya kijasiri kabisa, nikasema: "Msiwe waoga, kama mnataka kuniua mniue mkiniangalia. Mimi sikimbii" (If you wanna kill me, face me face to face. Don't be cowards, you white officers")

Nikaanza kukoroma hapo, sababu nilishaelewa yule mwanamke hawapo nae ktk nia yao ovu. Pia kukimbia ni kujitakia kupigwa risasi ya mgongoni.

Halafu wasingizie nilitaka kukimbia, so mimi sikimbii nabaki nife nao.

Nikasema kwa sauti: "Why did you beat me like this? You spoiled my face like this? Why ? But why?" huku nalia sana kwa uchungu.

"Why? Why? Is this how you treat foreigners?"

"Now I have made my decision. This is my destiny. I am not afraid of you no more"

"If you kill me now, I will wait for you in the next world. I will be there waiting for you."

"Kill me now! Kill me now!"

Aisee!! Jamaa wakaanza kugwaya, wakakaa kama kamati waamue cha kufanya. Mwishowe wakaingia ndani ya gari lao, tayari kuondoka na mm waniache kule porini. Nikaona hilo pia ni tatizo kubwa, sababu sijuwi nipo pori gani. Nikaenda mbele ya gari yao police nikawa nimesimama mbele kuzuia gari isiende. Nilishabadilika wakuu, niliona heri nife kishujaa kuliko kudhalilika zaidi.

Nawaambiya waniue kabisa nimechoka kuishi. Kwanini wanitese na sina kosa lolote?

Wakuu nilikuwa na hasira sana, nikasema kwann nikubali kudhalilishwa kama hivi

Sometimes people fight for respect. Not for money or woman. Nikajipa matumaini kama hivyo. Bora nidhalilike nikiwa mfu kuliko kunifanya vile. I will fight for my respect.

Basi wale police wakabaki kwenye ile gari yao kwa kama dk 10 mwishowe yule police mwanamke akashuka akanifata akanambiya, "So sorry, my bra"

"Listen to me now. Clean your face. Get in the car"

Nikamuuliza, "Where are you taking me?"

Police akasema, "We will take you home"

Nikamwambia, "All this time you have been with me, tortured me, now you talk about taking me home?"

Akasema, "We are sorry, please get in the car"

Mimi nikamwambiya sababu mmenipiga na kuniumiza, lazima mtakuwa na sababu iliyowafanya mnipige.

Sasa naomba mnipeleke police station. Jambo hilo ilikuwa gumu sana kwao.

Mwishowe nikapatwa na akili, nikasema kuendelea kubishana na hawa police, wishowe wanaweza kuniua kweli huku porini.

Nikakubali kuingia ndani ya gari, lakini sina uhakika wapi napelekwa.

Nikaingia kwenye gari la police, tukiwa tumekaa nyuma wanne mbele wawili.

Yule police wa kike alikuwa pembeni yangu kulia Na police mwingine wa kiume yupo kushoto kwangu.

Gari inaelekea nisipopajua. Basi, yule mdada aliniangalia sana, hadi nikahisi kuna kitu zaidi ya huruma juu yangu. Akaanza kunisemesha.

Police: "You said you have 2 daughters?"

Nikajibu, "Yes, I do."

Akanionyesha kwenye screen saver ya simu yangu. Niliweka picha za watoto wangu. Kumbe wale watoto ndy waliomfanya yule police mwanamke kunikingia kifua nisiuawe.

Akasema, "Are these the ones?"

Nikajibu ndiyo

Akasema, "You have cute daughters"

Nikajibu, "Thanks."

Yote najua ni katika kuniweka sawa, nirudi ktk mood yangu ya kawaida.

Akanambia, "I am a mother of 2 daughters too. I am also a parent. Try to be a good father"

Akasema hivi ilikuwaje ukawa involved katika drugs case?

Nikamjibu kwamba "I committed nothing concerning drugs. I was framed by police"

Nikawahadithia ile story ya police kunichukulia pesa zangu na kunipa case ya drugs. Basi yule police mwanamke aliniangalia sana.

Nilimuona akinihurumia sana, hata wale police wengine walijiona wamenikosea sana.

Gari ipo speed, kwa mbali nikaanza kuona taa za mji na kuanza kupishana na gari moja moja.

Yule police wa kike ikawa ndiyo kama waliyemteua kuongea na mimi, mara zote kama kuna jambo ndiyo yeye ananieleza.

Wakati tunakaribia kufika barabara kuu ndy nikakumbuka hawa jamaa walinipeleka wapi. Picha ya mji ikaanza kunijia nilipo.

Jamaa walinipeleka njia ya Jo'burg, huko wauliwapo watu na kutupwa hata mwezi maiti zisipatikane. Nikasema leo ilikiwa nakufa.

Nilipoona naingia barabara kuu, nikapata matumaini mapya ya uhai. Yule police akanipa passport, simu, wallet, akanambia hesabu pesa zako. Vyote vilikuwa salama. Zote rands 2600 haikupungua hata moja.

Yule Dada police akanibinya mkono wangu wa kulia, akanambia, "Sorry, we were wrong."

Tulipofika barabara ya Mainline all, wakanambia nishuke kwenye gari. Wakaondoka kwa kasi kubwa sana kuelekea nisipopajua.

Niliposhuka kituoni palikuwa na baadhi ya blacks South Africans wakaniuliza, "What happened, bra?

Nikawapa fully story kuhusu wale police wakasema Nina bahati sana kuachwa mzima.

"You are so lucky, my bra. Many people have been killed by the police in that forest"

Duu! nilijiona nina bahati ya kukutana na nyuki, kuambulia manundu. Nikampigia simu homeboy wangu kule home, akanifuata pale nilipo.

Kufika home kila mtu alinishangaa san tu. Sikuweza kujikaguwa sana jinsi nilivyoumia maana usiku sikuwa powa sana.

Asubuhi ndiyo nilijiangalia katika kioo, kwakweli niliumia sana.

Uso ulivimba nikawa kama nina vichwa viwili kama nyoka wa vitabuni. Nililia sana.

Niliishi kwa miezi kadhaa, nikarudi zangu Bongo nikaanza harakati za kuingia katika siasa zetu na sasa hivi mimi ni Mweshimiwa Mbunge mtarajiwa.
Na una hela aaaaah
 
Kafara na jumba bovu ka angushiwa konda msafi kwa sasa ye ndio jambaz kuu pia kuna tu jambaz tu dogo dogo ila ata konda alipigwa maswali korofi lakin kumbu story iliisha labda ile nyingne pia holy holm nae alikutana na watu wavurugaji story sikuona kujali alendelea kushusha tu episodes up to end.
Changamoto zipo lazma watakuja watu watasema chai, ohoo ni porojo tu kam zngne piga chini endelea kushusha kama mtu anaona chai aongezee tangawiz anywe pumbavu uyu nae Analyse alipata wapinzani utafikir walikua wana mrecord maisha yake kumbe makanjanja tu by the way Keagan Paul rudi mkuu shusha episode wa lugha lugha achana nao ukweli unabaki kwako.
Upo sahihi mkuu. Vikwazo vipo, kuna ambao wapo kwa ajili ya kupinga tu. Ila all in all jamaa inabidi arudi kuendelea na story
 
Back
Top Bottom