Nilivyompiga chini mchepuko mtarajiwa

Nilivyompiga chini mchepuko mtarajiwa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kuna siku nilileta uzi humu, kuhusu mchepuko mpya niliyekutana naye, na akaniomba nimuongezee mtaji ili aweze kujiajiri.

Kutokana na mtaji alio uomba ulikuwa mkubwa kiasi fulani; sikuwa mwepesi kutimiza mpaka pale baadhi ya vitu niweze kujiridhisha.

Kwanza nilimualika aje kwangu(kubadilishana joto), na tukakubaliana atafanya hivyo; lakini matokeo yake siku ya tukio hakuweza kufika, na kunijulisha amepata mwaliko kutoka kwa rafiki yake anayefanya naye kazi, na kunitaka mi niongozane nao.

Pili, alinijulisha anachangamoto ya macho na alishafanyiwa upasuaji; hivi karibuni na anatakiwa kurejea hospitali na alikuwa anahitaji nimuwezeshe fedha, kama laki 5.

Tatu, anataka nimuamishe mkoa aliopo na aende kwenye mkoa anaotaka kufanya biashara; akiwa na maana ya usafiri wa mizigo, kulipia kodi huko anakoenda n.k

Nne, natakiwa kumjali kwa kila kitu katika mahitaji yake ili asiweze/asishawishike kuchepuka.

Baada ya kutafakari kwa kina, nikaona hii ni barabara ya vumbi tena yenye makorongo mazito; nikaona hapa natafuta umasikini kwa kulazimisha.

Kwa kifupi, nimepiga chini.​
 
Ogopa sana mwanamke anaeamini kuhudumiwa ndo kutamfanya kua mwaminifu kwenye mahusiano.

Type hizo Huwa Ni wadangangaji professional, hapo Anajaribu kuimanipulate akili yako iamini yeye Ni mwanamke competitive Sana machoni kwa Wanaume walio wengi.
 
Ogopa sana mwanamke anaeamini kuhudumiwa ndo kutamfanya kua mwaminifu kwenye mahusiano.

Type hizo Huwa Ni wadangangaji professional, hapo Anajaribu kuimanipulate akili yako iamini yeye Ni mwanamke competitive Sana machoni kwa Wanaume walio wengi.
Nimeona hafai kabisa
 
Swala la ngono siku hizi ni gharama sana mtu kukojoa tuu hadi wikiendi iishe si chini ya laki 1
 
Kuna siku nilileta uzi humu, kuhusu mchepuko mpya niliyekutana naye, na akaniomba nimuongezee mtaji ili aweze kujiajiri.

Kutokana na mtaji alio uomba ulikuwa mkubwa kiasi fulani; sikuwa mwepesi kutimiza mpaka pale baadhi ya vitu niweze kujiridhisha.

Kwanza nilimualika aje kwangu(kubadilishana joto), na tukakubaliana atafanya hivyo; lakini matokeo yake siku ya tukio hakuweza kufika, na kunijulisha amepata mwaliko kutoka kwa rafiki yake anayefanya naye kazi, na kunitaka mi niongozane nao.

Pili, alinijulisha anachangamoto ya macho na alishafanyiwa upasuaji; hivi karibuni na anatakiwa kurejea hospitali na alikuwa anahitaji nimuwezeshe fedha, kama laki 5.

Tatu, anataka nimuamishe mkoa aliopo na aende kwenye mkoa anaotaka kufanya biashara; akiwa na maana ya usafiri wa mizigo, kulipia kodi huko anakoenda n.k

Nne, natakiwa kumjali kwa kila kitu katika mahitaji yake ili asiweze/asishawishike kuchepuka.

Baada ya kutafakari kwa kina, nikaona hii ni barabara ya vumbi tena yenye makorongo mazito; nikaona hapa natafuta umasikini kwa kulazimisha.

Kwa kifupi, nimepiga chini.​
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom