Nilivyonasa kwenye lift jengo la Kitega uchumi kwa masaa 2 bila msaada. Ingekuwa Ulaya au Marekani ningefungua kesi ya kudai fidia

Tuwekee hio nyimbo hapa na sie tusikilize..
Iliitwa kiti cha mfalme hip hop nilikuwa nainanga serikali yaBenjamin Mkapa,kipindi hicho hela ngumu kukaibuka msemo wa ukapa sio ukata,kilichoniponza sikutumia fasihi niliimba bila tafsida,ila nikuwa nachana mistari balaa,niliacha kuimba sasa napiga saxophone kwenye kwaya ya kanisani
 
1. Ungetoa ushahidi gan usio na Shaka mahakamani? Je ulisaini sehemu wakati unaingia kwenye jengo/lift?

2.. OTIS wanahusikaje hapo? Ngumu Sana kuishtaki kampuni na ukashinda ukizingatia Kipato chako hoi bin taabani.
OTIS ndio manufacturer snd technical supporter wa hizo lift aftet sale,nchi za watu Camera zingethibitisha hilo ningelipwa amini nakwambia,
 
2001 bado sijazaliwa unaweza ukawa unatudanganya mkuu kwamba kulikuwaga na lift?
 
Tafuta hela acha kuota kupata kimiujiza hakuna wa kukupa pesa kisa umepànda lift yake ikaharibika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…