Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Lifti haikuwa na emergency button?Ndio japo sio sana ,mara nyingi nilienda pale Sukari House kwa mtu fulani nilitumia lift,hata hapo Kitega uchumi nilikuwa nimeshatumia sana lift zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lifti haikuwa na emergency button?Ndio japo sio sana ,mara nyingi nilienda pale Sukari House kwa mtu fulani nilitumia lift,hata hapo Kitega uchumi nilikuwa nimeshatumia sana lift zao
Umeambiwa ni technical issues kuwa mwelewaKwenye lift kuna emergency button ambayo huwa inafanya kazi bila hata umeme.
Aisee.... Pole sana Mkurugenzi... Hakika Mungu ni Mkuu,... Ulinusurika kwelikweli... Oxygen inakata huku unaisikilizia....Kuna minyororo huwa inazishikilia ni ngumu kukatika na ingekuwa inakatika ovyo ingekuwa balaa
Ukiwa stranded inatakiwa ujilazimishe kurelax la sivyo ukiendelea kupanic,presha inakukamataAmina, namshukuru Mungu sijawahi kufanya kosa hata la traffic offense
Jela mbaya aisee
Ningekuwa badala yako kwenye lift siku hiyo ningekufa maana ina kupa woga sana na kutapatapa
Ila hata home lazima dirisha moja liwe wazi hata kama kuna barafu na ni -5 nje
Studio zilikuwa zinatumika CD, mitaani zilikuwepo ila siyo nyingi sana kama 2003 hadi 2010.2001 cd 💿? Si zilikuwa zinatumika kanda au? Nilikuwa mdogo sana kipndi hicho !
Kwa hio wewe ni msanii ? Au uliachana na sanaa
Mkuu ilikuwa ni bad experience sijapata ona, ilifika kama nusu saa hivi nikawa nimekata tamaa kbs nasubiria kifo kwa ukosefu wa oxygen, nilifanya kila linalowezekana ikashindikana ikiwemo kujaribu kutumia nguvu kuachanisha mlango lkn wapi, kengele haitoki, nimepiga kelele lkn wp! nikampigia workmate mmoja ofisi ya jirani akachukulia masihara hakuzingatia...ilikuwa kama nimefungiwa kwenye kichupa. Gafla umeme ukarudi ndo pona yangu.IKawaje mkuu
Huwa najitahidi sana kutokuwaza na ku relax ila unajikuta Una panic na unaona kabisa pumzi ya mwisho inakatikaUkiwa stranded inatakiwa ujilazimishe kurelax la sivyo ukiendelea kupanic,presha inakukamata